Usafi hapa ni aje?

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,789
288,013
05_10_wwms8v.jpg

Wavuvi wa samaki katika Soko la Magogoni, Dar es Salaam wakiuza kitoweo hicho kwa wachuuzi baada ya kurejea kutoka kuvua. Kwa sasa samaki wadogo ndio wanaopatikana kwa wingi sokoni hapo. (Picha na Fadhili Akida).

Unaweza kususa kununua samaki....miguu tena mpaka sehemu waliyowekwa samaki?:angry:
 
Mhh kazi ipo ila ukichunguza sana heri ya hiyo miguu kuliko huko baharini:brick:
 
Tanzania kila mtu anaendesha shughuli kivyake kwa kweli na watu wa profession mbali mbali hawatimizi wajibu wao hapo nilitegemea Maafisa wa Afya wawe wmeshafanya kazi lakini bureeeeeee kabisaaaaaaaaaa
 
Si afadhali hapo Magogoni. Ulishafika machinjioni Vingunguti? Basi kama una kinyaa nyama utaiona kama mama mkwe wako. Na pale kuna ma bwana/bibi afya kibao.
 
kudra za mwenyezi Mungu tu zinatuponyesha ukifikiria sana na ukiona vinavyotokea unaweza kusema hauli tena.
 
Back
Top Bottom