Viongozi wa makundi ya kigaidi ndio ujua wanapigania nn zaidi huwa ni siasa na miliki ya tawala, ila Vijana wadogo brain washed wengi wao wanawachukua toka kwenye familia zilizoumizwa kandamizwa na shida fulani saikolojia kuwaaminisha wanapigania diniMakundi ya kigaidi ni kama sub contractors wa Mashirika ya kijasusi ya nchi mbali mbali za kibeberu.Wae askari wao wanaotumika kwenye matukio ni Useful ediots ambao wanakuwa manipulated na kuaminishwa kuwa wanapigania dini kumbe wanatumika kisiasa na kiuchumi kwa maslahi ya mabwanyenye.ukitaka kuwaelewa hawa vijana wadogo wanaotumika kutekeleza haya mauji na mental state yao katafute documentary inaitwa Path of blood
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatengeneza tatizo alafu wanajitokeza kuleta utatuzi wa tatizo walilolotengeneza wenyewe,oldest trick in the book.hii strategy naona hata mzee jiwe naye anaitumiaHata ISIS na makundi mengine huko uarabuni hupewa ulinzi na silaha na kufadhiliwa na US, Saudi Arabia na Israel. Mara nyingi haya makundi huwa ni pretext ya wao kuja kuweka kambi zao ili kulinda maslahi yao mahali hapo. Wanajua wakikuambia uwaruhusu waweke kambi huku kuna amani utakataa. Wanakuwekea kikundi ili wakikuambia ukubali bila kuhojihoji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna yule mzungu hapo Kenya eti toka shambulio la west gate alikuwepo akaokoa watu, na hili la juzi alikuwepo akaokoa watu!
Yule atakuwa jasusi na huenda pengine ndio akikuwa anawaelekeza ingilieni hapa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Japan, South Africa na South Korea kuna military base za US lakini hakuna vikundi wala vitendo vya ugaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Japan walifiligiswa vita ya pili ya dunia na haohao marekani lasiivyo wasingekubali hilo,Japan, South Africa na South Korea kuna military base za US lakini hakuna vikundi wala vitendo vya ugaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
WW 2 ni ugaidi?Japan walifiligiswa vita ya pili ya dunia na haohao marekani lasiivyo wasingekubali hilo,
Korea ya kusini rejea vita ya ghuba ya korea
South afrika ndo kwanza nasikia kwako kuwa kuna US base.
Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wa makundi ya kigaidi ndio ujua wanapigania nn zaidi huwa ni siasa na miliki ya tawala, ila Vijana wadogo brain washed wengi wao wanawachukua toka kwenye familia zilizoumizwa kandamizwa na shida fulani saikolojia kuwaaminisha wanapigania dini
Sent using Jamii Forums mobile app
Thailand kuna Tamil Tigers, Burkina Faso na Niger imetengenezwa Boko Haram pale Nigeria na inazidi kuimarika, South Korea amejaa kuendeleza mgogoro na North Korea. Na post haijataja ugaidi pekeake.Japan, Thailand, Burkana Faso, Niger, South Africa na South Korea kuna military base za US lakini hakuna vikundi wala vitendo vya ugaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona upo mbali kidogo… Tamil tigers hawakuwahi kua Thailand, walikua Sri lanka na hakikua kikundi cha kigaidi ila ni watu jamii ya watamil ambao walitaka kujitenga kwa kuanzisha nchi yao ndani ya Sri lanka na hata hivyo kikundi hichi kilifurushwa vilivyo mwaka 2009 na hakipo tena….Thailand kuna Tamil Tigers, Burkina Faso na Niger imetengenezwa Boko Haram pale Nigeria na inazidi kuimarika, South Korea amejaa kuendeleza mgogoro na North Korea. Na post haijataja ugaidi pekeake.
Nakubaliana na masahihisho yako upande wa Sri Lanka lakini bado pia hujanipata, naelewa kwamba Boko Haram hawapo Niger, nimesema imetengenezwa Boko Haram pale Nigeria na inazidi kuimarika kwa maana hiyo wa West Africa haupo salama, na ndiyo hao jamaa hawashambulii Nigeria pekeake, wanakwenda hadi Cameroon, yeye kajiweka Niger, moja ya mataifa masikini kabisa, unafikiri Boko Haram wanapata wapi silaha kaka?Mkuu naona upo mbali kidogo… Tamil tigers hawakuwahi kua Thailand, walikua Sri lanka na hakikua kikundi cha kigaidi ila ni watu jamii ya watamil ambao walitaka kujitenga kwa kuanzisha nchi yao ndani ya Sri lanka na hata hivyo kikundi hichi kilifurushwa vilivyo mwaka 2009 na hakipo tena….
US wapo S.K kulinda masilahi yao na kama eneo mkakati barani Asia
Burkana Faso na Niger hakuna vitendo vya ugaidi (Tofautisha kati ya Niger na Naigeria)
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na masahihisho yako upande wa Sri Lanka lakini bado pia hujanipata, naelewa kwamba Boko Haram hawapo Niger, nimesema imetengenezwa Boko Haram pale Nigeria na inazidi kuimarika kwa maana hiyo wa West Africa haupo salama, na ndiyo hao jamaa hawashambulii Nigeria pekeake, wanakwenda hadi Cameroon, yeye kajiweka Niger, moja ya mataifa masikini kabisa, unafikiri Boko Haram wanapata wapi silaha kaka?
We fahamu kuwa US akikaa sehemu lazima atafute namna ya kujustify uwepo wake hapo. S. Korea na N. Korea wangekuwa at harmony asingepeleka pua yake pale.
Na si lazima kukawa na ugaidi tu mkuu, hata uncertainty kwao ina faida na lazima watahakikisha inakuwepo, kama ilivyokuwa kwa Tamil Tigers, wanaatempt hiyo pale Taiwan lakini China yuko strong sana