Usaili MIST phase III

Usaili MIST phase III

Hawa jamaa sijui wana phase ngapi,nahisi ni njia ya kujitengenezea kipato kwa waendesha usaili.
 
Kuna jamaa yangu post ya ass. Lecturer in environmental...... Ni wajiliwa halimashauri fulani; ameghaili, na aliitwa peke yake kwenye interview, sijui hakuwa na mshindani? Ila yeye mwenyewe baada ya kulinganisha masilahi hataki tena hiyo post, hivyo ni wazi hatakwenda interview. Hivi itabidi watangaze kazi hiyo tena au kuna reserve list?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom