USA: Venezuela vs Iran

USA: Venezuela vs Iran

aaaw.PNG

vimondo vingine viko njiani mda huu, ni lugha ya missiles tu
 
Hizi akili za kijinga zinafanya nn JFS??? Mbona unafananisha vitu viwili tofauti?? IRAN uongoz mzma umeoza utachukua yupi uache yupi?? VENEZUELA Maduro pekee ndiyo alikuwa kichaa.
 
Hizi akili za kijinga zinafanya nn JFS??? Mbona unafananisha vitu viwili tofauti?? IRAN uongoz mzma umeoza utachukua yupi uache yupi?? VENEZUELA Maduro pekee ndiyo alikuwa kichaa.
Weh matakooo nini!?
Trump wiki iliyopita ametoka kutamba mtandaoni kwamba anajua kila mahali anapokanyaga Ayatollah, tena akampa onyo Ayatollah kuwa akubali masharti aliyopewa na USA ama anyakuliwe na tukio la kunyakuliwa kwake lioneshwe live dunia nzima.
Mwenye akili za kijinga ni mimi au Trump!?
 
Weh matakooo nini!?
Trump wiki iliyopita ametoka kutamba mtandaoni kwamba anajua kila mahali anapokanyaga Ayatollah, tena akampa onyo Ayatollah kuwa akubali masharti aliyopewa na USA ama anyakuliwe na tukio la kunyakuliwa kwake lioneshwe live dunia nzima.
Mwenye akili za kijinga ni mimi au Trump!?
Mkuu ebu achana nae huyo, mwenzako katoka kujifungua juzi, kwahiyo bado ana mshono wa uzazi.
 
Iran wanatumia koroan ya mud kuongoza nchi

wapo tayar wafe wote ili kumtetea mudi

So usidhan Israel Wana akili makalion km wewe
 
Iran wanatumia koroan ya mud kuongoza nchi

wapo tayar wafe wote ili kumtetea mudi

So usidhan Israel Wana akili makalion km wewe
Bora mimi ipo matakoni, wao inaonekana ipo mkundunii kabisa.
Hauwezi ukaanza uchokozi halafu ukaplay a victim within seconds.

HCO5Pv3aoAAljkA.jpeg
 
Kwa Iran inabidi asichukuliwe mtu, wanapigwa wote maana ni makobaz
 
Back
Top Bottom