Urusi yazua utata na mgogoro mkubwa Ulaya mashindano ya Olympics Paris 2024

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,660
46,350
Mashindao ya Olympics ni mashindano makubwa ya kimataifa na ya hadhi ya juu duniani yanayojumuisha mataifa mbalimbali kutoka mabara yote duniani lakini mataifa mengi zaidi yakiwa ni kutoka Ulaya. Mashindano haya hufanyika kila baaada ya miaka 4. Tofauti na mashindano mengine haya mashindano huwa na vipengele vingi na washindi wengi ambao huweza kujipatia medali za hadhi mbalimbali

Mzozo mkubwa umezuka mwaka huu kuhusu ushiriki wa mataifa mawili ya Urusi na Belarus katika mashindano hayo ambayo yatafanyika mwaka 2024 nchini Ufaransa katika jiji la Paris. Mataifa zaidi ya 40 hasa ya Ulaya yamepinga ushiriki wa Urusi na Belarus kutokana na uvamizi unaoendelea huko Ukraine.

Mataifa hayo wameenda mbali zaidi wakitishia kutoshoriki ikiwa kamati inayoanda mashindano hayo haitasikiliza madai yao ya kuziondoa Urusi na Belarus.
Poland imetoa wazo mbadala la kuunda timu za wakimbizi na watu walio uhamishoni ambao ni Raia wa Urusi na Belarus wanaopinga uvamizi wa Ukraine na tawala za kidikteta za mataifa hayo kuyawakilisha.

Zelenskyy naye ametoa kauli nzito kushinikiza madai hayo akisema Timu za Urusi na Belarus katika mashindano hayo zitawakilisha vurugu au mateso. Ikiwa hili litafanikiwa itakuwa ni hatua nyingine ya Urusi kuendelea kutengwa zaidi na sehemu kubwa ya ulimwengu.
 
Sasa utashindanaje na adui yako kwa mfano Ukraine apangwe na Russia kwenye kundi moja utakuwa ni mchezo kweli au vita.

Hao Russia watengwe kabisa hadi pale huyo dikteta Putin atakapo ondoka madarakani na Russia kuwa na serikali inayojitambua lakini sio hii ya kifedhuli.
 
Sasa utashindanaje na adui yako kwa mfano Ukraine apangwe na Russia kwenye kundi moja utakuwa ni mchezo kweli au vita.

Hao Russia watengwe kabisa hadi pale huyo dikteta Putin atakapo ondoka madarakani na Russia kuwa na serikali inayojitambua lakini sio hii ya kifedhuli.
Ebu acha upumbavu walio sema siasa na michezo visichanyikane walikuwa na akili na maana kubwa.

Hao wanao taka ifungiwe wao wana utakatifu gani walio nao mpaka waihukumu Urusi?

Au raia wa Ukraine ni wa kipekee sana au wana thamani kuliko raia wa Libya,Iraq, Afghanistan,na Palestine mbona nchi zilizo wavamia na kuwauwa kwa mamilion hazikufungiwa?

Ww ni kilaza kabisa.
 
Hivi Zelensky siku hizi ndiye amekuwa na mamlaka makubwa kuliko hata Secretary General wa umoja wa Mataifa - Amerika na Uingereza wanamvimbisha kichwa kwelikweli, amekuwa jeuri na kiburi juu, huku Taifa lake lina angamia kwa kukubali kwake kuwatoa kafara Waukraine wenzake wapigane a proxy war kwa niaba ya Anglo-Saxon gang ambao hawana uwezo wowote kivita kumshinda Mrusi ambaye anapigana vita ya kulinda Taifa lake unlike Anglo-Saxon crooks wanao jali zaidi maslahi yao na sio binadamu wenzao - njama zao zitashindwa vibaya sana na kwa aibu kwelikweli.

Sasa huyu mbwiya unga anaanzisha vitimbwi vyake tena: anazunguka huko na kule eti Urusi hisishiriki kwenye michezo ya Olympic - kwani yeye nani?? Akili zake zote zimejaa hila za kuchonganisha watu wasielewane na ikiwezekana Dunia nzima ipeleke majeshi kumsaidia huko Ukraine dhidi ya Urusi - yaani Dunia imsaidie puppet aliye simikwa madarakani na USA na akaanzisha vita na Wakraine wa majimbo ya mashariki waliokataa kuwa chini ya utawala wa kikatiri wa Zelensky wakataka wajiunge na Urusi kulinda usalama wao - Waukraine wenye asili ya Urusi waliuwawa zaidi ya 14,000 lakini vyombo vya habari vya magharibi vilikaa kimya - masaa yoye ni kumsema Putin alivyo mbaya na mkatiri - ukatiri wa Senselesky hawausemi hata kidogo, hawasemi kwamba vita haza vilianza Desemba 2021 kwa kutumia silaha nzito jeshi la Ukraine walizokuwa wamepewa na USA baada ya mafunzo ya kijeshi huko USA na UK tangu 2015 na kuendelea lengo likiwa kuimarisha Ukraine kijeshi ili baadae waje na nguvu zaidi na silaha nzito na ndege kiwamaliza ethnic Russians in Eastern Ukraine bile bile na kuikomboa Crimea walikuwa wamejipanga kweli kweli lakini Utisiikapatataarifa za kiintelijendia na kuwawahi kabla hatajatekeleza njama zao wakishirikiana na baadhi ya vikosi vya NATO vilivyo vaa iniform za jeshi la Ukraine ili watitambulike kirahisi - pre emptive strike ya Warusi ndio iliyotibua mpango mzima wa Zelrndky na Merikani.


Humu nimeona kuna member mwezetu wa JF ameeleza kwa kina kuhusu mgogoro huu wa Ukraine mwanzo mwisho, hasa kuhusu Amerika onavyo husika na vita hii moja kwa moja, na wachambuzi wa mambo wa mataifa mbali mbali wanasema bila kumungunya maneno kwamba walio anzisha vita hii ni Ukraine na sio Urusi - mchochezi na mpanga mipango yote ya vita hii inayo endelea huko Ukraine ni Merikani yenyewe akishirikiana na Uingereza - hao ndio walikuwa wanamshinikiza Zelensky hasikubaliane na maazimio ya Minsk2 ili Urusi ilazimike kuingia vitani na hicho ndicho US na UK walikuwa wanataka, walitaka sana vita hii ianzishwe ili wapate njia rahisi ya kulidhoofisha jeshi la Urusi na kuhujumu Uchumi wa Urusi kwa kupitia vita ya Ukraine - inavyo elekea malengo yao yoye karibu yamegonga mwamba maana Urusi bado inadunda kichumi na bado ana silaha na wanajeshi prof licha ya kuwekewa vikwanzo zaidi ya 1500.

Sasa USA/NATO wakifanya makosa ya kujiingiza moja kwa moja kwenye vita hii - watapigika kweli kweli, hilo limitokea basi si Urusi pekee bali Uchina,Korea Kaskazini, Iran nao wataingilia kati kudaifiana na Urusi maana wanajua ukimchekea Mmerikani huwezi jua kesho atafanya njama za kumvamia nani baina yenu hivyo ni afadhali kushirikiana kijeshi ili kuondokana na donda ndugu la Kimerikani once and for all - na this time around vita hii Warusi,Wachina,North Korea na Iran watahakikisha vita hii inapiganwa kwenye aridhi ya huko huko Merikani wahakikishe she/America will never rise again na kuwa tishio tena kwa amani Duniani - who can blame them.

Wote wakiwa wajiga waka resort kutumia thermonuclear bombs/missiles hapo Dunia nzima ndio basi tena-siamini kama wote wanaweza kuwa wajinga kufikia kiasi cha kutaka kuiangamiza Dunia - binafsi nina uhakika kwamba vita hii ya Ukraine itamdhoofisha sana US katika masuala ya Geopolitics atakosa ushawishi sana ie ni mataifa machache yatamchukulia seriously tena - Mataifa mengi yatarudisha uhusiano mzuri na Urusi - watampongeza sana Putin kwa kuondoa uwenda wazimu wa genge la NWO na Unipolar World - kila Taifa litakuwa lina heshimika Duniani na sio genge dogo kujifanya ni Miungu wa hapa Duniani - Ndio maana mataifa mengi yalikataa kupiga kura ya kuunga miswaada ya USA iliyo pelekwa UN kwa lengo la kuilahumu Urusi eti imevamia Ukraine huku the brains behind Ukraine fiasco akiwa ni mwenyewe Marekani lakini anazuga members wa UN kwa kujiweka pembeni kama ahusiki vile, si hilo tu anakwenda mbali zaidi anawaonga some UN members ili wamu-support lakini most African Nations, Asia na Latin America walikatalia USA kuburuzwa ovyo kama gari bavu, hii inaleta picha gani? Ni wasi Dunia imekwisha anza kuchoshwa na modus operandi za Merikani.
 
