CHELSEA SIMBA 7
Member
- Oct 27, 2017
- 57
- 84
Wana jf wenzangu, kwa wale tunaofuatilia au tuliobahatika kufikia ngazi ya mkoa kwenye usahili wa kujiunga jkt, mkoani kwako mmefikia hatua gani maana huku kwetu tuna week sasa tushafanya usaili wa mkoani na tupo tu tuliambiwa utaratibu mpya ukiletwa tutajulishwa.
Hali imekaaj katika mkoa ulipo kijana mwenzangu mwenye nia ya kujiunga na jkt.
Hali imekaaj katika mkoa ulipo kijana mwenzangu mwenye nia ya kujiunga na jkt.