Totoz
Member
- Jan 27, 2013
- 99
- 18
Habari wapendwa mimi ni msichana.
Nimeona sehemu na haikutosha nikatumiwa text. Ni kuhusu kujisafisha kwa uke, kuna kila aina ya usafishaji mfano maji ya moto na kitambaa au kidole, ndimu, hata asali na pamba.
Mie binafsi naijua maji kwa kidole. Ila ni hii ya asali na pamba mixer na maji ya moto na sabuni jamani dada zangu ni njia ambayo haifai maana inauwa ulinzi(bacteria) wanailinda uke wako njia hii inamadhara sana kama hujui inaweza kukuletea cancer ya kizazi.
Tafadhalini sana tujaribu kuepuka mambo yanayo epukika.
Asanteni
Nimeona sehemu na haikutosha nikatumiwa text. Ni kuhusu kujisafisha kwa uke, kuna kila aina ya usafishaji mfano maji ya moto na kitambaa au kidole, ndimu, hata asali na pamba.
Mie binafsi naijua maji kwa kidole. Ila ni hii ya asali na pamba mixer na maji ya moto na sabuni jamani dada zangu ni njia ambayo haifai maana inauwa ulinzi(bacteria) wanailinda uke wako njia hii inamadhara sana kama hujui inaweza kukuletea cancer ya kizazi.
Tafadhalini sana tujaribu kuepuka mambo yanayo epukika.
Asanteni