mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 1,192
- 2,255
Russia awe na carrier za nini wakati ana uwezo wa kupiga mahali popote pale duniani kwa usahihi na kwa muda mfupi sana??hahahaaa endelea kujifariji , nguv na hana hata carrier , raia wake wanakimbilia US kutafuta maisha , ebu acha unafiki Allah hapend hivyo
Hizo aircraft Carriers ni zilipendwa, kwa technolojia ya sasa carriers ni useless