US navy: Sailors missing after USS Fitzgerald collision

Si ndiyo hapo mkuu, meli ya mizigo hipo poa i.e bila madhala - leo hii ndiyo wajidanganye eti Meli hiyo ya kivita inaweza kustahimili makombora ya kuzamisha meli yanayo weza kuvurumishwa na jeshi la majini la Korea Kasikazini? Uncle SAM bwana - si kila siku wanajidai wanazo Radar za kisasa zinazo tumia mfumo ya Aegis zina uwezo wa kuona hata sindano ya kushonea nguo gizani sasa imekuwaje ikashindwa kuona kitu kikubwa kama meli ya mizigo - je makombora ya Kim yanayo ruka kwa kasi kubwa yakiwa futi hamsini tu juu ya bahari/maji ndiyo watayaona?
Mkuu wauza maneno USA ukiwauliza kabla haijagogwa hapo watakuambia imetengenezwa kwa billions of dollars !!!
Maana inauwezo wakujilinda yenyewe mameeee !!
 
Hapa Pro USA huwezi kuwaona maana walivyotema povu mwezi mmoja hivi uliopita wakati meli ya makachero ya Kirusi ilipogongana na meli ya mizigo huko Uturuki. Leo hii yao imewakuta tena kukiwa clear kabisa.
 
Ilipogongwa ya warusi mashariki ya kati nikajua warusi wazembe/teknolojia yao imepitwa na wakati.

Sasa na hawa wababe pia wanagongwa na meli ambayo si ya kivita, kazi ipo....
 
Si ndiyo hapo mkuu, meli ya mizigo hipo poa i.e bila madhala - leo hii ndiyo wajidanganye eti Meli hiyo ya kivita inaweza kustahimili makombora ya kuzamisha meli yanayo weza kuvurumishwa na jeshi la majini la Korea Kasikazini? Uncle SAM bwana - si kila siku wanajidai wanazo Radar za kisasa zinazo tumia mfumo ya Aegis zina uwezo wa kuona hata sindano ya kushonea nguo gizani sasa imekuwaje ikashindwa kuona kitu kikubwa kama meli ya mizigo - je makombora ya Kim yanayo ruka kwa kasi kubwa yakiwa futi hamsini tu juu ya bahari/maji ndiyo watayaona?
86988cf5c345c2e491f04aad2cdbb551.jpg


Hivi hii kweli ilishindwa kuJam kweli
df7d5fee26c22edf1afc7c3407ee1d6d.jpg

e119b948a9676b2eedfdff7c336a1d56.jpg



Tena hii ilikua inazama kabisa Bora hyo ya US ilikua inaendelea na safari
 
Hivi hii kweli ilishindwa kuJam kweli


Tena hii ilikua inazama kabisa Bora hyo ya US ilikua inaendelea na safari

Soma vizuri nilicho andika kwanza - labda nirudie tena, nimsema hivi:Jeshi la majini la Marekani utangazia Dunia kwamba Meli zao za vita zimewekewa Aegis Combat System inayotumia powerful computer na teknolojia ya radar yenye kazi mbili muhimu ya kwanza ni kuongozea makombora mpaka kwenye target, kazi ya pili ambayo nilikuwa naizungumzia mimi zaidi ni hii ya kudai "kwamba rada hiyo ina uwezo mkubwa sana Duniani wa kuona kila kitu iwe mchana au usiku wa giza totoro, hata sindano ikifichwa kwenye haystack itagundulika tu" maneno yao sio yangu - Sasa ndiyo nauliza: Ilikuwaje tena MELI iliyoseheni teknolojia ya kuona kila kitu, kuji-defend na kushambulia tishio lolote Duniani, teknolojia ambayo vyombo vyao vya habari na Jeshi lao uipigia debe kila kukicha halafu Meli husika ijikute inagongwa na meli ya mizigo inayo kwenda kasi ya infrasonic!!!

Swali hapa ni ,Je, Korea Kasikazini ikichokozwa na Uncle SAM halafu Kim ikavurumisha makombora ya kuzamisha Meli, makombora ambayo yana kasi inayokaribia hypersonic yanaruka chini ya futi 50 juu ya bahari/maji yametengenezwa in such a way kwamba yakikaribia target yanafanya a very violent and unpredictable maneuvers kukwepa mashabulizi kutoka ulinzi wa Melini, Wakorea wakitumia makombora type tajwa hapo juu, je, Meli za US Navy zitakuwa mgeni wa nani? - I am just curious.
 
Hapa Pro USA huwezi kuwaona maana walivyotema povu mwezi mmoja hivi uliopita wakati meli ya makachero ya Kirusi ilipogongana na meli ya mizigo huko Uturuki. Leo hii yao imewakuta tena kukiwa clear kabisa.

Mkuu kitu cha kwanza meli ya makachero imehundwa kama Meli za kubeba abiria/civil haijengwa kijeshi wala uwezi kukuta imewekewa makombora na silaha nyingine za kivita, yenyewe inawekewa ma radio scanners ya kusikiliza mawasiliano za maadui wao na vitu vingine kama jammers nk. Sasa mtu mwenye akili timamu awezi kulinganisha Meli ya kawaida na Meli iliyo undwa mahususi kwa vita, yaani Meli ya vita inagongwa na meli ya mizigo halafu inakuwa deformed mpaka mnara wa kuongozea meli ambao Captain/Admiral uishi na kufanyia kazi, ndiyo maana amejeruhiwa sana masikini!!

Kama Meli zao zote muhimu zimeundwa kinyoronyoro hivyo basi Kim,Putin na Ti Xing ping watakuwa wanachekelea sana - wamekwisha gundua kwamba wakitaka kuzizamisha fasta ni ku-prime missiles zao zilenge pembeni sio juu, mbele wala nyuma.

Kitu cha ajabu Wamarekani ni wagumu sana kujifunza kutokana na makosa yao ya awali, kama nakumbuka vizuri kwenye miaka ya tisini kuna meli yao ya kivita iliwahi kushambuliwa na kikundi cha Al Qaeda wakitumia speed boats, walilenga pembeni mwa Meli wakailipua, milipuko iliharibiwa sehemu kubwa sana na kuacha uwazi mkubwa wanamaji/wanajeshi 37 walikufa on the spot!! Huo ni mlipuko ulio sababishwa na speed boat, je, wa Antiship missiles za Kim,Putin na Ti Xi Ping si ndiyo itakuwa balaa!
 
86988cf5c345c2e491f04aad2cdbb551.jpg


Hivi hii kweli ilishindwa kuJam kweli
df7d5fee26c22edf1afc7c3407ee1d6d.jpg

e119b948a9676b2eedfdff7c336a1d56.jpg



Tena hii ilikua inazama kabisa Bora hyo ya US ilikua inaendelea na safari

Mambo mengine bwana!! Yaani wewe unaona hiyo ni Meli ya kivita? Inaonekana kama Meli ya uvuvi hisipo kuwa wingi wa Antenna ndiyo unadhilisha ni ya kijasusi.
 
Hapa Pro USA huwezi kuwaona maana walivyotema povu mwezi mmoja hivi uliopita wakati meli ya makachero ya Kirusi ilipogongana na meli ya mizigo huko Uturuki. Leo hii yao imewakuta tena kukiwa clear kabisa.
Bora unakumbuka mkuu hapa wakina cc nyani ngabu huwez kuwaona
 
Are these guys still the super power or is just a rhetorical fact? How come their ship didn't detect the presence of another vessel to the point of colliding with it, and left almost incapacitated, floaded, with injuries and possibly deaths? I imagine if this whole event was a warfare, what could have happened?
 
Mkuu kitu cha kwanza meli ya makachero imehundwa kama Meli za kubeba abiria/civil haijengwa kijeshi wala uwezi kukuta imewekewa makombora na silaha nyingine za kivita, yenyewe inawekewa ma radio scanners ya kusikiliza mawasiliano za maadui wao na vitu vingine kama jammers nk. Sasa mtu mwenye akili timamu awezi kulinganisha Meli ya kawaida na Meli iliyo humdwa mahususi kwa vita, yaani Meli ya vita inagongwa na meli ya mizigo inakuwa deformed mpaka mnara wa kuonogea meli ambao Captain/admiral uishi na kufanyia kazi, ndiyo maana amejeruhiwa sana masikini!! Kama Meli zao zote zamuhimu zimehundwa kinyoronyoro hivyo basi Kim,Putin na Ti Xing ping watakuwa wanachekelea sana - wamekwisha gundua kwamba wakitaka kuzizamisha fasta ni ku-prime missiles zao zilenge pembeni sio juu, mbele wala nyuma, kitu cha ajabu Marekani na wagumu sana kujifunza kutokana na makosa yao ya awali, kama nakumbuka vizuri kwenye miaka ya tisini kuna meli yao ya kivita iliwahi kushambuliwa na kikundi cha Al Qaeda wakitumia speed boats walilenga pembeni mwa Meli mlipuko iliharibiwa sehemu kubwa sana na kuacha uwazi mkubwa wanamaji/wanajeshi 37 walikufa on the spot!! Huo ni mlipuko ulio sababishwa na speed boat, je, wa antiship missiles si ndiyo itakuwa balaa!

Naona una utani na Nyani Ngabu wewe
 
Mambo mengine bwana!! Yaani wewe unaona hiyo ni Meli ya kivita? Inaonekana kama Meli ya uvuvi hisipo kuwa wingi wa Antenna ndiyo unadhilisha ni ya kijasusi.
Kwahyo wewe unajua kuliko warusi wenyewe wenye hiyo meli?!

Eti leo unaiita ya uvuvi lakini ingeJam bahari sijui ungeeiita meli ya kisasa ya Mother Russia.
 
US watasema Russia imehack radar zao ndani hio meli yao ndio hawakuiona meli ya mizigo, IN GOD WE TRUST , wanafiki wa amerika!
 
Kwahyo wewe unajua kuliko warusi wenyewe wenye hiyo meli?!

Eti leo unaiita ya uvuvi lakini ingeJam bahari sijui ungeeiita meli ya kisasa ya Mother Russia.

Hapa tunazungumzia utofauti katika ujenzi wa Meli za vita na Meli za kubeba abiria/uvuvi basi, kama uwezi kuzitofautisha .. up 2 U!
 
Imethibitishwa askari 7 wa US destroyer wamekutwa wamekufa
ab23699b5553fc0409811e3b3eadfb4e.jpg


Huku meli ya mizigo ikiondoka salama kabisa. Pale destroyer inapokuwa destroyed
 
Back
Top Bottom