Usafiri wa Treni wageuka Kero Dar

Jana jioni nikaona si vibaya na mimi nikajisogeza kunako Stesheni nijionee hali halisi na jinsi ambavyo treni yetu imeweza kw akiasi kikubwa kutatua tatizo la usafiri.

mnamo saa 1 kamili ya jioni nilikua pale stesheni.Nilionyeshwa sehemu y akununulia Tiketi nikapata moja.

baada y akuingia ndani nilikutana na Treni ya Kigoma ambayo inapaki sambamba na treni ya ubungo-stesheni.Muongozaji alitoa muongozo tusijekujichanganya.


Idadi ya watu niliyokutana nayo pale sio chini ya watu 1000. na watu wliendelea kuongezeka kadri muda ulivyokua unasogea.

Treni ilifika mnamo saa 1.30 ikiwa tayari na abiria nilipochunguza nikaambiwa walipandia kituo cha kamata.Kati ya watu 1000 waliokua stesheni ni takribani watu 400 tu waliopata nafasi.

Hali ilikua ni ya kugombania kupita kiasi na watu kujazana kwenye treni kuliko hata za India......

tuliokata tiketi ikawa imekula kwetu.Mbaya zaidi izo tiketi sio rasmi kwa maana kwamba>zinaprintiwa na mashine za selcom then wanaikata mara tatu ile printout wana ipiga mhuri.Ile tiket moja ya selcom inakatwa zaidi ya mara 3 hadi 4........sidhani kama huo utaratibu upo official,otherwise ni hujuma.

Ombi: mabehewa yaongezwe hasa muda wa jioni.....

Huu ni mwanzo mzuri
Kuongeza mabehewa si utatuzi wa mwisho ingawa unaweza kupunguza msongamano.

Wanatakiwa kuwa na mfumo wa kulipia kabla (pre-paid service) kwa njia hii hakutakuwa na Usumbufu na wasiwasi wa kupata au kukosa usafiri labda iharibike.
Njia hii inatoa uhakika wa idadi ya abiria dhidi ya uwezo wa mabehewa husika .
Kitu muhimu nikuzingatia muda wa treni kuondoka na kufika kila kituo kwa muda.

 
Jana jioni nikaona si vibaya na mimi nikajisogeza kunako Stesheni nijionee hali halisi na jinsi ambavyo treni yetu imeweza kw akiasi kikubwa kutatua tatizo la usafiri.

mnamo saa 1 kamili ya jioni nilikua pale stesheni.Nilionyeshwa sehemu y akununulia Tiketi nikapata moja.

baada y akuingia ndani nilikutana na Treni ya Kigoma ambayo inapaki sambamba na treni ya ubungo-stesheni.Muongozaji alitoa muongozo tusijekujichanganya.


Idadi ya watu niliyokutana nayo pale sio chini ya watu 1000. na watu wliendelea kuongezeka kadri muda ulivyokua unasogea.

Treni ilifika mnamo saa 1.30 ikiwa tayari na abiria nilipochunguza nikaambiwa walipandia kituo cha kamata.Kati ya watu 1000 waliokua stesheni ni takribani watu 400 tu waliopata nafasi.

Hali ilikua ni ya kugombania kupita kiasi na watu kujazana kwenye treni kuliko hata za India......

tuliokata tiketi ikawa imekula kwetu.Mbaya zaidi izo tiketi sio rasmi kwa maana kwamba>zinaprintiwa na mashine za selcom then wanaikata mara tatu ile printout wana ipiga mhuri.Ile tiket moja ya selcom inakatwa zaidi ya mara 3 hadi 4........sidhani kama huo utaratibu upo official,otherwise ni hujuma.

Ombi: mabehewa yaongezwe hasa muda wa jioni.....[/QUOeTE]

Wewe ndiye kero kuu, kwa mujibu wa maelezo yako hukuwa na ulazima na usafiri ule ,ulitaka tu ujionee uko vp,siku nyingine waacheni wenye shida ya usafiri huo wautunmie sio nyie akina" namimi nimepanda".
Isitoshe usafiri huu ni sehemu ya kupunguza tatizo la usafiri jijini si suluhisho la moja kwa moja na ukifungua macho utawaona wenzako wanaoshukuru kuwepo kwa usafiri huu.NARUDIA TENA SI KERO SI KERO ASILANI!
 
kinachojaza watu kuwa wengi ni ushamba tu hali itabadilika maana mzaramo na ndengeleko wanafanyia utalii kwa kuwa hawajawai kupanda. Ushamba wa mjini ukiisha watapungua, kuhusu ticketi kuzania kuibiwa hawa waache wanakula ofisini mwao, tunamgoja Mwakyembe hawkamate uwe mwisho wao wa ajira na watakuwa wamepoteza hata mafao yao. Kufa kufaana ajira mpya itapatikana.
 
