JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,394
- 9,676
Wadau.
Daktari wetu wa uchumi anasemaje huko?. Dollar sasa imeadimika sana na inazidi kupaa tu. Kiufupi sasa uchumi wetu unachuchumia kifo. Hapa Aiport ya Dar haipatikani imebidi niagize mtu KARIAKOO na hiyo ndio bei. Yaani nilikuwa na Milion yangu nimeambulia dollar 385.
Tuwe makini sana. Maana sasa hata bajet ya tr 40+ sio kitu tena kama tunategemea kununua vitu nje ya nchi.
Mambo ni moto kila kona.
Daktari wetu wa uchumi anasemaje huko?. Dollar sasa imeadimika sana na inazidi kupaa tu. Kiufupi sasa uchumi wetu unachuchumia kifo. Hapa Aiport ya Dar haipatikani imebidi niagize mtu KARIAKOO na hiyo ndio bei. Yaani nilikuwa na Milion yangu nimeambulia dollar 385.
Tuwe makini sana. Maana sasa hata bajet ya tr 40+ sio kitu tena kama tunategemea kununua vitu nje ya nchi.
Mambo ni moto kila kona.