US Bunker-Busting Bombs Ready to Go Against Iran

US Bunker-Busting Bombs Ready to Go Against Iran

Keep on dreaming ... mmeshachelewa ... umeisikia hii Antey-2500 anti-ballistic missile systems ambayo Irani kauziwa na Russia juzi tu mwezi wa Tatu? ... mwanzoni alikuwa anataka kumpa S-300 missiles lakini baada ya Wazungu na Israel kulalamika wakasitisha mwaka 2007.

Sasa juzi baada ya kumtibua Russia kaamua amuuzie Irani hiyo ... keep on Dreamimg na ndoto zenu za Imperialistic za Kimarekani ... hamjui mnachokishadadia.
2013 .BINARY NO.MK254.Extraterrestrial.Elungata.

The U.S. and Israel have long lobbied against Russian attempts to sell the S-300 missiles to its allies, Iran and Syria. The Antey-2500 is a mobile surface-to-air missile system that can destroy aircraft and ballistic missiles at a range of 200 kilometers (about 125 miles), according to its manufacturer, Almaz-Antey.

Russia offers Iran latest anti-ballistic missile system, Tehran considering deal – Rostec CEOPublished time: February 24, 2015 02:02
Edited time: February 25, 2015 08:33

Russia's state-owned high-tech corporation Rostec has offered Iran the chance to buy its latest Antey-2500 anti- aircraft and ballistic missile system, instead of the older S-300 system, the company's CEO said, adding that Tehran is considering the deal.

"We have offered Antey-2500 instead of S-300. They are thinking. No decision has been made yet," Rostec CEO Sergei Chemezov said while speaking at an international arms show in Abu Dhabi, Saudi Arabia, according to TASS.

SOURCE:

1 http://www.wsj.com/articles/russia-offers-to-sell-powerful-air-defense-system-to-iran-1424703191

2. http://www.haaretz.com/news/middle-east/1.643806

3, http://rt.com/news/234855-russia-iran-missiles-deal/

9A83ME_TEL_-_Antey-2500_SAM_02.jpg



video



.​
 
Last edited by a moderator:
Iran has made it all. But never tested in a real conventonal war. So it will be a shocking story when mistakes arise .

Especially powerful army. Iranian soldiers are so obese.. They enjoy good time.
USA has got Nukes that can turn Iranian soil into ashes.

USA fought numbers of military operations for more than 20 Years. Us army is full of experience,

Iran is still under sanctions. USA army is patrolling preventing Iran from conducting business in the ghulf. Iran never attack those western army. The only thing iran have done so far is to keep bitching.
Don't make an impression that Iran is going to win a
This war. That is delusional.
So why arent they attacking iran if it is that easy?.
iran was once an empire,they can fight.
iran influence is growing,now four middle east country is under iran,=irag,syria,lebanon,yemen.
the empire is expanding and what does america do?.
 
There is no way in the world Izraeli are ever going to attack Iran.
But for the sake of argument lets say it is true.
the fact is that Izrael is not going to ask for permission and they will fly over the Saudi air Space ONCE and only ONCE (Beacuse the Saudi Zionist Family is weak). The Saudi corrupt family will gladly allow them to fly over their land but only ONCE because beyond that they can not pretend that they didn't know and that Izrael just flew over.
The best that Izrael can EVER do is one suprise attack and their real option is Saudi Arabia.
If Izrael flies over Iraq then they have to fly over Syria which will increse the chance of Iran knowing they are flying over Syria towards Iran.
If they fly over Turkey then they wil be forced down.
If they fly over Azerbaijan then not only Azarbaijan would have to take the brunt of Iran's anger but also of Russia's so they (Azari's) will not risk that either.
But again there is no way in the world Izraeli will have the B@lls to attack Iran.
 
-Mara nyingi huwa nipo against na Marekani, huwa nawaona kama ni taifa la wanyonyaji.
-Iran endelea kupiga domo kwa USA ila sio kuwavamia, mtafutwa.
 
Iran nnauhakaika wataipiga USA kutokea Amerika ya Kusini ambako walikuwa wanajitengeneza vya kutosha wakati wa Chavez.

enhanced-buzz-wide-24713-1362531745-5.jpg
JUAN BARRETO / Getty Images
Walishaisha zamani hao, mmoja Yuko 6 feet under , mwingine yupo kifungo cha nje, kimya Hana influence yeyote
 
Keep on dreaming ... mmeshachelewa ... umeisikia hii Antey-2500 anti-ballistic missile systems ambayo Irani kauziwa na Russia juzi tu mwezi wa Tatu? ... mwanzoni alikuwa anataka kumpa S-300 missiles lakini baada ya Wazungu na Israel kulalamika wakasitisha mwaka 2007.

Sasa juzi baada ya kumtibua Russia kaamua amuuzie Irani hiyo ... keep on Dreamimg na ndoto zenu za Imperialistic za Kimarekani ... hamjui mnachokishadadia.
2013





SOURCE:

1 Russia Offers to Sell Powerful Air-Defense System to Iran - WSJ

2. Russia offers Iran new air defense missile deal - Middle East - Israel News | Haaretz

3, ?Russia offers Iran latest anti-ballistic missile system, Tehran considering deal ? Rostec CEO ? RT News

9A83ME_TEL_-_Antey-2500_SAM_02.jpg



video



.​

Pieces of scrap they use radars , which can be disabled na Satelite signals
 
Last edited by a moderator:
Pieces of scrap they use radars , which can be disabled na Satelite signals
Tatizo lako unaangalia mambo kishabiki ... keep on believing hao wanaokuambia kuwa vitu kama US Aegis system. Currently installed on the most sophisticated US Navy warships ndio bora zaidi duniani.
sodoliki 2013 .BINARY NO.MK254.Extraterrestrial.Elungata.

Dont underestimate your opponent!

Wewe jiulize mbona juzi tu hapa the best sophisticated US Navy warships USS Donald Cookilikuwa DISABLED kwa ndege moja tu ya Kirusi ya SU-24 Flanker katika Black Sea!

US destroyer "Donald Cook" with cruise missiles "Tomahawk" entered the neutral waters of the Black Sea on April 10. The purpose was a demonstration of force and intimidation in connection with the position of Russia in Ukraine and Crimea. The appearance of American warships in these waters is in contradiction of the Montreux Convention about the nature and duration of stay in the Black Sea by the military ships of countries not washed by this sea.

In response, Russia sent an unarmed bomber Su- 24 to fly around the U.S. destroyer. However, experts say that this plane was equipped with the latest Russian electronic warfare complex. According to this version, "Aegis" spotted from afar the approaching aircraft, and sounded alarm. Everything went normally, American radars calculated the speed of the approaching target. And suddenly all the screens went blank. "Aegis" was not working any more, and the rockets could not get target information. Meanwhile, Su-24 flew over the deck of the destroyer, did battle turn and simulated missile attack on the target. Then it turned and repeated the maneuver. And did so 12 times.

Apparently, all efforts to revive the "Aegis" and provide target information for the defense failed.

And

Was this impressive technology demonstration by Russia on the USS Donald Cook, a warning to America to stop poking the Russian bear as we have been doing by financing the coup in Kiev and installing a puppet government busy killing civilians in Eastern Ukraine? The Aegis radar system of the US Navy was supposedly the most sophisticated radar in the world. It's clear now that the Russians have technology so advanced the Aegis radar is now a complete joke and totally obsolete. Every ship we have is now a complete sitting duck. The US has been shown that the Russians totally outclass the conventional US weapons and aren't going to be pushed around. We have insane people in control of the US that keep pushing though. It's almost as if they want to get World War 3 going so they can stop the awakening going on around the planet.

Wewe endelea kuongea kishabiki ila hao wenzako wamerekani waliopo kwenye defense industry wanajua kuwa sio scrap

Read more:

AEGIS Fail in Black SEA, Ruskies Burn Down USS Donald "Duck" | Veterans Today

What frightened the USS Donald Cook so much in the Black Sea?

Did Russia Disable US Ship With Alien Technology? | Alternative
 
Tatizo lako unaangalia mambo kishabiki ... keep on believing hao wanaokuambia kuwa vitu kama US Aegis system. Currently installed on the most sophisticated US Navy warships ndio bora zaidi duniani.
sodoliki 2013 .BINARY NO.MK254.Extraterrestrial.Elungata.

Dont underestimate your opponent!

Wewe jiulize mbona juzi tu hapa the best sophisticated US Navy warships USS Donald Cookilikuwa DISABLED kwa ndege moja tu ya Kirusi ya SU-24 Flanker katika Black Sea!



And



Wewe endelea kuongea kishabiki ila hao wenzako wamerekani waliopo kwenye defense industry wanajua kuwa sio scrap

Read more:

AEGIS Fail in Black SEA, Ruskies Burn Down USS Donald "Duck" | Veterans Today

What frightened the USS Donald Cook so much in the Black Sea?

Did Russia Disable US Ship With Alien Technology? | Alternative
Kwanza Kwa mtazamo wako nadhani huoni Iran kama Nchi ya kiisilamu, kwani kuna wenzio wanakaataa, lakini pili, sioni
jinsi Iran inaweza kuikabiri israel au Marekani, unless kama unazungumzia proxy war kama Afghanistan au hata Iraq ambapo juhudi kubwa inatumika kwa Upande mmoja kuepukana na civilian casualties, lakini vita kwa vita Iran itatudi stone age
 
Ninaona spies wa Israel washaanza kusababisha chokochoko zao baada ya kuona shughuli ya Iran hawatoiweza peke yao
 
Tatizo lako unaangalia mambo kishabiki ... keep on believing hao wanaokuambia kuwa vitu kama US Aegis system. Currently installed on the most sophisticated US Navy warships ndio bora zaidi duniani.
sodoliki 2013 .BINARY NO.MK254.Extraterrestrial.Elungata.

Dont underestimate your opponent!

Wewe jiulize mbona juzi tu hapa the best sophisticated US Navy warships USS Donald Cookilikuwa DISABLED kwa ndege moja tu ya Kirusi ya SU-24 Flanker katika Black Sea!



And



Wewe endelea kuongea kishabiki ila hao wenzako wamerekani waliopo kwenye defense industry wanajua kuwa sio scrap

Read more:

AEGIS Fail in Black SEA, Ruskies Burn Down USS Donald “Duck” | Veterans Today

What frightened the USS Donald Cook so much in the Black Sea?

Did Russia Disable US Ship With Alien Technology? | Alternative

Unataka kumaanisha Iran itaipiga na kuishinda USA na Israel sio?

Iran wenyewe.pale ilipo inaomba dua ya dua lau ili tu vita isitokee. Kwani wanajua pasi na shaka kuwa USA wakishuka pale uayatollah woote kwishney...
Sasa wewe unawapa moyo wapenzinwa Iran, huku ukidhani USA ni watoto.

Miongoni mwa mambo yaliomporomosha Ahmednejan nchini kwake alipokuwa rais ni siasa zake zenye kupelekea tension ambayo mwaka 2008 ilibaki kidogo USA waivamie Iran.
Ndio maana una mwona Hassan Rouhan akijaribu kupooza tension hizi kwa majadiliano bila kujali kauli za msema hovyo supreme leader --------- wao.
Hakuna nchini pale mashariki ya kati yenye uwezo wa kusimama man to man na USA.
Ni upuuzi kuamini USA. Itakubali kushindwa vita.

