Heshima sana wanajamvi.
Tulia wa leo si wa jana wala juzi.
Tulia wa leo amefubaa,amenyong'onyea,amepauka, amekuwa kichekesho na mnyonge katika viambaza vya wenye mamlaka.
Wengi mtakumbuka sakata la Kilimanjaro International Airport kumilikiwa na KADCO.
Wabunge walipiga kelele kubwa ni kwanini...