USAHIHI; Dr. Bashiru Ally usipotoshe umma

USAHIHI; Dr. Bashiru Ally usipotoshe umma

watu wenye hekima wanaangalia miaka 20-100 ijayo , kauli za Tundu Lissu zitaleta matokeo gani kwenye uchumi na maendeleo yetu. jibu ni kwamba athari zitakuwa kubwa sana hivyo ni vema Tundu Lissu akajibiwa kwa sababu naye anatumia uongo kusema kile anachodhani ni kweli.

Mwenye hekima ataangalia matendo na kauli za serikali na atajua kuwa hivyo ndivyo adui wa maendeleo ya Taifa hili. Kama Lissu ni muongo shida iko wapi, serikali si iseme ukweli tu na habari itakuwa imefikia mwisho wake?? Kwani huko anakopita Lissu na kuongea kuna watu wapumbavu wasioweza kutofautisha ukweli na uongo? Afterall, si ni serikali iliyotoa tamko kuwa Lissu kaaibika kwa kushindwa kujibu maswali? Sasa makelele yote haya ni ya nini tena?

Tatizo mnajua kuwa Lissu anasema UKWELI na ushahidi na viashiria vya ushahidi vinathibitisha hilo. Mnalo hilo.
 
watu wenye hekima wanaangalia miaka 20-100 ijayo , kauli za Tundu Lissu zitaleta matokeo gani kwenye uchumi na maendeleo yetu. jibu ni kwamba athari zitakuwa kubwa sana hivyo ni vema Tundu Lissu akajibiwa kwa sababu naye anatumia uongo kusema kile anachodhani ni kweli.
Hakuna kudhani
1. Watu hawapotei?
2.Lisu hakupigwa risasi ?
3.Magu hajazuia siasa kwa vyama vya upinzani?
4.Uchumi haujadorola?
5.Nchi haina mgogoro na wafadhili?
6. Bajeti ya nchi inaheshimiwa?
7.Mbowe hayuko Segerea?

Yako mengi sana jipe ujasiri wa kufikiria kidogo tu ujijibu hayo maswali.
 
watu wenye hekima wanaangalia miaka 20-100 ijayo , kauli za Tundu Lissu zitaleta matokeo gani kwenye uchumi na maendeleo yetu. jibu ni kwamba athari zitakuwa kubwa sana hivyo ni vema Tundu Lissu akajibiwa kwa sababu naye anatumia uongo kusema kile anachodhani ni kweli.
katika mambo anayosema lisu hujasema lipi ni uongo umeishia kuita uongo tu bila sababu wala hoja
Je sio kweli kwamba lisu alishambuliwa? mchana kweupe
je sio kweli kwamba bunge halijamtibia/ kutoa pesa za matibabu?
je sio kweli kwamba mpaka leo hakuna mtu aliyehojiwa katika sakata hili?
je sio kweli kwamba serikali ilihusika?
muongo ni speaker ndugai
 
Wengi tumesmikisa ndugu Dr Bashiru Ally katibu mkuu wa CCM akihutubia kwa hasira na hisia kali sana juu ya kile anachodai ni kudhalilisha nchi kimataifa kwa ziara anazo fanya Tundu Lissu, ameyasema hayo akihutubia ktk sherehe ya miaka 42 ya kuzaliwa CCM.

Itakumbukwa Mh Tundu Lissu alifanyiwa kitendo cha kinyama cha kushambuliwa kwa siraha za moto sept 7,2017 mjini Dodoma ambapo aliumizwa vibaya baada ya kukoswakoswa kufa.

Baada ya Lissu kuchukua hatua za kuiambia dunia na watanzania kwa ujumla kile kilichotokea na kutoa shukrani kwa jamii ya kitaifa na kimataifa iliyosaidia kwa hali na mali matibabu yake, sasa kumezuka uongo na unafiki wa kujitapa kwa wanasisasa uchwara kuitetea serikali.

Madai yao ni kwamba ziara za Lissu zinaiaibisha nchi na vyombo vya usalama. Ukweli ni kwamba inaaibika CCM na washirika wake. Tunakutaka Dr Bahiru Ali na washirika wako muache kuchanganya mambo, aibu ya kipigo cha Lissu na watanzania wengine waliopoteza maisha kwa mazingira hayo hayo ya kisiasa.

Taifa halikupat aibu wakati wa kushindwa kutambua wahusika wa mauaji lije kupata aibu kwa kusema waliompiga lisu hawajapatiokana??

Dr Bashiru Ali kwa nini unataka aibu ya ccm na washirika wake iwe aibu ya watanzania? Nikuhakikishie tu kama ulikuwa huna habari ziara za Lissu Ulaya na Marekani tumezipenda mno na tunamshukuru Tundu Lissu kwa kutusemea, Roma Mkatoliki alifanyiwa unyama yaliyotokea na kufuatia pale alipotaka kuujulisha umma tuliyaona.

'MO' alipotekwa na wahuni ambao mpaka leo hawajajulikana tuliona kilichofata pale alipotaka kuujulisha umma.

Aibu yenu isiwe ya taifa, wekeni mambo yenu sawa. Nchi hii imekuwa huru kwa miaka 50 sasa haijafanya lolote la maana mikononi mwa CCM.

Your failure, is yours, don't donate it to tanzanians.
Well said and may God bless you. Nikiongezea kitu hapo, nitaharibu.
 
Wengi tumesmikisa ndugu Dr Bashiru Ally katibu mkuu wa CCM akihutubia kwa hasira na hisia kali sana juu ya kile anachodai ni kudhalilisha nchi kimataifa kwa ziara anazo fanya Tundu Lissu, ameyasema hayo akihutubia ktk sherehe ya miaka 42 ya kuzaliwa CCM.

Itakumbukwa Mh Tundu Lissu alifanyiwa kitendo cha kinyama cha kushambuliwa kwa siraha za moto sept 7,2017 mjini Dodoma ambapo aliumizwa vibaya baada ya kukoswakoswa kufa.

Baada ya Lissu kuchukua hatua za kuiambia dunia na watanzania kwa ujumla kile kilichotokea na kutoa shukrani kwa jamii ya kitaifa na kimataifa iliyosaidia kwa hali na mali matibabu yake, sasa kumezuka uongo na unafiki wa kujitapa kwa wanasisasa uchwara kuitetea serikali.

Madai yao ni kwamba ziara za Lissu zinaiaibisha nchi na vyombo vya usalama. Ukweli ni kwamba inaaibika CCM na washirika wake. Tunakutaka Dr Bahiru Ali na washirika wako muache kuchanganya mambo, aibu ya kipigo cha Lissu na watanzania wengine waliopoteza maisha kwa mazingira hayo hayo ya kisiasa.

Taifa halikupat aibu wakati wa kushindwa kutambua wahusika wa mauaji lije kupata aibu kwa kusema waliompiga lisu hawajapatiokana??

Dr Bashiru Ali kwa nini unataka aibu ya ccm na washirika wake iwe aibu ya watanzania? Nikuhakikishie tu kama ulikuwa huna habari ziara za Lissu Ulaya na Marekani tumezipenda mno na tunamshukuru Tundu Lissu kwa kutusemea, Roma Mkatoliki alifanyiwa unyama yaliyotokea na kufuatia pale alipotaka kuujulisha umma tuliyaona.

'MO' alipotekwa na wahuni ambao mpaka leo hawajajulikana tuliona kilichofata pale alipotaka kuujulisha umma.

Aibu yenu isiwe ya taifa, wekeni mambo yenu sawa. Nchi hii imekuwa huru kwa miaka 50 sasa haijafanya lolote la maana mikononi mwa CCM.

Your failure, is yours, don't donate it to tanzanians.
Kwann nguvu wanayotumia kukemea kitendo cha TL isingetumika kukemea wahusika waliohusika na kumshambulia na kushinikiza wasiojulikana kukamatwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The likes of Bashiru Ally are struggling to make ends meet. He's under strict instructions to respond that way, his hands are tied.

But, conversely, Bashiru knows where the reality lies although in order to safeguard his life and carrier he must react the way he does. Sorry Mr. Bashiru, we know right now you're a bird of cage. Pole sana bwana.
 
watu wenye hekima wanaangalia miaka 20-100 ijayo , kauli za Tundu Lissu zitaleta matokeo gani kwenye uchumi na maendeleo yetu. jibu ni kwamba athari zitakuwa kubwa sana hivyo ni vema Tundu Lissu akajibiwa kwa sababu naye anatumia uongo kusema kile anachodhani ni kweli.
Ila athari ya risasi 16 mwilini mwa Lisu si tatizo!!!? Sema uongo mmoja tu wa Lisu kuhusiana na alivyokwisha sema Hadi Sasa.
 
Aibu ya ccm ya kukumbatia wasiojulikana isiwe aibu ya taifa,pambaneni na hali zenu.kumpiga Tl lisasi ni sawa na kuwapiga watz wote risasi, mmekaa kimya aliposhambuliwa mkamnyima matibabu, dunia imemtibu mwacheni atoe shukrani Kwa dunia, na kueleza yaliyomsibu.
 
