Usaili NMB Bank Lake Zone

Usaili NMB Bank Lake Zone

Wadau goma ndo linasubiliwa kuchezwa,ni Kati ya vijana zaidi ya 400 tunasubilia usaili wa aptitude test!!

Naona vijana tumependeza sana,hata wale wanaoponda suruali za vitambaa leo zimekua deal!

Dada zangu wanawaka kweli,wamependeza! Nywele zao zinang'aa kweli!

Tunawasubili wakubwa wafike watupe utaratibu kamili!

Nafasi za bank teller! Monarch hotel Mwanza
 
Mungu awe nae vijana wenzangu

Wanahakiki majina yetu! Jamani mbona hamko serious?

Majina hayajapangwa kwa alphabetically,mtu naitwa Nyau,hapo china linalofata ni Tembo,kwa nini asiwe mwenye N pia?? Jamani haya twendeni tu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom