Usafiri wa Moshi kesho saa moja

Usafiri wa Moshi kesho saa moja

mavado

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2014
Posts
1,153
Reaction score
801
Husika na kichwa cha habari hapo juu, jameni natakiwa niwe mkoa wa kilimanjaro kesho asubuhi, jamani msaada waungwana wa usafiri je nitapata saa hii # am so confused
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu, jameni natakiwa niwe mkoa wa kilimanjaro kesho asubuhi, jamani msaada waungwana wa usafiri je nitapata saa hii # am so confused

Nenda pale ubungo kituo cha mafuta saa 3 hivi uliza magari ya magazeti utapata pale huwa wanapandia hapo.

Altenative nenda kinondoni Biafra magari hayo hupaki pale.
 
panda ndege au usafiri unamaanisha upi
 
Nendaubungooilcom saafarinjema. Agakabisafamilia. Speedzao sihabaukamwona Israel akikopokea mawinguni naavifijo. Kuliiiiliiiiiii
 
Thanks pipo Mungu awajaalie kwa waliotoa majibu yenye kujenga , na wengine pia, asanteni
 
Nenda pale ubungo kituo cha mafuta saa 3 hivi uliza magari ya magazeti utapata pale huwa wanapandia hapo.

Altenative nenda kinondoni Biafra magari hayo hupaki pale.

Thanks man
 
Au nenda hapo manzese kuna mafuso kibao yanaenda moshi na arusha..au njia nyingne iwahi hood inayotoka mbeya kwenda arusha pale chalinze
 
Thanks pipo, nimefanikiwa kufika tena mapema tuuu, jf ni nzuri sana
 
Back
Top Bottom