usafiri wetu bana!!

usafiri wetu bana!!

i wish

Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
13
Reaction score
6
Nimekutana nayo jana, kwenye daladala kuna konda wawili mmoja anachukua hela na mwingine anaita abiria.sasa mtu akitaka kushuka mkusanya hela anamwambia anamwambia yule muitaji shusha kituo flani na na muitaji naye anamwambia dereva.Cha kufurahisha sasa ni kwamba wote wapo ndani gari moja na wanaskiana.Nashindwa kuelewa ni plan au ndo :mvutaji: jani?
 
Hapo kinachokushangaza ni kipi?
Mbona wewe nyumbani kwako, msosi anapika na kuandaa Hausi geli, lakini mkeo ndio aja kukuita chumbani, tena kwa mbwembwe, "Mpenzi karibu mezani"
 
Hapo kinachokushangaza ni kipi?
Mbona wewe nyumbani kwako, msosi anapika na kuandaa Hausi geli, lakini mkeo ndio aja kukuita chumbani, tena kwa mbwembwe, "Mpenzi karibu mezani"

Eti eh?
 
watu8 its bout content sio maneno kama umenielewa.....




Hapo kinachokushangaza ni kipi?
Mbona wewe nyumbani kwako, msosi anapika na kuandaa Hausi geli, lakini mkeo ndio aja kukuita chumbani, tena kwa mbwembwe, "Mpenzi karibu mezani"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom