kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,173
- 11,620
Wenye
Unajua kahtaan. Kama dini yako isingekuwa na ugaidi, Nina imani hata nyinyi wachache mnaoifurahia msinge ona uzito wake duniani.
Msinge jihisi washindi katika hali yeyote ile, wala kujiona mnabaguliwa. Msingehisi mnadharauliwa. Lakini haya yanatokea kwasababu ya shule finyu na dhamira yenu mbaya juu ya imani za wengine.
Lakini mnasahu kuwa kitabu chenu kinasema wazi wale watakaomfuata YESU watakuwa superior dhidi ya wasiomfuata mpaka kiyama. Maneno yako dhahiri kabisa lakini mnajitia NIRA ya shaytan ili tu msiuone ukweli mkatubu na mungu akawaokoa.
Inferiority complex inawatesa sana.namaamini
Laiti ungesoma, ungeona hali ya kawaida kama sisi pia.
Na mnapeana moyo.ili mjisikie vizuri kwasababu historia ya dunia INA wahukumu kwa nyinyi kuwa failure duniani.
Nyuma ya chrisitian, Jews, Buddha, Hindu,
Your a failure
Kielimu, technolojia etc hamjaweza kuungana, namna kiongoI askayesema kwa niaba yenu duniani. Hata hivyo hamwezi kuwa naye wakati YESU anaona mnapotosha hadharani.
Lakini kwasababu pia dhamira yenu sio njema ndio maana mnajifanya mnaringa. Lakini mnaringia jehanum. Hamna furaha nyie na mkienea duniani. Basi dunia inarudi nyuma mpakq karne ya 1. Yaani(21-20)=1century.
Ni husuda tu imekujaa.
Naamini dunia inarudi karne nya kwanza. Because of your love to death, superceeds the love to live.
Hata mnachofurahia ni kwakuwa mnajua ukweli kuwa sisi hasa tukiongezeka duniani zaidi ya hapa, hatuwezi kuwa kitisho kwenu, lakini nyie mkiongezeka disaster utakuja ulimwenguni. Sisi tukiongezeka ukweli wenu mnaouficha unazidi kufunuliwa na mtazidi kuhaibika. Kwahiyo mnafurahi mkihisi tunawaogopa. Mnsons like tunachokiona ni kibaya mnakileta Ili tuumie mioyo. Na ndio maana hamwoni aibu kununua majengo yetu. Lakini sisi tunaweza kusita kununua majengo yenu.
We nenda lachome ubanjli, lakini jus unashangilia jehanum. Open your eyes. Fanya tafiti upya. Gafyta hata apostacy sikiliza shuhuda zao. Angalia na waliohamia kwenu. Kisha weka mizani utajua tu mungu wa kweli yuko uoande gani. Nakushauri ona shaka. Ili uiokoe ROHO yako. Naff said.
Km kawaida yako unahara ovyo jukwaani na maneno yasio na mashiko hata kiduchu.
Unasema Waislamu Failure na kuuweka Ukiristo mwanzo je! Unajua ni Dini gani leo Dunia ni most growing?
Unajua Ni Dini gani yenye kukubaliwa na wasomi wengi Duniani kiasi cha kugeuka toka Atheism na kumkubali Mungu?
Km kusoma hujui tazama japo Runinga Uone UISLAMU unavyoongezeka Duniani.
Nakuwekea mfano mduchu tu hapa ili wasomaji wengine wapate faida manake we bichwa lako limejaa makamasi!
http://edition.cnn.com/2015/04/02/living/pew-study-religion/
http://www.pewforum.org/files/2015/04/PF_15.04.02_ProjectionsOverview_populationChange_310px.png
http://www.pewresearch.org/fact-tan...e-the-worlds-fastest-growing-religious-group/
Utajifanya KIPOFU kwa Kupenda nguruwe lkn UKWELI lazima Utoke nje tu. Hata km makafiri watachukia.
We unaeabudu sanamu lzm upate tabu sana, hio ndio asili ya mahasidi
Na bado!