Tiketi za ile show kabambe ya 'The FINEST' ya mwanaFA bado zinapatikana kwa wingi maeneo mbalimbali ya jiji la Dar na zitaendelea kupatikana hadi mlangoni mwa ukumbi wa mahali ambapo show itafanyika. Mpaka sasa matangazo ya kuwahimiza watu wajitokeze kuja kwenye show au kununua tiketi yanaendelea kupitia Radio, Television na mitandao.
Wananchi wote Wapenzi wa bongo flavour msikubali kubabaishwa na watu wachache wenye nia mbaya ambao wanaeneza uvumi wa kudai tiketi hizo zimekwisha huku.lengo lao ni ili mkose show hiyo murua au muanze kutafuta tiketi kwa njia za panya na hapo mtalanguliwa tiketi kwa bei ya juu au mtauziwa tiketi bandia.
Aluta Continua, mapambano bado yanaendelea!!!
Tiketi za ile show kabambe ya 'The FINEST' ya mwanaFA bado zinapatikana kwa wingi maeneo mbalimbali ya jiji la Dar na zitaendelea kupatikana hadi mlangoni mwa ukumbi wa mahali ambapo show itafanyika. Mpaka sasa matangazo ya kuwahimiza watu wajitokeze kuja kwenye show au kununua tiketi yanaendelea kupitia Radio, Television na mitandao.
Wananchi wote Wapenzi wa bongo flavour msikubali kubabaishwa na watu wachache wenye nia mbaya ambao wanaeneza uvumi wa kudai tiketi hizo zimekwisha huku.lengo lao ni ili mkose show hiyo murua au muanze kutafuta tiketi kwa njia za panya na hapo mtalanguliwa tiketi kwa bei ya juu au mtauziwa tiketi bandia.
Aluta Continua, mapambano bado yanaendelea!!!
Tiketi za ile show kabambe ya 'The FINEST' ya mwanaFA bado zinapatikana kwa wingi maeneo mbalimbali ya jiji la Dar na zitaendelea kupatikana hadi mlangoni mwa ukumbi wa mahali ambapo show itafanyika. Mpaka sasa matangazo ya kuwahimiza watu wajitokeze kuja kwenye show au kununua tiketi yanaendelea kupitia Radio, Television na mitandao.
Wananchi wote Wapenzi wa bongo flavour msikubali kubabaishwa na watu wachache wenye nia mbaya ambao wanaeneza uvumi wa kudai tiketi hizo zimekwisha huku.lengo lao ni ili mkose show hiyo murua au muanze kutafuta tiketi kwa njia za panya na hapo mtalanguliwa tiketi kwa bei ya juu au mtauziwa tiketi bandia.
Aluta Continua, mapambano bado yanaendelea!!!
Haya yote yataisha juma pili
Wadau,
Nlikua narudi mjini nikitokea Kigamboni kupumzisha akili. Sasa nikapita pale opposite na iFM kucheki kama Mwana FAt..a kala shavu. Jamaa anatia sana huruma aisee. Yaani mlangoni wapo wanafunzi wachache wa IFM ambao walikua wakiingia bure. Jamaa wa mlangoni walikua wakiwabembeleza watu wachukue tickets japo kwa 10,000/= lakini madent wa IFM walikomaa mpaka kwa 5,000/- kwamba boom limekata!!
Sasa hata ule Uzi kua tickets bado zipo kumbezm zilidoda mpaka wakapunguza bei. Sikupoteza muda, nikawahi zangu Nyumbani Lounge ambapo Ukweli sikuijutia hela yangu.
Tiketi za ile show kabambe ya 'The FINEST' ya mwanaFA bado zinapatikana kwa wingi maeneo mbalimbali ya jiji la Dar na zitaendelea kupatikana hadi mlangoni mwa ukumbi wa mahali ambapo show itafanyika. Mpaka sasa matangazo ya kuwahimiza watu wajitokeze kuja kwenye show au kununua tiketi yanaendelea kupitia Radio, Television na mitandao.
Wananchi wote Wapenzi wa bongo flavour msikubali kubabaishwa na watu wachache wenye nia mbaya ambao wanaeneza uvumi wa kudai tiketi hizo zimekwisha huku.lengo lao ni ili mkose show hiyo murua au muanze kutafuta tiketi kwa njia za panya na hapo mtalanguliwa tiketi kwa bei ya juu au mtauziwa tiketi bandia.
Aluta Continua, mapambano bado yanaendelea!!!