Mkuu wajinga watakupinga na kuishutumu USA wakijidanganya Tanzania ipo salama.. Sometimes nashindwa kuwa elewa Watanzania wenzangu. Comment nyingi zipo kuikandia Marekani na kukana uwezekano wa kinachosemwa na Marekani kuwa cha ukweli. Inasikitisha kuona tunaupinga ukweli ambao tunaoujua. Huu ndio upumbavu wetu Watanzania.Unaficha taarifa na unakataa kutoa ushirikiano ukidhani unalinda maslahi ya nchi. Badala yake unajikuta ndio unajitangaza zaidi uonekane una tatizo, na hao uliodhani umewafichia habari ndio wanakuwa watu wa kutangaza usiyotaka watu wayasikie!
Kama hakuna tatizo, na hata kama tatizo ndio linaanza, kuna ubaya gani wa kutoa ushirikiano kwa Shirika kama WHO? Hata kama mtu huyo alikufa kwa Ebola, ikajulikana na kudhibiti sehemu alikopitia kuna ubaya gani?
Watalii wangeendelea kuja tu, wakijua hali inajulikana ilipo na kuna uhakika wa kudhibiti ugonjwa usienee.
Sasa, hao watalii watawekwa woga, kwa sababu tu hatukujua namna ya kushughulikia swala zima la mgonjwa yule.
HATUAMINIKI KWA LOLOTE! Hakuna mtu anyejitoa mhanga kwenda sehemu asiyojua usalama wake upo vipi akiwa huko.
Tanzania kuna amani? Watu wanatekwa kila siku afu unasema kuna amaniWaongo wakubwa kabisa mabeberu nyie
Ukikosa amani Tanzania utaipata wapi? Pumbav kabisa
Watanzania wakiamua kuwa vipofu na viziwi huwezi kuwabadilisha akili.Tatizo letu ni wanasiasa hasa jiwe kukumbatia siasa za kuligawa taifa kati ya wapinzani na CCM. Tunashuhudia matendo machafu kabisa yakifanywa dhidi ya baadhi ya raia. Ni wazi kuwa hao Marekani wanatahadharisha raia wao kwa kuzingatia habari na matukio halisi yanayoyokea kwa watu mbalimbali.
Mifano ipo mingi, hasa ya matukio ya utekaji na mauaji ambayo hayajatolewa maelezo yanayoridhisha.
Kama maiti zinaweza kuokotwa kisha polisi wanadai kuna watu wasiojulikana, ni wazi kuwa nchi imekaliwa na magaidi ambayo yamewashinda polisi na majeshi mengine.
Mbaya zaidi ni kwamba tumewapa mwanya hao waMarekani kututangaza hata kwa mambo ambayo tusingestahili kutangazwa kuwa tunayo.Mkuu wajinga watakupinga na kuishutumu USA wakijidanganya Tanzania ipo salama.. Sometimes nashindwa kuwa elewa Watanzania wenzangu. Comment nyingi zipo kuikandia Marekani na kukana uwezekano wa kinachosemwa na Marekani kuwa cha ukweli. Inasikitisha kuona tunaupinga ukweli ambao tunaoujua. Huu ndio upumbavu wetu Watanzania.
Matatizo yetu makubwa ni haya. Kuzungumzia jambo tusilolifahamu kabisa. Umeangalia takwimu za "Tanzania Tourism Board" ukajiridhisha ni sehemu zipi tunakopatia watalii wengi?
Mbona ni jambo rahisi tu kuzipata taarifa hizi..., au hata hujui kuitumia google?
Yaani wewe ni kiazi kweli aisee. Hata hujui unaandika nini!Do you know well Americans???
Unaweza ukaona kwenye takwimu kuwa watalii wengi wanaozuru Tz ni RAIA wa nchi za Ulaya_ according to their revealed identities, but in actual facts they're American citizens.
Kumbuka ya kwamba Wamarekani wengi sana wanaotalii duniani huwa wanajitambulisha kuwa ni RAIA wa nchi zingine KWA kuogopa kuwa targeted NA maadui zao pamoja NA magaidi.
Nakupa mfano hai, miaka kadhaa iliyopita mimi mwenyewe binafsi niliwahi kufanya kazi na Wamarekani wawili kwenye nchi fulani, lakini siku zote walikuwa wanajitambulisha kuwa wao ni RAIA wa Australia, NA walikuwa NA passport halali za nchi hiyo ya Australia.Nilikuja kugundua hilo wakati mkataba wao WA kufanya kazi ktk nchi ile ulipoisha.
Yaani wewe ni kiazi kweli aisee. Hata hujui unaandika nini!
Ulishasafiri wewe? Hapa uwanja wa ndege wetu wanapokuja wamarekani wanajificha na kujitambulisha kuwa ni raia wa ulaya?
Hivi una kiasi gani cha elimu, hadi haya mambo usiyaelewe? Wanapokwenda kuomba visa ya kuja hapa ubalozini kwetu, wanajificha kuwa wao ni raia wa Australia? Halafu unakaza shingo na mfano wa ajabu sana huo.
Nenda Bodi ya Utalii Tanzania, takwimu zote utazikuta hapo.
Hiyo habari ya "kushangilia" achana nayo. Wanaofanya hivyo bila shaka nao wanazo sababu zao!Halafu utakuta aliye andika hiyo makala ni Mtanzania..!!!! Yaani hajali kama anaadhiri sector ya utalii na kutatokea mazuzu yatashangilia....
Yaani wewe ni kiazi kweli aisee. Hata hujui unaandika nini!
Ulishasafiri wewe? Hapa uwanja wa ndege wetu wanapokuja wamarekani wanajificha na kujitambulisha kuwa ni raia wa ulaya?
Hivi una kiasi gani cha elimu, hadi haya mambo usiyaelewe? Wanapokwenda kuomba visa ya kuja hapa ubalozini kwetu, wanajificha kuwa wao ni raia wa Australia? Halafu unakaza shingo na mfano wa ajabu sana huo.
Nenda Bodi ya Utalii Tanzania, takwimu zote utazikuta hapo.
Usidanganye watu mkuu. Hilo la 'dual citizenship' linajulikana. Marekani hawako wengi hao kiasi cha watalii tunaopata hapa kwetu kutoka huko.Sikulazimishi kukubali au kukataa nilichoeleza.
But remember, most of the Americans have a dual citizenship. Take it or leave it, is up to you!
Inanibidi nicheke aisee; kama huoni maajabu ya unayotaka watu wayaamini hapa.Pia, kutokana na maelezo yako inaonyesha dhahiri kabisa kuwa you're so much ignorant about international traveling, citizenships and passports.
Nakushauri urudi tena shule ukasome kuhusu mambo haya!
Wewe mpuuzi unajua impact kwa nchi kutoa taarifa kama hio tena inayomhusu mtu mmoja (hata kama ni kweli)?. Nlijua tu kuna wapuuzi watafurahia hii taarifa. Hii nchi ikikosa watalii unafikiri mapato atakosa Magufuli, think of a bigger picture you Moron.Unaficha taarifa na unakataa kutoa ushirikiano ukidhani unalinda maslahi ya nchi. Badala yake unajikuta ndio unajitangaza zaidi uonekane una tatizo, na hao uliodhani umewafichia habari ndio wanakuwa watu wa kutangaza usiyotaka watu wayasikie!
Kama hakuna tatizo, na hata kama tatizo ndio linaanza, kuna ubaya gani wa kutoa ushirikiano kwa Shirika kama WHO? Hata kama mtu huyo alikufa kwa Ebola, ikajulikana na kudhibiti sehemu alikopitia kuna ubaya gani?
Watalii wangeendelea kuja tu, wakijua hali inajulikana ilipo na kuna uhakika wa kudhibiti ugonjwa usienee.
Sasa, hao watalii watawekwa woga, kwa sababu tu hatukujua namna ya kushughulikia swala zima la mgonjwa yule.
HATUAMINIKI KWA LOLOTE! Hakuna mtu anyejitoa mhanga kwenda sehemu asiyojua usalama wake upo vipi akiwa huko.
Imewatahadharisha Wananchi wake juu ya kuongezeka kwa Uhalifu, Ugaidi, sintofahamu katika masuala ya Afya na kuwalenga Watu wanaohusika na mahusiano ya jinsia moja
Imedai Uhalifu wa dhuluma, kama vile kushambulia, unyanyasaji wa kijinsia, ujambazi na uporaji ni kawaida na Polisi wa Tanzania wanaweza kukosa rasilimali kupambana na uhalifu mkubwa
Aidha, imedai vikundi vya magaidi vinaendelea kupanga njama za kushambulia Tanzania na wanaweza kushambulia bila onyo au onyo kidogo, wakilenga Balozi, vituo vya Polisi, Misikiti na sehemu nyingine zinazopitwa mara kwa mara na Wageni
Katika hatua nyingine imesema mnamo Septemba 10, 2019 Shirika la Afya Dunia na Kituo cha Kudhibiti na Kupambana na Magonjwa zilipata taarifa rasmi juu ya kuwepo kwa mtu aliyefariki siku mbili nyuma, na ugonjwa unaodhaniwa ni Ebola na mtu huyo alipokuwa Tanzania alitembelea Songea, Njombe na Mbeya
Lakini pia, tahadhari hiyo iliyotolewa na Idara ya Usafiri ya Marekani imedai Watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wamekuwa wakikamatwa, wakilengwa, wakidhalilishwa na ama wakifunguliwa mashtaka yasiyowahusu na waliokuwa wameshikiliwa wakidhaniwa kujihusisha na mapenzi ya aina hiyo yawezekana walipimwa kupitia njia ya haja kubwa
******
Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, health issues, and targeting of LGBTI persons.
Violent crime, such as assault, sexual assault, robberies, mugging, and carjacking, is common. Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime.
Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.
On September 10, 2019, CDC and the World Health Organization (WHO) were made aware of unofficial reports regarding the unexplained death of a person two days earlier from probable Ebola in Dar es Salaam, United Republic of Tanzania. This individual reportedly traveled around the country while ill, including to the cities of Songea, Njombe, and Mbeya.
Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.
Read the Safety and Security section on the country information page.
If you decide to travel to Tanzania:
********
- Always carry a copy of your U.S. passport and visa and keep original documents in a secure location.
- Be aware of your surroundings.
- Do not leave your food or drink unattended.
- Stay alert in all locations, especially those frequented by Westerners.
- Visit CDC for more information regarding illnesses in Tanzania.
- Avoid public displays of affection particularly between same-sex couples.
- Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.
- Follow the Department of State and the US Embassy in Tanzania on Facebook and Twitter
- Review the Crime and Safety Report for Tanzania.
- U.S. citizens who travel abroad should always have a contingency plan for emergency situations. Review the Traveler’s Checklist.
Aidha, awali Marekani ilitoa tahadhari kwa Wanaosafiri kuja Tanzania kuhusu uwepo wa Ebola, ambapo ilisema
US alerts travelers to Tanzania about possible unreported Ebola cases, security concerns
Aerial view of Dar es Salaam, capital of Tanzania, where a doctor died with Ebola-like symptoms.BEN CURTIS/AP The State Department and the Centers for Disease Control and Prevention are alerting American travelers to the possibility that there may be unreported Ebola cases in Tanzania. The...www.jamiiforums.com
Kwani si kuna watalii wachina wanakuja Tanzania waliotokana na matunda ya Prof Kabudi kwenda china?Halafu utakuta aliye andika hiyo makala ni Mtanzania..!!!! Yaani hajali kama anaadhiri sector ya utalii na kutatokea mazuzu yatashangilia....