BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Wavuvi wa samaki katika Soko la Magogoni, Dar es Salaam wakiuza kitoweo hicho kwa wachuuzi baada ya kurejea kutoka kuvua. Kwa sasa samaki wadogo ndio wanaopatikana kwa wingi sokoni hapo. (Picha na Fadhili Akida).
Unaweza kususa kununua samaki....miguu tena mpaka sehemu waliyowekwa samaki?:angry: