Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Kwa sababu wewe bado unalala kwenye nyumba ya nyasi au mabua na kuishia mlo moja kwa siku basi Watanzania wote wanaishi hivyo.Yaani ni sawa na wewe una drive BMW X6 afu eti mwenye baskeli aina ya Swala anakulaumu wewe kwamba eti unamziba njia..yaani unamchomekea...useless!!
Marekani na Ulaya wametuacha nyuma miaka zaidi ya 500.