w0rM
Member
- May 3, 2011
- 68
- 164
Imewatahadharisha Wananchi wake juu ya kuongezeka kwa Uhalifu, Ugaidi, sintofahamu katika masuala ya Afya na kuwalenga Watu wanaohusika na mahusiano ya jinsia moja
Imedai Uhalifu wa dhuluma, kama vile kushambulia, unyanyasaji wa kijinsia, ujambazi na uporaji ni kawaida na Polisi wa Tanzania wanaweza kukosa rasilimali kupambana na uhalifu mkubwa
Aidha, imedai vikundi vya magaidi vinaendelea kupanga njama za kushambulia Tanzania na wanaweza kushambulia bila onyo au onyo kidogo, wakilenga Balozi, vituo vya Polisi, Misikiti na sehemu nyingine zinazopitwa mara kwa mara na Wageni
Katika hatua nyingine imesema mnamo Septemba 10, 2019 Shirika la Afya Dunia na Kituo cha Kudhibiti na Kupambana na Magonjwa zilipata taarifa rasmi juu ya kuwepo kwa mtu aliyefariki siku mbili nyuma, na ugonjwa unaodhaniwa ni Ebola na mtu huyo alipokuwa Tanzania alitembelea Songea, Njombe na Mbeya
Lakini pia, tahadhari hiyo iliyotolewa na Idara ya Usafiri ya Marekani imedai Watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wamekuwa wakikamatwa, wakilengwa, wakidhalilishwa na ama wakifunguliwa mashtaka yasiyowahusu na waliokuwa wameshikiliwa wakidhaniwa kujihusisha na mapenzi ya aina hiyo yawezekana walipimwa kupitia njia ya haja kubwa
******
Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, health issues, and targeting of LGBTI persons.
Violent crime, such as assault, sexual assault, robberies, mugging, and carjacking, is common. Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime.
Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.
On September 10, 2019, CDC and the World Health Organization (WHO) were made aware of unofficial reports regarding the unexplained death of a person two days earlier from probable Ebola in Dar es Salaam, United Republic of Tanzania. This individual reportedly traveled around the country while ill, including to the cities of Songea, Njombe, and Mbeya.
Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.
Read the Safety and Security section on the country information page.
If you decide to travel to Tanzania:
Aidha, awali Marekani ilitoa tahadhari kwa Wanaosafiri kuja Tanzania kuhusu uwepo wa Ebola, ambapo ilisema
Imedai Uhalifu wa dhuluma, kama vile kushambulia, unyanyasaji wa kijinsia, ujambazi na uporaji ni kawaida na Polisi wa Tanzania wanaweza kukosa rasilimali kupambana na uhalifu mkubwa
Aidha, imedai vikundi vya magaidi vinaendelea kupanga njama za kushambulia Tanzania na wanaweza kushambulia bila onyo au onyo kidogo, wakilenga Balozi, vituo vya Polisi, Misikiti na sehemu nyingine zinazopitwa mara kwa mara na Wageni
Katika hatua nyingine imesema mnamo Septemba 10, 2019 Shirika la Afya Dunia na Kituo cha Kudhibiti na Kupambana na Magonjwa zilipata taarifa rasmi juu ya kuwepo kwa mtu aliyefariki siku mbili nyuma, na ugonjwa unaodhaniwa ni Ebola na mtu huyo alipokuwa Tanzania alitembelea Songea, Njombe na Mbeya
Lakini pia, tahadhari hiyo iliyotolewa na Idara ya Usafiri ya Marekani imedai Watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja wamekuwa wakikamatwa, wakilengwa, wakidhalilishwa na ama wakifunguliwa mashtaka yasiyowahusu na waliokuwa wameshikiliwa wakidhaniwa kujihusisha na mapenzi ya aina hiyo yawezekana walipimwa kupitia njia ya haja kubwa
******
Exercise increased caution in Tanzania due to crime, terrorism, health issues, and targeting of LGBTI persons.
Violent crime, such as assault, sexual assault, robberies, mugging, and carjacking, is common. Local police may lack the resources to respond effectively to serious crime.
Terrorist groups continue plotting possible attacks in Tanzania. Terrorists may attack with little or no warning, targeting embassies, police stations, mosques, and other places frequented by Westerners.
On September 10, 2019, CDC and the World Health Organization (WHO) were made aware of unofficial reports regarding the unexplained death of a person two days earlier from probable Ebola in Dar es Salaam, United Republic of Tanzania. This individual reportedly traveled around the country while ill, including to the cities of Songea, Njombe, and Mbeya.
Members of the LGBTI community have been arrested, targeted, harassed, and/or charged with unrelated offenses. Individuals detained under suspicion of same-sex sexual conduct could be subject to forced anal examinations.
Read the Safety and Security section on the country information page.
If you decide to travel to Tanzania:
- Always carry a copy of your U.S. passport and visa and keep original documents in a secure location.
- Be aware of your surroundings.
- Do not leave your food or drink unattended.
- Stay alert in all locations, especially those frequented by Westerners.
- Visit CDC for more information regarding illnesses in Tanzania.
- Avoid public displays of affection particularly between same-sex couples.
- Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program (STEP) to receive Alerts and make it easier to locate you in an emergency.
- Follow the Department of State and the US Embassy in Tanzania on Facebook and Twitter
- Review the Crime and Safety Report for Tanzania.
- U.S. citizens who travel abroad should always have a contingency plan for emergency situations. Review the Traveler’s Checklist.
Aidha, awali Marekani ilitoa tahadhari kwa Wanaosafiri kuja Tanzania kuhusu uwepo wa Ebola, ambapo ilisema
US alerts travelers to Tanzania about possible unreported Ebola cases, security concerns
Aerial view of Dar es Salaam, capital of Tanzania, where a doctor died with Ebola-like symptoms.BEN CURTIS/AP The State Department and the Centers for Disease Control and Prevention are alerting American travelers to the possibility that there may be unreported Ebola cases in Tanzania. The...
www.jamiiforums.com