Mbona wenzetu wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto zote na kuzitatua kabla ya kazi kuanza. Sena akili zetu finyu tu. Tunajuwa kabisa kutakuwa kuna changamoto lakini hatuzitafutii ufumbuzi mpaka zitakapotokea wakati tuna uhakika zitatokea.

Nawalaumu waendeshaji na siwezi kumlaumu Mwakyembe, mwishowe watu watataka mpaka Mwakayembe ndio akaendeshe hizo treni, akakatishe tiketi, awapangie root na muda wa kuondoka na kufika, awapangie wafanyakazi.

Ni ujinga kuwawachia watu walouwa treni ya kati kuendesha treni hiyo.

mkuu umeongea jambo la maana sana...taratibu haya mambo yatakuwa sawa muhimu ni kweli tuwe na nia ya kuhakikisha huu usafiri unakuwa wa uhakika na wenye kueleweka...
 
kinachojaza watu kuwa wengi ni ushamba tu hali itabadilika maana mzaramo na ndengeleko wanafanyia utalii kwa kuwa hawajawai kupanda. Ushamba wa mjini ukiisha watapungua, kuhusu ticketi kuzania kuibiwa hawa waache wanakula ofisini mwao, tunamgoja Mwakyembe hawkamate uwe mwisho wao wa ajira na watakuwa wamepoteza hata mafao yao. Kufa kufaana ajira mpya itapatikana.

Kaka mdomo wako huo!
 
Mbona wenzetu wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto zote na kuzitatua kabla ya kazi kuanza. Sena akili zetu finyu tu. Tunajuwa kabisa kutakuwa kuna changamoto lakini hatuzitafutii ufumbuzi mpaka zitakapotokea wakati tuna uhakika zitatokea.

Nawalaumu waendeshaji na siwezi kumlaumu Mwakyembe, mwishowe watu watataka mpaka Mwakayembe ndio akaendeshe hizo treni, akakatishe tiketi, awapangie root na muda wa kuondoka na kufika, awapangie wafanyakazi.

Ni ujinga kuwawachia watu walouwa treni ya kati kuendesha treni hiyo.

Kweli umeongea point...ina maana hata kuandaa tiketi nako ni changamoto???jamani tubadilike
 
Mbona wenzetu wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto zote na kuzitatua kabla ya kazi kuanza. Sena akili zetu finyu tu. Tunajuwa kabisa kutakuwa kuna changamoto lakini hatuzitafutii ufumbuzi mpaka zitakapotokea wakati tuna uhakika zitatokea.

Nawalaumu waendeshaji na siwezi kumlaumu Mwakyembe, mwishowe watu watataka mpaka Mwakayembe ndio akaendeshe hizo treni, akakatishe tiketi, awapangie root na muda wa kuondoka na kufika, awapangie wafanyakazi.

Ni ujinga kuwawachia watu walouwa treni ya kati kuendesha treni hiyo.

Umesema kweli mkuu, Mwakyembe kama kiongozi kaonyesha njia ila hawa watendaji ni tia maji tia maji. Kwa kweli safari yetu kufikia maendeleo ya kweli ni ndefu sana.
 
Mwanetu mwakyembe, uishi milele usife hata ukifa hutaoza hata ukioza hutanuka, una maono balaa.
Mwakye hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Jakaya hoyeeeeeeeeeeeeeeeee CCM Hoyeeee
 
Jana jioni nikaona si vibaya na mimi nikajisogeza kunako Stesheni nijionee hali halisi na jinsi ambavyo treni yetu imeweza kw akiasi kikubwa kutatua tatizo la usafiri.

mnamo saa 1 kamili ya jioni nilikua pale stesheni.Nilionyeshwa sehemu y akununulia Tiketi nikapata moja.

baada y akuingia ndani nilikutana na Treni ya Kigoma ambayo inapaki sambamba na treni ya ubungo-stesheni.Muongozaji alitoa muongozo tusijekujichanganya.


Idadi ya watu niliyokutana nayo pale sio chini ya watu 1000. na watu wliendelea kuongezeka kadri muda ulivyokua unasogea.

Treni ilifika mnamo saa 1.30 ikiwa tayari na abiria nilipochunguza nikaambiwa walipandia kituo cha kamata.Kati ya watu 1000 waliokua stesheni ni takribani watu 400 tu waliopata nafasi.

Hali ilikua ni ya kugombania kupita kiasi na watu kujazana kwenye treni kuliko hata za India......

tuliokata tiketi ikawa imekula kwetu.Mbaya zaidi izo tiketi sio rasmi kwa maana kwamba>zinaprintiwa na mashine za selcom then wanaikata mara tatu ile printout wana ipiga mhuri.Ile tiket moja ya selcom inakatwa zaidi ya mara 3 hadi 4........sidhani kama huo utaratibu upo official,otherwise ni hujuma.

Ombi: mabehewa yaongezwe hasa muda wa jioni.....
We ni mpuuzi
Umelete huu uzi iliuonekane ulikata ticket acheni siasa za kitoto treni ndo kwanza imeanza unataka uone ufanisi wa juu mijitu mingine haina uzalendo kazi kukosoa
 
Akili finyu unazo wewe na aliyekulea, KOMA!

Si kila changamoto inafahamika kabla. Yapo ambayo yalitakiwa yashughulikiwe mwanzo lkn kubwa analoliongelea huyu muanzisha mada ni la kukurupuka.

Sasa hivi kuna rundo la wasafiri wasio rasmi wanatumia ile treni kwa hamu tu na wala hawana safari. The same ilitokea kwa Ferry ile mpya ya magogoni ilipowekwa majini kwa mara ya kwanza. Hawa wakishapungua, ndio idadi ya watu itajulikana, kwa sasa ni lawama za kijinga.

Hao wenzetu unaowasema wewe kuwa wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto na kuzipatia ufumbuzi ni kina nani?


Sema walianza zamani, sasa kwa akili ya Kizombazomba unadhani waliamka wakaunga vyuma na kuanza kukwea. Tupo nyuma katika kila kitu, leo hii tuwalaumu wa treni.

Hao unaowaita wenzetu na wao madini yao yanaibiwa kwa peni kama yetu?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana muda wa kupoteza kuandamana kipuuzi kama utakavyoandamana kesho au wako bize maofisini kuzalisha?
Hao unaowaita wenzetu na wao wanafunga shule zao za sekondari ili wanafunzi waende wakaandamane kwa mambo yasiyo na tija kwao?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana watu kama wewe?

Pili pili usiyoila yakuwashia nini?
 
Akili finyu unazo wewe na aliyekulea, KOMA!

Si kila changamoto inafahamika kabla. Yapo ambayo yalitakiwa yashughulikiwe mwanzo lkn kubwa analoliongelea huyu muanzisha mada ni la kukurupuka.

Sasa hivi kuna rundo la wasafiri wasio rasmi wanatumia ile treni kwa hamu tu na wala hawana safari. The same ilitokea kwa Ferry ile mpya ya magogoni ilipowekwa majini kwa mara ya kwanza. Hawa wakishapungua, ndio idadi ya watu itajulikana, kwa sasa ni lawama za kijinga.

Hao wenzetu unaowasema wewe kuwa wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto na kuzipatia ufumbuzi ni kina nani?


Sema walianza zamani, sasa kwa akili ya Kizombazomba unadhani waliamka wakaunga vyuma na kuanza kukwea. Tupo nyuma katika kila kitu, leo hii tuwalaumu wa treni.

Hao unaowaita wenzetu na wao madini yao yanaibiwa kwa peni kama yetu?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana muda wa kupoteza kuandamana kipuuzi kama utakavyoandamana kesho au wako bize maofisini kuzalisha?
Hao unaowaita wenzetu na wao wanafunga shule zao za sekondari ili wanafunzi waende wakaandamane kwa mambo yasiyo na tija kwao?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana watu kama wewe?

umetoa darasa tosha kwa wote wasio fikiri vizuri kabla ya kukosoa.hongera mwakyembe, kitendo cha kuanza japo kwa changamoto za hapa na pale, mimi nasema umethubutu, umesimamia umeweza.
 
Akili finyu unazo wewe na aliyekulea, KOMA!

Si kila changamoto inafahamika kabla. Yapo ambayo yalitakiwa yashughulikiwe mwanzo lkn kubwa analoliongelea huyu muanzisha mada ni la kukurupuka.

Sasa hivi kuna rundo la wasafiri wasio rasmi wanatumia ile treni kwa hamu tu na wala hawana safari. The same ilitokea kwa Ferry ile mpya ya magogoni ilipowekwa majini kwa mara ya kwanza. Hawa wakishapungua, ndio idadi ya watu itajulikana, kwa sasa ni lawama za kijinga.

Hao wenzetu unaowasema wewe kuwa wakianzisha treni zao wanakuwa wameshazifikiria changamoto na kuzipatia ufumbuzi ni kina nani?


Sema walianza zamani, sasa kwa akili ya Kizombazomba unadhani waliamka wakaunga vyuma na kuanza kukwea. Tupo nyuma katika kila kitu, leo hii tuwalaumu wa treni.

Hao unaowaita wenzetu na wao madini yao yanaibiwa kwa peni kama yetu?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana muda wa kupoteza kuandamana kipuuzi kama utakavyoandamana kesho au wako bize maofisini kuzalisha?
Hao unaowaita wenzetu na wao wanafunga shule zao za sekondari ili wanafunzi waende wakaandamane kwa mambo yasiyo na tija kwao?
Hao unaowaita wenzetu na wao wana watu kama wewe?

Mwana Mtoka Pabaya!
 
Back
Top Bottom