SIKAUKA MHAPA
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 247
- 42
duhhhkama ndiyo hivyo wangeweka kuwa nayo ni sifa ili tujue b4 hawazitangaza
uyo jamaa asikutishe sidhani kama amesoma management, kwa ufupi tu ni kwamba kuna internal recruitment na extenal
taasisi ikiona haiwezi kuajiri internal ndipo inatangaza kwa public wa nje.ivyo kama wanachukua polisi kwanini watangaze public.
subiri wataalaam wa HR watakufafanulia wakija hapa jamvini ila naisi washagundua humu wengi mnapenda uzushi kwa nao unautamu wake bila shaka