Nakumbuka wakati Russia inapigana na waislamu wa chechnyia Putin alisema wakiwashindwa watatumia nuclear.
Sasa kama Russia iliwazA kutumia nuclear kwa vikundi vya kiislamu vya kigaidi tu. Itakuaje USA ikipigana conventions war na Iran unayosema imeuziwa silaha bora. Tena unadai ni bora kuliko za america. Kitu ambacho si cha kweli hata hivyo.
USA ni superior duniani. Na ndio nchini pekee yenye kupunguza majeruhi na vifo vya askari wake wa vita kuliko taifa lolote duniani.
Na hizi ni kutokana na usasa wa vifaa na ubora wa hali ya juu.
Iran itapigwa tu. Hata uje na ushahidi gani.huwezi zuia Iran wasipokee kichapo.

Tuombe mungu washindwane kwenye majadiliano na vita iibuke mwaka huu. Chungu na tamu itajulikana.
USA itashinda tu. Hakuna cha kuzuia.
Kinachowafanya USA kutokujiingiza kwenye vita ni pressure ya mataifa Makubwa kama Russia na China. Mataifa haya yamekuwa yakiichalenji USA ili isijiingize kwenye vita sambamba na vile USA inavyo yachalenji mataifa haya makubwa kwenye migogoro yao. Kama vile China na Japan,Taiwan, Xinjiang, mgogoro wa mpaka wa bahari na mbinu za vita dhidi ya ugaidi , utawala bora jamhuri ya watu wa China

Vilevile Russia kuna ugomvi na Japan, chechnyia, Ukraine, na mbinu za vita dhidi ya ugaidi.
Utaona kuwa kwenye migogoro yao.Mara nyingi USA imekuwa ikizikosoa.mbinu mbalmbali wanazotumia. Na wenyewe wamekuwa hawakosoani Bali wanamkosoa mmarekani kama retaliation.

USA haijafanikiwa vya kutosha kuzishawishi hizi nchi zitambue uhalali wa yenyewe kuipiga Iran.
Na kama mataifa ya arabuni kama saudia, yemen n.k. yataongeza kupaza sauti dhidi ya iran kama inavyoonekana sasa. Ni wazi kuwa USA itakuwa na vituo vingi vya kijeshi pale arabuni. Iran haitakuwa na pa kujificha. Na iran wanaweza wasirushe ndege kama alivyoshughulikiwa sadamu hussein.naf said
 
Kwanza Kwa mtazamo wako nadhani huoni Iran kama Nchi ya kiisilamu, kwani kuna wenzio wanakaataa, lakini pili, sioni jinsi Iran inaweza kuikabiri israel au Marekani, unless kama unazungumzia proxy war kama Afghanistan au hata Iraq ambapo juhudi kubwa inatumika kwa Upande mmoja kuepukana na civilian casualties, lakini vita kwa vita Iran itatudi stone age
mtazamo wako nadhani huoni Iran kama Nchi ya kiisilamu
Mkuu sodoliki Mimi I don't care iwe ni nchi ya kiislam au siyo ... mimi mwenyewe siyo Muislam ... ila naongelea ukweli & sovereignty ya Independent country!

Leo hii na sisi hapa Tanzania tukiamua kujiendeleza kwenye sayansi ya Nuclear technology kwa ajili ya kuzalisha umeme etc kwa nini tunyimwe?, ni nani mwenye haki zadi yetu ya kutuzuia kufanya maendeleo yetu? (sovereignty) ndio msimamo wangu.

sioni jinsi Iran inaweza kuikabiri israel au Marekani
Sijasema kuwa Iran itaweza kuishinda America au Israel katika vita & wala siombei wapigane vita ila itawasaidia Wairan kama Taifa huru katika kujilinda dhidi ya mashambulio ya anga.

Itawafanya Wamerekani wajiulize mara mbili mbili kama it worth it marubani wao kufa vitani kwa kitu ambacho wanaweza kumaliza kwa mazungumzo.

And bytheway, hizi SAM S300 ni defensive by nature si kwa ajili ya kushambulia nchi nyingine .. so sioni ubaya wake.

kama Qaddafi wa Libya angekuwa na hizi s300 nakwambia hakuna nchi ya NATO ambayo ingejitoa kwenda Libya na kufanya mashambulizi yao as ndege zao zingetunguliwa. Sasa Libya ingeweza kuzuia uharibifu na vifo vilivyotokea baada ya kushambuliwa.

Mind you
- Hizi s300 hazijawahi ku-miss target
- Na pia sio ndege tu, ila zinatungua hata missiles kama Tomahawks za Marekani

Alafu unaposema civilian casualties Iraq ... kwani nani alianza kumshambulia mwenzake? - kwani Sadam alitangaza vita na Marekani? - kwa nini walimfanyia aggression katika second war ya Iraq?.

Unataka kumaanisha Iran itaipiga na kuishinda USA na Israel sio?

Iran wenyewe.pale ilipo inaomba dua ya dua lau ili tu vita isitokee. Kwani wanajua pasi na shaka kuwa USA wakishuka pale uayatollah woote kwishney... Sasa wewe unawapa moyo wapenzinwa Iran, huku ukidhani USA ni watoto.

Iran itapigwa tu. Hata uje na ushahidi gani.huwezi zuia Iran wasipokee kichapo.

Tuombe mungu washindwane kwenye majadiliano na vita iibuke mwaka huu. Chungu na tamu itajulikana.
USA itashinda tu. Hakuna cha kuzuia.

Kinachowafanya USA kutokujiingiza kwenye vita ni pressure ya mataifa Makubwa kama Russia na China. Mataifa haya yamekuwa yakiichalenji USA ili isijiingize kwenye vita sambamba na vile USA inavyo yachalenji mataifa haya makubwa kwenye migogoro yao. Kama vile China na Japan,Taiwan, Xinjiang, mgogoro wa mpaka wa bahari na mbinu za vita dhidi ya ugaidi , utawala bora jamhuri ya watu wa China

USA haijafanikiwa vya kutosha kuzishawishi hizi nchi zitambue uhalali wa yenyewe kuipiga Iran.
Na kama mataifa ya arabuni kama saudia, yemen n.k. yataongeza kupaza sauti dhidi ya iran kama inavyoonekana sasa. Ni wazi kuwa USA itakuwa na vituo vingi vya kijeshi pale arabuni. Iran haitakuwa na pa kujificha. Na iran wanaweza wasirushe ndege kama alivyoshughulikiwa sadamu hussein.naf said

Kwa nini US yeye anapenda kuvamia nchi huru kila mara hebu angalia hapa ni watu wangapi wamepoteza maisha kwa sababu ya mambo haya ya US?

List of countries the USA has bombed since the end of World War II

Korea 1950-53
China 1950-53
Guatemala 1954
Indonesia 1958
Cuba 1959-60
Guatemala 1960
Belgian Congo 1964
Guatemala 1964
Dominican Republic 1965-66
Peru 1965
Laos 1964-73
Vietnam 1961-73
Cambodia 1969-70
Guatemala 1967-69
Lebanon 1982-84
Grenada 1983-84
Libya 1986
El Salvador 1981-92
Nicaragua 1981-90
Iran 1987-88
Libya 1989
Panama 1989-90
Iraq 1991
Kuwait 1991
Somalia 1992-94
Bosnia 1995
Iran 1998
Sudan 1998
Afghanistan 1998
Yugoslavia – Serbia 1999
Afghanistan 2001
Libya 2011

Na hapo hatujaweka zingine kama Serbia na nyingine

Afghanistan (1998; 2001-),
Yemen (2000; 2002-),
Macedonia (2001),
Colombia (2002-),
Pakistan (2005-),
Syria (2008; 2011-),

Haya katika hizi ... hebu niambie kashinda wapi? - pote baada ya kufanya uharibifu anaondoka na kuacha moto unaendelea!

Afghanistan (1998; 2001-), - bado anaedelea kupigana na hajashinda anataka kukimbia sasa
Yemen (2000; 2002-), - kachemka na drones zake mpaka sasa Saudi kaingilia
Colombia (2002-), - mpaka leo bado kunawaka
Pakistan (2005-), - drones kila siku watoto na wanawake wanakufa
Syria (2008; 2011-), - kaanzisha mwenyewe US na sasa ISS wametamalaki baada ya kuona maji ya shingo sasa anataka kufanya mazungumzo na Assad baada ya uharibifu
Libya 2011 - still burning!

Sasa mnataka muiharibu na Iran?!!

Haya sasa niambie Iran imeivamia nchi gani? - taja hata moja alafu ndo tujue aggressor ni nani!

cc: 2013 .Elungata.Aleyn.sodoliki.Frank Wanjiru.kivava.MK254.FaizaFoxy.Extraterrestrial.
 
Mkuu sodoliki Mimi I don't care iwe ni nchi ya kiislam au siyo ... mimi mwenyewe siyo Muislam ... ila naongelea ukweli & sovereignty ya Independent country!

Leo hii na sisi hapa Tanzania tukiamua kujiendeleza kwenye sayansi ya Nuclear technology kwa ajili ya kuzalisha umeme etc kwa nini tunyimwe?, ni nani mwenye haki zadi yetu ya kutuzuia kufanya maendeleo yetu? (sovereignty) ndio msimamo wangu.


Sijasema kuwa Iran itaweza kuishinda America au Israel katika vita & wala siombei wapigane vita ila itawasaidia Wairan kama Taifa huru katika kujilinda dhidi ya mashambulio ya anga.

Itawafanya Wamerekani wajiulize mara mbili mbili kama it worth it marubani wao kufa vitani kwa kitu ambacho wanaweza kumaliza kwa mazungumzo.

And bytheway, hizi SAM S300 ni defensive by nature si kwa ajili ya kushambulia nchi nyingine .. so sioni ubaya wake.

kama Qaddafi wa Libya angekuwa na hizi s300 nakwambia hakuna nchi ya NATO ambayo ingejitoa kwenda Libya na kufanya mashambulizi yao as ndege zao zingetunguliwa. Sasa Libya ingeweza kuzuia uharibifu na vifo vilivyotokea baada ya kushambuliwa.

Mind you
- Hizi s300 hazijawahi ku-miss target
- Na pia sio ndege tu, ila zinatungua hata missiles kama Tomahawks za Marekani

Alafu unaposema civilian casualties Iraq ... kwani nani alianza kumshambulia mwenzake? - kwani Sadam alitangaza vita na Marekani? - kwa nini walimfanyia aggression katika second war ya Iraq?.



Kwa nini US yeye anapenda kuvamia nchi huru kila mara hebu angalia hapa ni watu wangapi wamepoteza maisha kwa sababu ya mambo haya ya US?

List of countries the USA has bombed since the end of World War II

Korea 1950-53
China 1950-53
Guatemala 1954
Indonesia 1958
Cuba 1959-60
Guatemala 1960
Belgian Congo 1964
Guatemala 1964
Dominican Republic 1965-66
Peru 1965
Laos 1964-73
Vietnam 1961-73
Cambodia 1969-70
Guatemala 1967-69
Lebanon 1982-84
Grenada 1983-84
Libya 1986
El Salvador 1981-92
Nicaragua 1981-90
Iran 1987-88
Libya 1989
Panama 1989-90
Iraq 1991
Kuwait 1991
Somalia 1992-94
Bosnia 1995
Iran 1998
Sudan 1998
Afghanistan 1998
Yugoslavia – Serbia 1999
Afghanistan 2001
Libya 2011

Na hapo hatujaweka zingine kama Serbia na nyingine

Afghanistan (1998; 2001-),
Yemen (2000; 2002-),
Macedonia (2001),
Colombia (2002-),
Pakistan (2005-),
Syria (2008; 2011-),

Haya katika hizi ... hebu niambie kashinda wapi? - pote baada ya kufanya uharibifu anaondoka na kuacha moto unaendelea!

Afghanistan (1998; 2001-), - bado anaedelea kupigana na hajashinda anataka kukimbia sasa
Yemen (2000; 2002-), - kachemka na drones zake mpaka sasa Saudi kaingilia
Colombia (2002-), - mpaka leo bado kunawaka
Pakistan (2005-), - drones kila siku watoto na wanawake wanakufa
Syria (2008; 2011-), - kaanzisha mwenyewe US na sasa ISS wametamalaki baada ya kuona maji ya shingo sasa anataka kufanya mazungumzo na Assad baada ya uharibifu
Libya 2011 - still burning!

Sasa mnataka muiharibu na Iran?!!

Haya sasa niambie Iran imeivamia nchi gani? - taja hata moja alafu ndo tujue aggressor ni nani!

cc: 2013 .Elungata.Aleyn.sodoliki.Frank Wanjiru.kivava.MK254.FaizaFoxy.Extraterrestrial.


Kwanza kabisa Hapa wewe unakubali uongo wa Iran kuwa inataka kutumia nuclear kwa matumizi ya kawaida wakati wako kwenye mkakati makini wa nuclear missile.

Kumbuka Wakati George Walter Bush anaitangazia dunia kuhusu nchi tatu kama axis of evil duniani.

wakati huo Iran na North Korea hazikuwa kabisa na mkakati wa ki-nuclear.

Bush Aliitaja hadharani NK, Iraq na Iran. Bush Akaenda kuichapa Iraq. Ndipo North Korea ikawafukuza wataalam wa UN waliokuwa wakilinda vinu vya nuclear, ikadai inatengeneza nuclear kwa maslahi salama. Baada ya muda NK ikakiri kuwa inajua kabisa USA akimaliza Iraq atakuja kwao. Hivyo wanajipanga.

Hapo hapo Iran wakaja na huu mpango wa nuclear kwa matumizi ya energy.

USA wameupinga wakitolea sababu kuwa Iran ina vyanzo vingi vya energy ikiwemo mafuta. Na ikashuku mpango huo wa Iran. Kuwa ni wa kujiarisha kijeshi.

Kwahiyo nawezA kusema mikakati ya hizi nchi ni ya kijeshi zaidi. Lengo juu ni Ili kuzuia uwezekano wa kushambuliwa kijeshi na USA . istoshe USA alikataa kusaini mkataba na Pyongyang wa kutoshambuliana kijeshi. USA is no fool, Iran and North Korea are also not fool.

Hatari ya Iran iko dhahiri kwa mataifa mbalimbalib

ya uarabuni ikiwemo Yemen ,Saudis, Qatar, israel n.k.
Kwahiyo kusema hatazivamia kijeshi ni udanganyifu kwakuwa iran amekuwa akiihujumu Israel kupitia proxy war, na vikundi vya kigaidi. Na sasa anaendeleza mgogoro wa kichinichini na Yemen.
Iran waliiwezesha kikundi cha kigaidi cha Hezbollah kufanya mashambulizi mabaya zaidi kuwahi kufanywa dhidi ya Israel yakapelekea Israel kulipua uwanja wa ndege wa Beirut.
Kwahiyo Iran sio safi kihivyo. Ma ndio maana mataifa ya arabuni yana mshuku.

Kuhusu USA na vita ya yugoslavia alikuwa inahusu NATO na Russia akiwa rafiki wa karibu wa milosevic hakuingilia hii vita ili kumsapoti rais wa wakati huo marehemu milosevic kipindi cha bill clinton. Ni vita iliyokuwa na baraka pande zote.
Vita ya mwaka 90ya Iraq usa alikuwa na Baraka zote. Isipokuwa vita ya Iraq ya majuzi tu ndio vita iliyoleta mgogoro Mkubwa . Kuhusu afghanistan ilikuwa sahii kwa USA kwenda. Hakuna aliyelaumu.

Kwa bahati mbaya hapa umeorodhesha mlolongo wa vita mbalimbali.Bila kujua hizi vita zina maudhui tofauti zipo ambazo zilihitajika ili kusaidia jamii dhidi ya madkteta na magaidi na zipo zilizoonekana zinadhulumu haki za watu.
Vita ya somalia nayo MISSIOn were Accomplished. Na ilikuwa na Baraka zote. Japo wako wanaofikiria kuwa USA ilishindwa. USA haikushindwa.
 
Kumbuka Wakati George Walter Bush anaitangazia dunia kuhusu nchi tatu kama axis of evil duniani.

Kwa bahati mbaya hapa umeorodhesha mlolongo wa vita mbalimbali.Bila kujua hizi vita zina maudhui tofauti zipo ambazo zilihitajika ili kusaidia jamii dhidi ya madkteta na magaidi na zipo zilizoonekana zinadhulumu haki za watu.
Vita ya somalia nayo MISSIOn were Accomplished. Na ilikuwa na Baraka zote. Japo wako wanaofikiria kuwa USA ilishindwa. USA haikushindwa.

LOL!
85


4e22ef1070eb2f936d_f7m6i25b6.jpg


Mission-Accomplished-Iraq.jpg


ppv7a4cohmnpzrozg1lh.jpg
 
Mkuu sodoliki Mimi I don't care iwe ni nchi ya kiislam au siyo ... mimi mwenyewe siyo Muislam ... ila naongelea ukweli & sovereignty ya Independent country!

Leo hii na sisi hapa Tanzania tukiamua kujiendeleza kwenye sayansi ya Nuclear technology kwa ajili ya kuzalisha umeme etc kwa nini tunyimwe?, ni nani mwenye haki zadi yetu ya kutuzuia kufanya maendeleo yetu? (sovereignty) ndio msimamo wangu.


Sijasema kuwa Iran itaweza kuishinda America au Israel katika vita & wala siombei wapigane vita ila itawasaidia Wairan kama Taifa huru katika kujilinda dhidi ya mashambulio ya anga.

Itawafanya Wamerekani wajiulize mara mbili mbili kama it worth it marubani wao kufa vitani kwa kitu ambacho wanaweza kumaliza kwa mazungumzo.

And bytheway, hizi SAM S300 ni defensive by nature si kwa ajili ya kushambulia nchi nyingine .. so sioni ubaya wake.

kama Qaddafi wa Libya angekuwa na hizi s300 nakwambia hakuna nchi ya NATO ambayo ingejitoa kwenda Libya na kufanya mashambulizi yao as ndege zao zingetunguliwa. Sasa Libya ingeweza kuzuia uharibifu na vifo vilivyotokea baada ya kushambuliwa.

Mind you
- Hizi s300 hazijawahi ku-miss target
- Na pia sio ndege tu, ila zinatungua hata missiles kama Tomahawks za Marekani

Alafu unaposema civilian casualties Iraq ... kwani nani alianza kumshambulia mwenzake? - kwani Sadam alitangaza vita na Marekani? - kwa nini walimfanyia aggression katika second war ya Iraq?.



Kwa nini US yeye anapenda kuvamia nchi huru kila mara hebu angalia hapa ni watu wangapi wamepoteza maisha kwa sababu ya mambo haya ya US?

List of countries the USA has bombed since the end of World War II

Korea 1950-53
China 1950-53
Guatemala 1954
Indonesia 1958
Cuba 1959-60
Guatemala 1960
Belgian Congo 1964
Guatemala 1964
Dominican Republic 1965-66
Peru 1965
Laos 1964-73
Vietnam 1961-73
Cambodia 1969-70
Guatemala 1967-69
Lebanon 1982-84
Grenada 1983-84
Libya 1986
El Salvador 1981-92
Nicaragua 1981-90
Iran 1987-88
Libya 1989
Panama 1989-90
Iraq 1991
Kuwait 1991
Somalia 1992-94
Bosnia 1995
Iran 1998
Sudan 1998
Afghanistan 1998
Yugoslavia – Serbia 1999
Afghanistan 2001
Libya 2011

Na hapo hatujaweka zingine kama Serbia na nyingine

Afghanistan (1998; 2001-),
Yemen (2000; 2002-),
Macedonia (2001),
Colombia (2002-),
Pakistan (2005-),
Syria (2008; 2011-),

Haya katika hizi ... hebu niambie kashinda wapi? - pote baada ya kufanya uharibifu anaondoka na kuacha moto unaendelea!

Afghanistan (1998; 2001-), - bado anaedelea kupigana na hajashinda anataka kukimbia sasa
Yemen (2000; 2002-), - kachemka na drones zake mpaka sasa Saudi kaingilia
Colombia (2002-), - mpaka leo bado kunawaka
Pakistan (2005-), - drones kila siku watoto na wanawake wanakufa
Syria (2008; 2011-), - kaanzisha mwenyewe US na sasa ISS wametamalaki baada ya kuona maji ya shingo sasa anataka kufanya mazungumzo na Assad baada ya uharibifu
Libya 2011 - still burning!

Sasa mnataka muiharibu na Iran?!!

Haya sasa niambie Iran imeivamia nchi gani? - taja hata moja alafu ndo tujue aggressor ni nani!

cc: 2013 .Elungata.Aleyn.sodoliki.Frank Wanjiru.kivava.MK254.FaizaFoxy.Extraterrestrial.
Syria kabla ya vita ya wenyewe kwa wenyewe ili kuwa na viffaa the most modern soviet technology can offer, leo Nchi imebaki suburbs mbili Damascus, Magogu juu ya Magofu , Middle East countries Nyingi hazina terrain ambayo inaweza kukabili technology kama North korea, kila kitu kiko Waziri sana kwa sababu ya jangwa . You will be surprised, kwanza Iran wenyewe hawata ruhusu
 
Mkuu sodoliki Mimi I don't care iwe ni nchi ya kiislam au siyo ... mimi mwenyewe siyo Muislam ... ila naongelea ukweli & sovereignty ya Independent country!

Leo hii na sisi hapa Tanzania tukiamua kujiendeleza kwenye sayansi ya Nuclear technology kwa ajili ya kuzalisha umeme etc kwa nini tunyimwe?, ni nani mwenye haki zadi yetu ya kutuzuia kufanya maendeleo yetu? (sovereignty) ndio msimamo wangu.


Sijasema kuwa Iran itaweza kuishinda America au Israel katika vita & wala siombei wapigane vita ila itawasaidia Wairan kama Taifa huru katika kujilinda dhidi ya mashambulio ya anga.

Itawafanya Wamerekani wajiulize mara mbili mbili kama it worth it marubani wao kufa vitani kwa kitu ambacho wanaweza kumaliza kwa mazungumzo.

And bytheway, hizi SAM S300 ni defensive by nature si kwa ajili ya kushambulia nchi nyingine .. so sioni ubaya wake.

kama Qaddafi wa Libya angekuwa na hizi s300 nakwambia hakuna nchi ya NATO ambayo ingejitoa kwenda Libya na kufanya mashambulizi yao as ndege zao zingetunguliwa. Sasa Libya ingeweza kuzuia uharibifu na vifo vilivyotokea baada ya kushambuliwa.

Mind you
- Hizi s300 hazijawahi ku-miss target
- Na pia sio ndege tu, ila zinatungua hata missiles kama Tomahawks za Marekani

Alafu unaposema civilian casualties Iraq ... kwani nani alianza kumshambulia mwenzake? - kwani Sadam alitangaza vita na Marekani? - kwa nini walimfanyia aggression katika second war ya Iraq?.



Kwa nini US yeye anapenda kuvamia nchi huru kila mara hebu angalia hapa ni watu wangapi wamepoteza maisha kwa sababu ya mambo haya ya US?

List of countries the USA has bombed since the end of World War II

Korea 1950-53
China 1950-53
Guatemala 1954
Indonesia 1958
Cuba 1959-60
Guatemala 1960
Belgian Congo 1964
Guatemala 1964
Dominican Republic 1965-66
Peru 1965
Laos 1964-73
Vietnam 1961-73
Cambodia 1969-70
Guatemala 1967-69
Lebanon 1982-84
Grenada 1983-84
Libya 1986
El Salvador 1981-92
Nicaragua 1981-90
Iran 1987-88
Libya 1989
Panama 1989-90
Iraq 1991
Kuwait 1991
Somalia 1992-94
Bosnia 1995
Iran 1998
Sudan 1998
Afghanistan 1998
Yugoslavia – Serbia 1999
Afghanistan 2001
Libya 2011

Na hapo hatujaweka zingine kama Serbia na nyingine

Afghanistan (1998; 2001-),
Yemen (2000; 2002-),
Macedonia (2001),
Colombia (2002-),
Pakistan (2005-),
Syria (2008; 2011-),

Haya katika hizi ... hebu niambie kashinda wapi? - pote baada ya kufanya uharibifu anaondoka na kuacha moto unaendelea!

Afghanistan (1998; 2001-), - bado anaedelea kupigana na hajashinda anataka kukimbia sasa
Yemen (2000; 2002-), - kachemka na drones zake mpaka sasa Saudi kaingilia
Colombia (2002-), - mpaka leo bado kunawaka
Pakistan (2005-), - drones kila siku watoto na wanawake wanakufa
Syria (2008; 2011-), - kaanzisha mwenyewe US na sasa ISS wametamalaki baada ya kuona maji ya shingo sasa anataka kufanya mazungumzo na Assad baada ya uharibifu
Libya 2011 - still burning!

Sasa mnataka muiharibu na Iran?!!

Haya sasa niambie Iran imeivamia nchi gani? - taja hata moja alafu ndo tujue aggressor ni nani!

cc: 2013 .Elungata.Aleyn.sodoliki.Frank Wanjiru.kivava.MK254.FaizaFoxy.Extraterrestrial.
Iran ilivamia Iraq wakati wa sad dam hussein, na vita ya miaka kumi walipoteza Askari karibu a million. Jifanye umesahau
 
if it was decided to launch even a limited strike the U.S. and its allies would risk walking into a trap. One that could easily escalate into a much, much wider conflict.
Ever since the First Gulf War, Iran has viewed Western military intervention in Iraq with a keen interest that has been sharpened by the knowledge that one day it too might face a similar fate.
As a result Iran has spent the past few decades assiduously developing its own defence industry. In that time it has made considerable headway in building up its indigenous weapons technology. To the point where there is now absolutely no comparison between Iran’s defence capability and those of Iraq under Saddam Hussein.
Having watched the opening phase of the First Gulf War, Iran has put special effort into developing an integrated national air defence network. This includes long-range over-the-horizon radars, phased array radar systems and passive radars, which don’t emit radar signals and are therefore immune to anti-radar missiles.
The effectiveness of these systems can be seen in the number of times Iran has brought down U.S. and Israeli drones in recent years. Not only were many state-of-art, like the U.S. RQ-170and an Israeli drone, thought to be the Hermes 900, but having a lower radar signature than most combat jets and cruise missiles their detection also attests to the efficiency of Iran’s radars.
Then we have Iran’s air defence missiles. We know that Iran has at least four Russian made S-300 air defence systems. It is also getting ready to field its own version of Russia’s “game-changer” air defence system, the Bavar 373, which Iran claims is even more formidable than the original S-300.
In addition to its long range air defence systems, which have an effective range of nearly 200kms and are able to track up to 100 airborne targets at once, Iran has also deployed multiple medium range air defence systems. These include the Russian made Tor missile systemand its own locally developed Raad air defence system, which has been compared with the Russian Buk..
Moreover, Iran has also deployed around its cities and nuclear installations shorter range air defence systems. Like the Russian SA-22 Greyhoundand the locally developed Mersad, Ya Zahraand the Herz-9.
Saddam Hussein had nothing like these weapons during the Gulf War.
Nor should we overlook Iran’s naval assets such as its submarines, which would undoubtedly be used against any U.S. Navy vessels in the region, such as its aircraft carriers. Iran has 3 Russian built kilo-class submarines, which are reputed to be some of the quietest submarines in service. It also has 20 or more mini-submarines capable of laying mines and firing torpedoes.
Lazima utambue kuwa kama Marekani au Israeli wata launch attacking kwa Iran, Saudi arabia ata support, na Ndiyo anna yake itatumika , between the two uadui ni mkubwa kuliko unavyodhani, na nyuma ya Saudia, kuna all Sunni authoritative Arab countries including misri, Pakistani, na falme za kiaarabu
 
photoshop, kaweke instagram
Mkuu hiyo katika last 2 photos ni lugha ya picha tu!

Haya nakuwekea Video kabisa & then you tell me

Meaning, nyie baada ya kusema Mission Accomplished in Iraq -what happened next there? - nchi ikawa distabilised na multitude Terrorist organisations ambapo ikabidi muongeze tena idadi ya askari ili kudhibiti hali hiyo ... then what did mission achieved? - labda kama ilikuwa ni destabilization of a country!

Haya come Libya & Sysria, mkawatumia Alkaeda wenu kumtoa Qaddafi

Qaddafi alikuwa analilalamika kuwa wanaofanya fujo Bengazi ni AlQaeda nyie mkakataa huku mnadai eti ni peaceful protesters - haya what happened baada ya kumuua Qaddafi! - si nyie wenyewe mmewaona Alqaeda wenu mliowa-fund na kuwatrain ndio wanarun hiyo Libya?

Video Qaddafi akilalamika mnampelekea Alqaeda kumtoa





Haya come Syria mkawapa training & silaha hao hao Alqaeda ili wamtoe Asad, Asad akawa analalamika kuwa mnamletea Alqaeda ku-destabelise his country nyie mpaka leo mnakataa eti mnawaita ni Moderate Islamist! - wewe niambie "moderate Islamist yupi anachinja na kula moyo wa binadamu mwenzie?

Mkaambiwa kuwa ni Alqaeda mkakataa, matokeo yake mpaka Alqaeda wenyewe wakawa disown hao jamaa kutokana na violence yao ndio mnakuja kushtuka baada ya kusema wanataka kuanzisha Islamic State mnaanza kuwapiga mabomu =- Mission relaunced!

Je kama mngemsikiliza Gadafi alipowaambia kuwa wale ni Alqaeda kulikuwa na haja ya watu wote hao kupoteza maisha yao? - na Gadafi alikuwa siku zote alalilia dialogue lakini nyie kwa sababu mlijifanya vichwa vigumu mlikataa!

Sasa bila hata aibu mnasema "we need Russia partnership in defeating ISIS/Alqaeda" kwani Russia ndio walitengeneza ISIS & Alqaeda? - mmelikorega wenyewe sasa msubiri mlinywe!

& For your info tu ni kuwa baada ya hao jamaa kutoka Middle East kifuatatacho ITV ni Terrorism katika miji yenu wenyewe Europe na US as ndio raia wenu wenyewe wanarudi nchini mwao.

cc: Bukyanagandi Elungata mng'ato .
 
Last edited by a moderator:
Iran ilivamia Iraq wakati wa sad dam hussein, na vita ya miaka kumi walipoteza Askari karibu a million. Jifanye umesahau
Yaani wewe ndio unazidi ku-prove kuwa hujui lolote, kama hujui nyamaza

Iran-Iraq War

The protracted war between these neighboring Middle Eastern countries resulted in at least half a million casualties and several billion dollars' worth of damages, but no real gains by other side. Started by Iraq dictator Saddam Hussein in September 1980, the war was marked by indiscriminate ballistic-missile attacks, extensive use of chemical weapons and attacks on third-country oil tankers in the Persian Gulf. Although Iraq was forced on the strategic defensive, Iran was unable to reconstitute effective armored formations for its air force and could not penetrate Iraq's borders deeply enough to achieve decisive results. The end came in July 1988 with the acceptance UN Resolution 598.

Wikipedia: The Iran–Iraq War began when Iraq invaded Iran via air and land on 22 September 1980.

Source:

Iran-Iraq War - Facts & Summary - HISTORY.com

Iranâ€"Iraq War - Wikipedia, the free encyclopedia

Haya sasa niambie Iran imeivamia nchi gani? - taja hata moja alafu ndo tujue aggressor ni nani!

Angalia hii picha vizuri
Rumsfeld-Saddam.jpg

Former Secretary of Defence Donald Rumsfeld meets with Saddam Hussein in December 1983
 
Yaani wewe ndio unazidi ku-prove kuwa hujui lolote, kama hujui nyamaza

Iran-Iraq War

The protracted war between these neighboring Middle Eastern countries resulted in at least half a million casualties and several billion dollars' worth of damages, but no real gains by other side. Started by Iraq dictator Saddam Hussein in September 1980, the war was marked by indiscriminate ballistic-missile attacks, extensive use of chemical weapons and attacks on third-country oil tankers in the Persian Gulf. Although Iraq was forced on the strategic defensive, Iran was unable to reconstitute effective armored formations for its air force and could not penetrate Iraq's borders deeply enough to achieve decisive results. The end came in July 1988 with the acceptance UN Resolution 598.

Wikipedia: The Iran–Iraq War began when Iraq invaded Iran via air and land on 22 September 1980.

Source:

Iran-Iraq War - Facts & Summary - HISTORY.com

Iranâ€"Iraq War - Wikipedia, the free encyclopedia
it does not change the issue, it show the capability of Iran as marked, ukashabikia 20 years imechange na kufaifanya super power utashangaa
 
Back
Top Bottom