Tundu lissu anaisomea dunia Kitabu mlichokiandika wenyewe CCM na serikali yake.
Aswaaa!!!! Wao ndio wamemfikisha huko.Mngempa matibabu, mngempa ushirikiano toka mwanzo msingemtelekeza yasingefika huko.Kaeni nae chini mmuombeeni msamaha myamalize,Mbona mnaweza rudia uchaguzi wa kuifurahisha ccm Kwa kodi zetu, mnashindwa nn kummalizana nae kaeni nae chini muongee.
 
Fala kweli wewe Lissu anasema uongo gani,je hakipigwa Risasi,au Nani ndani ya ccm alilaani tukio LA Lissu kupigwa risasi,au Nani kakamatwa au kahojiwa na vyombo vya ulinzi,je ni uwongo kuwa hatujazuiliwa mikutano ya kisiasa,je ni uwongo wapjnzani hawajabambikwa makesi yasio na ukweli,wewe acha uzwazwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watakuambia hata Mbowe ni uongo hayuko jela Kwa amri hadi siku mfalme Furaha yake ikitosheka
 
sema kwa CCM mnamuona msaliti maana nyie mnajimilikisha nchi kama mali yenu na watoto wenu. siye kama taifa hatukubali inchi inavyo ongozwa

Duh! mkuu tayari umeshajua mimi ni mwana ccm? kipi kimesababisha ufahamu kabla sijathibitisha mwenyewe?

by the way umeandika serikali ya ccm imejimilikisha nchi kama mali yao, na wakati huo huo ukaandika nyinyi kama taifa hamkubali nchi inavyoongozwa

unaweza kunipa tofauti kati ya nchi inayomilikiwa na ccm na taifa ambalo ni nyinyi? kutokana na maelezo yako
 
watu wenye hekima wanaangalia miaka 20-100 ijayo , kauli za Tundu Lissu zitaleta matokeo gani kwenye uchumi na maendeleo yetu. jibu ni kwamba athari zitakuwa kubwa sana hivyo ni vema Tundu Lissu akajibiwa kwa sababu naye anatumia uongo kusema kile anachodhani ni kweli.
Kwa hiyo sababu ya uchumi hata kama raia akitishiwa uhai wake akae kimya? Hivi serikali yetu hii imeingia lini kwenye ukahaba mbaya kama huu wa kutoogpa hata magonjwa ya zinaa ili mradi kuna faida ya kiuchumi?
 
Hakuna aliyejibu hoja za TL alianza
1.Msemaji
2.Speaker
3.Bashite
4.Msukuma
5.Hapy
6.Musiba
7.Karia
8.Balozi Possi
9.Bashiru
.
.
.
.
etc
Hadi sasa TL 9 vs Ccm 0,kila ajae anasagwasagwa kama ngano Lumumba nzima wanapoteana si Isisi,Magonjwa Mtambuka,TumainEl, Jingalao
 
Mi naona lisu ni kibaraka tu yeye kila kitu anapinga maendeleo amepinga makinikia alituaminisha nchi inanjaa ili wanunue Muhindi nje na vibaraka wenzie yeye anavyo zunguka huko nje anafikir anamkomoa magufuli au watanzania huyu ni msaliti Mkubwa la Mimi namlaumu saana mlega shabaha

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati wa Mungu si wa binadamu hata mngeenda na vifaru
 
ccm wanamshukuru kibajaji kwa kuwa nguzo muhim ya chama😆😆😆😆 na kusaidia nchi kufikia uchumi wa kati🤦‍♀️🤦‍♀️
 
Kuongea ukweli kuhusu taifa lako kwa maadui hakukufanyi kua shujaa

Hata Assange sisi tunamuona mkweli ila kwa taifa lake ni msaliti.
Assange alitoa classified information ambazo ni top secret against mataifa makubwa na kuathiri economic diplomacy. Pia alikiuka sheria ya usalama wa taifa

Lissu hajakiuka sheria yoyote wala hakuna kiapo alichovunja!

Mfano wako ni wa kizwazwa na kinyangema, professorial rubbish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwann nguvu wanayotumia kukemea kitendo cha TL isingetumika kukemea wahusika waliohusika na kumshambulia na kushinikiza wasiojulikana kukamatwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasahangaza sana, kwakuwa wao ni watuumiwa namba moja na lengo lao halikutimia badala yale lime-Backfire.


Karma....is fu......ng them.
 
Back
Top Bottom