Nimekutana nayo jana, kwenye daladala kuna konda wawili mmoja anachukua hela na mwingine anaita abiria.sasa mtu akitaka kushuka mkusanya hela anamwambia anamwambia yule muitaji shusha kituo flani na na muitaji naye anamwambia dereva.Cha kufurahisha sasa ni kwamba wote wapo ndani gari moja na wanaskiana.Nashindwa kuelewa ni plan au ndo :mvutaji: jani?