US Election Coverage 2008

She transitioned beautifully from energy to Darfur....

A lot of you thought she would fall on her face, crash and burn based on her interviews with Couric. I think she just playing possum....Just admit it....Biden got his ass smoked...

Yaani inaonekana kweli uelewa wako wa kuanalyze mambo ni finyu; kama unafikiri hayo yangetokea then ulikuwa waay off the ball park. Kinachozungumziwa hapo ilikuwa ni ishuz sasa kama ulikuwa unaogopa kama angeweza kusimama mbele ya big callibar like Biden then ndo yale niliyosema before kwamba expectations were so minimal. Sikusema kuwa kama angeweza kudondoka, lakini kama nyinyi mnaona hakudondoka then ndo kashinda safari ndefu ipo mbele yenu.
Mimi nimempa credit kwa kushow up tu......
 
Hivi ni mimi tu au na nyie wenzangu mmeona kuwa huyu mama Gov. Palin hana kituo wala koma kwenye sentensi zake....A bunch of run-ons...
 

Mimi mwenye uelewa finyu wa kuanalyze mambo naomba kuuliza: callibar ndio nini?
 
Hivi ni mimi tu au na nyie wenzangu mmeona kuwa huyu mama Gov. Palin hana kituo wala koma kwenye sentensi zake....A bunch of run-ons...

What does that have to do with anything...? Kama umeishiwa hoja tulia na kaa kimya usubiri shock and awe Nov.4.......eti hana kituo wala koma.....this is beyond nit picking.....geeeeeeeeezzzzzzz
 
Mimi mwenye uelewa finyu wa kuanalyze mambo naomba kuuliza: callibar ndio nini?
Mkuu si una tarakilishi wewe? Jaribu kugoogle then utaelewa. Tarakilishi kazi yake si kuchukua talking points za Makopo tu ina uwezo wa kukusaidia katika kuchambua mambo na kuwa informed pia. Nakupa Homework hiyo, nimekupa na hint pia, gooooooooogle!!!
 
Hivi ni mimi tu au na nyie wenzangu mmeona kuwa huyu mama Gov. Palin hana kituo wala koma kwenye sentensi zake....A bunch of run-ons...
Asije akasahau alichoambiwa kule Sedona....alikuwa hata hablink macho pia kama ulishtukia...Thats why!! Mbona vituo na koma vilikuwa vingi hadi maudhi wakati wa Gibson na Couric??
 

Ebana eeeh nimegoogle weeee sipati hilo neno callibar.....labda ulimaanisha caliber/ calibre...
 
Ebana eeeh nimegoogle weeee sipati hilo neno callibar.....labda ulimaanisha caliber/ calibre...
Unaelewa maana lugha lakini? Generally ni chombo cha mawasiliano...sasa kama ulielewa what I meant lets get back to it....issues....About the debate....usitoke nje mada maana nasikia ndo mchezo wako.
 
What does that have to do with anything...? Kama umeishiwa hoja tulia na kaa kimya usubiri shock and awe Nov.4.......eti hana kituo wala koma.....this is beyond nit picking.....geeeeeeeeezzzzzzz

Tatizo ni kwamba hajibu swali anapoulizwa. Na kwa sababu amekuwa "coached" na ana memorize anajaribu kujenga substance kwenye talking points. Kwa kufikiria kuwa she has to talk too much to elaborate kwamba ana knowledge she would go on and on and on.
Now..kule nyuma umeandika kuwa Fox News wamempa ushindi Gov. Palin. I want to remind you kuwa hiyo Polling ilifanyika kabla ya debate...I was listening to Fox News Radio jana asubuhi kipindi cha "Bryan & the Judge" na walikuwa wana hamasisha watu waende kwenye website kuvote who will win the debate that night.
Call it a spin.
 

Eti koma na nukta....very petty of you...

Halafu sio poll ya FOX News tu....angalia poll ya Drudge report....66% said she won...

Hahahahaaaa....kumbe mko wengi mnaoizimia FOX News eeehh....hahahahahaaa
 
Unaelewa maana lugha lakini? Generally ni chombo cha mawasiliano...sasa kama ulielewa what I meant lets get back to it....issues....About the debate....usitoke nje mada maana nasikia ndo mchezo wako.

Kwa hiyo "callibar" ni chombo cha mawasiliano? Tafadhali naomba niwekee picha nikione.....
 
Eti koma na nukta....very petty of you...

Halafu sio poll ya FOX News tu....angalia poll ya Drudge report....66% said she won...

Hahahahaaaa....kumbe mko wengi mnaoizimia FOX News eeehh....hahahahahaaa

Nyani ndugu yangu...I am listening to both sides..I read all talking points kutokea kwa radicals kama Michelle Malkin (Hot Air) on the left mpaka Daily Kos: State of the Nation on the right. The point is..once I am informed with the bias I can be able to make my own decision.
 
Kama kuna Pundit anayesema Biden hakushinda hii debate basi huyo pundit ana matatizo!, Biden leo kakata ishu si mahisara, alikuwa akigonga pointi na data juu. kusema kweli sijasikia statistial data zozote za maana kutoka kwa mwanamama palin!. halafu akajifanya kutumia preemptive strike kwa media, huenda hii stratergy imemsaidia kidogo asipigwe madongo zaidi!
 

Ona mwingine huyu...unajua Biden katoa misstatements ngapi? Halafu hata responsibilities za vp hazijui? Kuhusu swala la coal kachemsha...yuko on record akidai hakuna coal Marekani..........
 
Jamani mwacheni Nyani afurahi leo maana jana alizimia kitandani kwa furaha (akisingizia eti ni usingizi)baada ya Mama Palin kubaki wima na kutokimbia from the stage. Tatizo hawa GOPers wanasema kutochemka ndo kiwango wakati kiwango cha VP debate ni: a) Kumnadi mgombea wako wa urais b) kumshusha chati mgombea rais wa mwenzako c) kuwashawishi wananchi kwamba chochote kikitokea utaweza kushika usukani wa nchi. Palin kafeli zote BUT she didn't BLINK she just WINKED!! Kwikwikwiiiii!
 

HIzo polls zinachekesha sana za Drudge na Fox ni kama ukisema eti Huffington Post poll au Daily Kos poll. At least the left wing liberals have humor! have you seen the Daily Kos polls, utacheka mpaka basi!!
Angalau they are honest that they are biased siyo Drudge na Fox wanajifanya mainstream media!!!
 
What do you know Bubu? Nothing....nada.....zero.....

LOL! 🙂 punguza munkari mimi sikukwambia umpigie debe Mcsame, uliamua mwenyewe subiri mpaka 2012 utafute mgombea mwingine wa kumpigia debe, mwaka huu huna kitu! 🙂
 
Kwa hiyo "callibar" ni chombo cha mawasiliano? Tafadhali naomba niwekee picha nikione.....
Nimesema maana ya lugha ni chombo cha mawasiliano; Mbona hutaki kurudi kwenye point, mimi sio kama hao ambao utawapeleka out of topic then mkabishanie huko, lengo ni kujadili debate....pindi utakaporudi kwenye debate then let me know.....
 

Wacha maneno wewe...ange perform kama kwenye zile snippets za interview ya Couric leo hii pasingekalika humu.....tell the truth...you would have gloated like never before!! Tayari mngeshatangaza ushindi na kuanza kumtaka McCain a concede....Mna mambo kweli nyie

Halafu kaenda toe to toe na Joe Biden (Chairman wa senate foreign relations committee).....that's a tall order for anyone...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…