29Oct2025
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,976
- 8,267
Hizi khabari kwa mujibu wa kijiwe cha gahwa kutoka kwa mnyamaniChina hajawahi kuacha kelele kule hizo porojo zako tu
Uchina kabeba maeneo ya bahari ya kila jirani yake kule baharini na hakuna meli ya Americant ilomfanya lolote lile
Sasa Americant c aondoe hizo ngarawa zake maana zimeshindwa kumlinda hata mshirika wake Philippines![]()
Safi kabisa