kmdh
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 503
- 121
Nchi haijengwi kwa njia moja sasa unaposema "nipe mfano wa nchi iliyojengwa namna hii dunini" inakuwa una simplify a complex array into a simple construct.
La kama unaongelea nchi kujengwa kwa namna hii pamoja na nyingine, hakuna nchi ambayo haijajengwa kwa namna hii. Hata vuguvugu la uhuru Afrika lilichochewa sana na askari waliorudi safari baada ya kupigana vita vya pili vya dunia. Angalia superpowers zote na jinsi zilivyorise. Kuanzia Wagiriki na Wamisri waliosafiri baharini mpaka Warumi, Waingereza na Wamarekani. Sababu moja kubwa iliyofanya Europe itawale Africa, na si Africa kutawala Europe ni kwamba watu wa Europe walitoka kwao kuja kutafuta maisha Africa, bado hatujajifunza tu kwamba "Mgaa gaa na upwa hali wali mkavu"?
Swala hapa si mimi kukupa mfano wa nchi iliyojengwa namna hii, bali wewe kunipa mfano wa nchi ambayo haijajengwa namna hii, kama ipo.
Isolationism does not work.The Chinese tried it and despite being far more advanced technologically at an earlier stage before Europe, this same isolationism coupled with an utopia of "China is the centre of civilization, therefore the Chinese do not need to go out" is what stagnated Chinese development for hundreds if not thousands of years.
Yaani wewe hoja zako zina ma logical fallacies mpaka nashindwa sijui nianzie wapi kukujibu. Wewe umefikiaje hizo conclusions ulizoandika? Kusafiri nje ya nchi na kuona maendeleo ya duniani siyo lazima uhamie huko uende kuwa mtumwa wao. Unaweza kwenda kuyaona na ukarudi kujenga kwako.