Usaili NMB Bank Lake Zone

Usaili NMB Bank Lake Zone

Mangungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2012
Posts
2,405
Reaction score
3,061
Wadau mwenye kujua hawa jamaa bank ya makabwela hua wanatoaje maswali msaada pls!!

Pia ningejua hua wanafanya aptude test au oral interview!

Nimeitwa kwenye usaili jumamosi mwanza,saa tatu asubuhi,ngoma inapigwa Monarch Hotel!!
 
Wadau mwenye kujua hawa jamaa bank ya makabwela hua wanatoaje maswali msaada pls!!

Pia ningejua hua wanafanya aptude test au oral interview!

Nimeitwa kwenye usaili jumamosi mwanza,saa tatu asubuhi,ngoma inapigwa Monarch Hotel!!

mkuu kwa sababu unaonyesha zarau, kuita benk ya nmb superbrand, eti kuwa ni benk ya makabwele, uzuri ninayo namba yako, haina shida tutakushughurikia, haiwezekani unataka kufanya kazi benki ya nmb, halafu inaitukana. huu ni upuuziii
 
Hahahaha Jamaa ana mikwala duh sis kwetu kabwela maana ake ni watu wenye utashi wa maendleo sio walala hoi (kwa wingi)
 
mkuu kwa sababu unaonyesha zarau, kuita benk ya nmb superbrand, eti kuwa ni benk ya makabwele, uzuri ninayo namba yako, haina shida tutakushughurikia, haiwezekani unataka kufanya kazi benki ya nmb, halafu inaitukana. huu ni upuuziii

Unajua maana ya neno kabwela?? Au just unafanya kazi kwenye hiyo taasisi hata hujui maana!!

Hujachelewa,ntafurahi kama ukitoa jina langu hata hyo interview nisiende!!
 
mkuu kwa sababu
unaonyesha zarau, kuita benk ya nmb superbrand, eti kuwa ni benk ya
makabwele, uzuri ninayo namba yako, haina shida tutakushughurikia,
haiwezekani unataka kufanya kazi benki ya nmb, halafu inaitukana. huu ni
upuuziii

yaan mijitu kama hii ndo yakufuta kabisa huku jf manake inaakila ningekua na kibali niingeziita akili za chooni manake haya mambo ya huku yanaishia huku huku sas ww unachomchimba mwenzio mkwara nin kwanza we c chochote c lolote kwan ajira zipo nmb tu kwenda zako kafie mbele huku
unajikosha et una namba zake chukua na za kwangu kama unaona dili sana
NA KWELI WW N CHOKORAA WA KITAA AS UNAVYOJIITA AND IF U CAN TRY ME!!
 
Kaka una uhakika wa huo usaili au wazee wa mjini wanakupiga kipindi,NMB na monarch hotel bado hujanishawishi be carefully bro mwanza matapeli wengi.if ur sure then go ahead
 
Kaka una uhakika wa huo usaili au wazee wa mjini wanakupiga kipindi,NMB na monarch hotel bado hujanishawishi be carefully bro mwanza matapeli wengi.if ur sure then go ahead

Kaka ni kweli,kuna jamaa yangu yupo Nmb bank pale buzuruga plaza,baada ya kupokea simu toka kwao nilimtafuta,ni kweli wameita!!

Na kuna wanangu kama wawili hv wameitwa pia!!
 
Kaka una uhakika wa huo usaili au wazee wa mjini wanakupiga kipindi,NMB na monarch hotel bado hujanishawishi be carefully bro mwanza matapeli wengi.if ur sure then go ahead

Kaka unaogopa ya mwanza community bank??
 
Kaka mwanza full matapeli kila kona,Kama ni hivyo hongera kaka weka uzungu vzur mengine ya kawaida

Poa kaka ngoja niking'arishe kidhungu si unajua tena hii lugha ilikuja na meli,na mbaya zaidi tz ilifika usiku wa manane!!
 
Sorry we upo mwanza mi pia nimeitwa ila niko dar hat a cjajua nafanyaje

Ndiyo mkuu,we kama unakuja mwanza,kwea basi kesho zen usiku dondoka the rock city,ukiwa njian usilale,print cv,job description,na mengneyo kuhusu Nmb!!
 
mkuu kwa sababu unaonyesha zarau, kuita benk ya nmb superbrand, eti kuwa ni benk ya makabwele, uzuri ninayo namba yako, haina shida tutakushughurikia, haiwezekani unataka kufanya kazi benki ya nmb, halafu inaitukana. huu ni upuuziii

Acha kutisha wenzako kenge we
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom