Tumejipanga vya kutosha?? miundombimu iko fresh? Madeleva wetu wa daladala na boda boda wawe makini sana na wafuate sheria za barabarani ili wasije wakagonga treni na kusababisha maafa makubwa!
Tumejipanga vya kutosha?? miundombimu iko fresh? Madeleva wetu wa daladala na boda boda wawe makini sana na wafuate sheria za barabarani ili wasije wakagonga treni na kusababisha maafa makubwa!
kuna taarifa zisizo rasmi kuwa nauli itakuwa 700 au 800.
Inabidi waangalie nauli ambayo mtanzania wa kawaida ataimudu hatakama
itabidi serekali ichangie kidogo ktk huo usafiri hata kwa kufuta kodi kwa mafuta yatakayo tumika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.