No expectations are high, because she has to perform very well for people to consider her seriously and ready to take over the country just in case babu akichemsha.You know...expectations for her are so low that everybody thinks she will chemsha. This debate is the most intriguing of all. You have Joey who is never short on gaffes and Lord knows how many he will make on Thursday. You have Sarah who seems to be clueless on what she is talking about....oh my....I can't wait....
Nasikia eti stratergy ya Joey ni kum ignore Sarah....
No expectations are high, because she has to perform very well for people to consider her seriously and ready to take over the country just in case babu akichemsha.
You know...expectations for her are so low that everybody thinks she will chemsha. This debate is the most intriguing of all. You have Joey who is never short on gaffes and Lord knows how many he will make on Thursday. You have Sarah who seems to be clueless on what she is talking about....oh my....I can't wait....
Nasikia eti stratergy ya Joey ni kum ignore Sarah....
Hiyo ya expectation nimekubali. Lakini naomba niulize why is your Babu babysitting Palin wakati wa Interview na Couric mara ya Pili? kwikwikwiiiii! Huyo Kisura nasikia yuko Arizona ana-cramishwa na kaina Schmidt! Kazi ipo. Kheri babu yetu Joe anachemka lakini he knows his sh** kuliko huyo kisura anachemka and doesn't know sh**!
Naona unamuiga baba yako "You don't get it" Hahahahah!!You don't get what I'm saying.....
Yule mama sijuii!!? Hata newspaper au Magazine anazosoma hakumbuki sijui hajui sijui hasomagi any? I'm sorry angekuwa mwanaume yulee angekuwa ni kituko zaidi, media ya US inatishwa na Camp McCain na wamekubali kuto-kum-Challenge mama Palin.all I can say is this....I can't wait for the debate....for no one knows how it will go.....
Yule mama sijuii!!? Hata newspaper au Magazine anazosoma hakumbuki sijui hajui sijui hasomagi any? I'm sorry angekuwa mwanaume yulee angekuwa ni kituko zaidi, media ya US inatishwa na Camp McCain na wamekubali kuto-kum-Challenge mama Palin.
Niliona hiyo CNN waliirudia, Mama ni mtupu kweli kweli!! Alishindwa hata kutaja majina ya magazeti mawili au matatu. Inaelekea huwa hasomi kabisa magazeti hata majina ya magazeti hayo hayajui. Nasikia baadhi ya Repulicans wamemtaka ajitoe kati nafasi hiyo "for the sake of their party" Juzi juzi tu alikuwa na umaarufu wa hali ya juu, leo kaanguka kama gunia puuuuh! na kesho akivurunda vibaya basi ndiyo sauti ndani ya Republicans dhidi ya kisura zitaongezeka na hapo ndipo tutakapomuona babu McOld alias Mavericks ataamua kufuata upepo unaolekea wapi.
Ohhhh!!!!! It is fix neuwz again, but MCngabu on us whateva comments we submit you always claim they are from huffingtonpost or Moveon.or, Dailykos etc. How on hell do you think we can trust fix as the source?
Kuhusu huyu mama kuandika kitabu iko documented na haina ubishi. Huffpo, dailykos, CNN, MSNBC huwezi kuikuta hii habari kwa vile hai-reflect vizuri kwa candidate wao. But it is true.
Nyani you walked into your own trap!! Sasa kama hii ishu ilikuwa wazi na inajulikana kwa nini McCain team ilikubali moderator Ifill wakati wa negotiations? Why is this coming up now? This book was in the making for months now! It was not a secret. Acheni kutafuta sababu! Mpeni mama tizi kali ili asiumbuke sana kesho!
They just found out not too long ago...just a couple days ago! And the drive-by media is silent about it. Halafu NBC news wamepeleka investigative reporter kwenda ku verify McCain's account ya experience yake matekani.....hahahahahahaaaa.....haya bana media wako very objective...
Not true!!!! Hii ishu ilikuwa unajulikana for weeks! It is only Drudge ndo hakujua. Sasa liberal media unayoisema ndo walikuwa busy wanam-attack Obama about Jeremiah Wright etc, mbona ulikuwa uko busy unawasikiliza na kuwaamini? Acheni uzushi!
Sasa investigative repoter anafanya kazi yake usishangae. Walivyotuma inevstigative reporters kufuatilia Rezko trial, hatukusikia ukilalamika!
Biden kwa fix!!, jamaa anadai eti wakati wa great depression Raisi roosevelt aliadress tatizo kupitia kwenye television!!, wakati kumbe wakati huo raisi hakuwa roosevelt bali alikuwa truman, na wakati ule hakukuwa na television bali kulikuwepo na radio.!!!!!
we acha tu! angekuwa Palin au McCaino ndo kasema hivyo Susuviri angepoteza fahamu kwa furaha.....