US: Kikundi kinachodhaminiwa na IS cha Msumbiji kisipodhibitiwa, uasi unaweza kuhamia Tanzania

Ukichunguza kwa ndani sehemu nyingi ambazo hawa IS wameshamiri huwa kuna mkono wa U.S. Wasiwasi wangu tu hili lisijekuwa ni plan ya U.S kuisambaratisha Mozambique na Tz hasa interest ikiwa ni natural gas. Huo ukanda kwa pande zote yaani kaskazini ya Msumbiji na Kusini mwa Tz kuna reserve kubwa ya natural gas.

Hivyo tusilichukulie vyepesi hili hasa kipindi hiki cha chaguzi ambapo mara nyingi vyombo vyote vya usalama macho yanakuwa kwenye hilo tu. Najaribu kufikiria kwa sauti tu

I subscribe to this view
 
Nasoma baadhi ya comment hadi na cheka kabisa hivi mnadhani kupambana na ugaidi ni sawa na kupambana na wafuasi wa chadema eti?
Mimi nadhani tumuombe mungu atuepushe na hawa watu.
Acha kuingiza siasa kwenye uhai wa watu ficha ujinga....
 
Wanajeshi wetu wanapasua matofari kwa vichwa hawawezi shindwa kiwapiga jamaa......

Ila ccm iache uonevu kwa watz mama hiki ndio chanzo cha ugaidi.....
 
Jeshi kama jeshi latakiwa kutumia akili na maarifa, na sio kutumia nguvu kisa kupasua matofali kwa vichwa 😁 Tembo na ubabe wake kwa sisimizi anatii.
Hahaaa......Ni Kweli kabisa ila wa kwetu wanaamini ktk miguvu
 
Hao hao marekani ndio wahusika wakuu wa hivyo vikundi, sasa wanatubeep waone tutachukua hatua ipi ya kujilinda, yote issue ya gas na si kingine. Mtakuja kukumbuka maneno yangu.
kwa kweli kila post ihusuyo Mozambique nimekuwa nikiwapa swali moja tu Huyo mmarekani anapochinba gas kwa sasa ni wilaya ya palma yaani ni wilaya kwanza kutokea boda ya kirambo mtwara ni km 60 tu unaingia hyo wilaya;sasa chakushangaza hao waasi wameanza toka 2017 mwishoni mpka leo ni 3yrs hawajawahi kugusa hiyo wilaya wanazunguka tu huko msimboa ni km 40 kutoka palma kwanini hawaingii palma penye kitovu cha kazi mmarekani?kama suala ni dini?kwanini wanaua waislam wenzao kama ni wapigania dini? mana nikizungumzia palma na msimboa %80 ni waislam wameuteka mji wa msimboa wameua raia wengi wasio na hatia walitoa siku 3 raia wawe wauacha mji hyo wilaya ni kubwa sana ilikuwa ni municipal ikiwa na kila kitu lkn leo kirahisi tu wameikalia hakuna raia hata mmoja

Kwanini hawaingii palma?mmarekani yuko hapo mpka kesho kazi zinaendelea kama kawaida kuna makampuni si chini ya 500 ya ujenzi na wafanyakazi zaidi ya elfu 8000 kunajengwa mji mkubwa huko maporini kulipokuwa na wanyama lkn leo ukifika ni kama kigamboni mpya

Ndo mana nakubaliana na wanaosema hivi vikundi ni nguvu ya mmarekani kwa nini alipo yeye hapaguswi?watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida na kutoka palma mpka msimboa ni km 40 tu washaingia na kuua na kuharibu si chini ya wilaya 5 za karibu kasoro palma kwanini?kuna siri gani hapa?dah mmarekani si wa kumwamini!
 
tujiulize mkuu ni htr sana wanasilaha za htr ukiona video zao hawa watu wanafadhiliwa na nchi yenye nguvu sana sio rahisi kabisa afu wanakufa nao lkn hawapungui ndo wanazidi inamaana wanalipwa vzr huyu mmarekani mi simwamini kabisa kwanini alipo yeye hawapagusi?anafanya kazi mpka sasa wala hashtuki kama kuna mapigano km 40 tu na alipo yeye!
Maswali mengi sana ya kujiuliza kuhusu Hawa magaidi wa msumbiji hv hawa jamaa silaha za kupambana na jeshi la nchi wanapata wapi wakati wao wapo porini tu huko na mangedere?
 
hii adhabu naona ndogo sana haki wale jamaa ni makatili ukiona picha za kina mama na watoto walivyochinjwa dah unaona kabisa adhabu wanayostahili ni kukatwa vipande kupikwA supu kuwapa mbwa
Yaani wakijaribu tu kutia mguu Tanzania kule Mtwara tunawakamata, wala hakuna haja ya kuwaua, tunawakata uume, mapumbv, pua masikio na vidole vya mikono wote alafu tunawaacha waende zao, hutawaona tena na itakuwa historia.. Yaani watakimbia wakipiga ukunga hadi watazamia baharini, hutawaona tena.
 
oooh sijaipata hii mkuu namuhurumia sana huyu mmakonde utawala.wake hata hauinjoi kwa kweli full matatizo dah aombe msaada asaidiwe asisubiri majirani wajiongeze asponyenyekea hilo jumba bovu litamwangukia tu mana vita ni pesa sasa hakuna Rais ambaye yupo tyr ayumbishe uchumi wake kwa kujipendekeza hakuna kwa kweli!!
Mkuu ukisoma vzr khs hilo eneo na jinsi hawa ASWJ walivyoibuka

Ukaitazama ramani vzr ,utaona kuna kitu kinaandaliwa

Juzi na Jana President Nyusi ameitisha kikao cha dharula ,tu subiri tuone nn wamesema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom