Salama humu jamvini??
Nimepokea simu jana,kutoka Us Embasy,wakinialika kwenda kwenye usaili wa nafasi ya kazi ya Commercial specialist!
Lakini walisema ninaenda kufanya English test,wadau naombeni mwenye kufahamu walau hii English test yao hua inakuaje!!
Asanteni sana! Karibuni
Nimepokea simu jana,kutoka Us Embasy,wakinialika kwenda kwenye usaili wa nafasi ya kazi ya Commercial specialist!
Lakini walisema ninaenda kufanya English test,wadau naombeni mwenye kufahamu walau hii English test yao hua inakuaje!!
Asanteni sana! Karibuni