Usahihi wa mwonekano wa dunia toka juu ya anga za mbali

AKILI TATU

JF-Expert Member
Feb 10, 2016
2,658
2,804
wakuu habari zenu,poleni na majukumu ya kazi .

Kama kichwa cha habari hapo juu kisemavyo,muda mrefu sasa nimekuwa nikijibizana na nafsi yangu juu ya muonekano sahihi wa dunia yetu hii kutoka anga za mbali,sote tunajua kwa mujibu wa tafiti taarifa na picha zinasema kuwa sayari zote zi katika muundo wa tufe na wakati fulani nikapata somo juu ya sumaku kazi inayoshikilia vitu vyote hivi vilivyopo dunian kuelekea chini ,

Lakini leo nimekaa na kujiuliza kama sayari yetu ni tufe iweje sasa hapa duniani naona kuna utambarare,ukienda kokote kule hakuonyeshi muelekeo wa mteremko au kuzunguka hilo tufe ambalo tumefahamishwa? maana kwa kawaida sehemu yenye bonde utazama chini kisha unaibuka tena sehmu yenye kilima lakini kwa sayari hii ambayo picha zinaonyesha kuwa ni duara hakuna bonde kiuhalisia ,naona kote ni lavel moja tu ,ukienda marekani hadi uchinna kote huko unapota sehemu tambarare tu hakuna sijui bonde kubwaa la kukunja kota au kukatisha,.

Wakuu wanaojua hili naomba tutoane tongotongo juu ya uhalisia wa ardhi yetu hapa dunaian na muonekano wake
 
unaposogeza mkono wako karibu sana na macho hutauona mkono wote means hata umbo la mkono hutaliona vyema lkn ukisogeza mkono mbali utaona umbo halisi la mkono hii hutegemea size ya ukubwa ya unachokiangalia...
size ya ukubwa wa dunia ni kubwa mno compare na size ya binadamu that why ili uone umbo halisi la dunia unatakiwa uwe umbali mrefu toka dunia so ukiwa kwenye uso wa dunia ni ngumu kuona kwamba dunia ni tufe due to the size yako na dunia.
pia inakuwa ngumu kuona mipindo ya kiduara ya dunia coz ya size yako na dunia kama nilivyosema hapo juu so unaona kama ni tambalale/kawaida
 
Umejibiwa vyema happ juu
Dunia ni kubwa sana kuweza kuona uduara wake bila vyombo vinavyoweza kupiga picha toka mbali huwezi kuuona wa kuu hisi

Jaribio jepesi ni kwenda pale baharini, na kwakua unaamini dunia ipo tambarare basi labda tungetarajia kuiona Zanzibar,
Lakini zanZibar huwezi kuiona hata kwa kutumia darubini maana itakua haionekaniki sababu ya mduara
 
unaposogeza mkono wako karibu sana na macho hutauona mkono wote means hata umbo la mkono hutaliona vyema lkn ukisogeza mkono mbali utaona umbo halisi la mkono hii hutegemea size ya ukubwa ya unachokiangalia...
size ya ukubwa wa dunia ni kubwa mno compare na size ya binadamu that why ili uone umbo halisi la dunia unatakiwa uwe umbali mrefu toka dunia so ukiwa kwenye uso wa dunia ni ngumu kuona kwamba dunia ni tufe due to the size yako na dunia.
pia inakuwa ngumu kuona mipindo ya kiduara ya dunia coz ya size yako na dunia kama nilivyosema hapo juu so unaona kama ni tambalale/kawaida
MKUU KENZY nikushukuu sana kwa kutumia logical rahisi ya mimi kuelewa,kwani suala hili lilikuwa changamoto sana kwangu kuweza kujua uhalisia hasa wa hili jambo
 
Umejibiwa vyema happ juu
Dunia ni kubwa sana kuweza kuona uduara wake bila vyombo vinavyoweza kupiga picha toka mbali huwezi kuuona wa kuu hisi

Jaribio jepesi ni kwenda pale baharini, na kwakua unaamini dunia ipo tambarare basi labda tungetarajia kuiona Zanzibar,
Lakini zanZibar huwezi kuiona hata kwa kutumia darubini maana itakua haionekaniki sababu ya mduara
woow mfano hai mweingine kutoka kwako,mkuu barikiwa ana kwa jibu hili kuntu,sasa walau naweza kuvuta picha juu ya dhana niliyokuwa naifikiri hapo juu
 
Google hizi theory mbili zitakusaidia kupata jibu lako mkuu AKILI TATU Moja ni Circumnavigation na pili ni Sunrise and Sunset,hizi zitakusaidia kuweza kujua kuwa Dunia ni tufe au mduara.
 
Kwa elimu yangu ya form 1, kuthibitisha kuwa dunia ni kama tufe, Ardhi haikuwa point ya kuthibitisha , lakin ngoja nikupatie kitu kingine Unaweza kuthibitisha mwenyewe kuhusu Horizon kiswahili chake ni kigumu kwangu, ukiangalia juu ya anga utaona linashuka mpaka kwenye Ardhi, ukisogelea ile sehemu bado inaendelea kuwa vile vile. Inathibitisha kuwa dunia ni kama tufe.
 
Kuchomoza kwa jua na kuzama, kuna sehemu asubuhi sehemu mchana na sehemu nyingine ni usiku. Kama ingekuwa dunia ipo flat wote tungekuwa na mchana mmoja jua lingemulika sehemu yote kwa pamoja kama tochi.
 
Thanx.karibu sana mkuu, natumaini ulichotaka kukijua umepata ufafanuzi wa kutosha kutoka kwa wadau mbalimbali.
indeed nafurahi sana uungwana huu,ila swali kwa nini kila kitu huko juu kina muundo wa sifuri yani tufe? mfno sayari,jua, mwezi nyota nk?
 
Achukulie mfano wa sisimizi juu ya mpira
Sasa dunia na yeye kuna tofauti maradufu ya size
jibu safi na simple mkuu, kuhusu utufe au duara kimaumbile kwa sayari angani ndio swali la msingi. kwa fikra zangu ni kwamba hiyo inatokana na nguvu za asili ( gravity force ) pamoja hizo sayari kuwa kwenye mwendo ( accelaretion) na wakati huo huo zinazunguka ( rotation). mfano chukua udongo ulio na unyevu nyevu tumia mikono yako miwili uviringe taratibu kwa pande zote, utaona duara linajitengeneza. ni mfano mdogo haujitoshelezi, lakini huo mfumo wa sayari ni wakiasili na endelevu. wenye kuweza kukusaidia zaidi wanakaribiswa !!
 
Mfano mdogo na rahisi ni chukua punje ya mchanga uiweke juu ya baloon ndo sawa na binadamu juu ya dunia. Punje ya mchanga haitaweza kujua kama hilo naloon ni duara kutokana na udogo wake, ni sawa na binadamu na dunia. Kadri unavyokuwa mbali na object fulani ndivyo unavyoweza kuliona umbo lake kamili.
Milima na mabonde, bahali na nchi kavu ni sehemu ya hiyo tufe...
 
Back
Top Bottom