Naomba kufahamu kama kuna shuttle/ usafiri wa kushare kutoka KIA kwenda Moshi/Arusha pindi unapotua kiwanja hiki. (Sio airport Taxi) na pia ni bei gani
Kuna haja ya kwenda mpaka kule kituoni nje ya kiwanja au humohumo ndani yapo
Kuna shuttle ya Air Tanzania na za binafsi nyingi tu hapo KIA.Ukiingia kwenye Parking ya Arrivals utazipata.Zingine zimeleta wasafiri na hawataki kurudi tupu.Kuwa smart ku bargain.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.