Hivi Zelensky siku hizi ndiye amekuwa na mamlaka makubwa kuliko hata Secretary General wa umoja wa Mataifa - Amerika na Uingereza wanamvimbisha kichwa kwelikweli, amekuwa jeuri na kiburi juu, huku Taifa lake lina angamia kwa kukubali kwake kuwatoa kafara Waukraine wenzake wapigane a proxy war kwa niaba ya Anglo-Saxon gang ambao hawana uwezo wowote kivita kumshinda Mrusi ambaye anapigana vita ya kulinda Taifa lake unlike Anglo-Saxon crooks wanao jali zaidi maslahi yao na sio binadamu wenzao - njama zao zitashindwa vibaya sana na kwa aibu kwelikweli.

Sasa huyu mbwiya unga anaanzisha vitimbwi vyake tena: anazunguka huko na kule eti Urusi hisishiriki kwenye michezo ya Olympic - kwani yeye nani?? Akili zake zote zimejaa hila za kuchonganisha watu wasielewane na ikiwezekana Dunia nzima ipeleke majeshi kumsaidia huko Ukraine dhidi ya Urusi - yaani Dunia imsaidie puppet aliye simikwa madarakani na USA na akaanzisha vita na Wakraine wa majimbo ya mashariki waliokataa kuwa chini ya utawala wa kikatiri wa Zelensky wakataka wajiunge na Urusi kulinda usalama wao - Waukraine wenye asili ya Urusi waliuwawa zaidi ya 14,000 lakini vyombo vya habari vya magharibi vilikaa kimya - masaa yoye ni kumsema Putin alivyo mbaya na mkatiri - ukatiri wa Senselesky hawausemi hata kidogo, hawasemi kwamba vita haza vilianza Desemba 2021 kwa kutumia silaha nzito jeshi la Ukraine walizokuwa wamepewa na USA baada ya mafunzo ya kijeshi huko USA na UK tangu 2015 na kuendelea lengo likiwa kuimarisha Ukraine kijeshi ili baadae waje na nguvu zaidi na silaha nzito na ndege kiwamaliza ethnic Russians in Eastern Ukraine bile bile na kuikomboa Crimea walikuwa wamejipanga kweli kweli lakini Utisiikapatataarifa za kiintelijendia na kuwawahi kabla hatajatekeleza njama zao wakishirikiana na baadhi ya vikosi vya NATO vilivyo vaa iniform za jeshi la Ukraine ili watitambulike kirahisi - pre emptive strike ya Warusi ndio iliyotibua mpango mzima wa Zelrndky na Merikani.


Humu nimeona kuna member mwezetu wa JF ameeleza kwa kina kuhusu mgogoro huu wa Ukraine mwanzo mwisho, hasa kuhusu Amerika onavyo husika na vita hii moja kwa moja, na wachambuzi wa mambo wa mataifa mbali mbali wanasema bila kumungunya maneno kwamba walio anzisha vita hii ni Ukraine na sio Urusi - mchochezi na mpanga mipango yote ya vita hii inayo endelea huko Ukraine ni Merikani yenyewe akishirikiana na Uingereza - hao ndio walikuwa wanamshinikiza Zelensky hasikubaliane na maazimio ya Minsk2 ili Urusi ilazimike kuingia vitani na hicho ndicho US na UK walikuwa wanataka, walitaka sana vita hii ianzishwe ili wapate njia rahisi ya kulidhoofisha jeshi la Urusi na kuhujumu Uchumi wa Urusi kwa kupitia vita ya Ukraine - inavyo elekea malengo yao yoye karibu yamegonga mwamba maana Urusi bado inadunda kichumi na bado ana silaha na wanajeshi prof licha ya kuwekewa vikwanzo zaidi ya 1500.

Sasa USA/NATO wakifanya makosa ya kujiingiza moja kwa moja kwenye vita hii - watapigika kweli kweli, hilo limitokea basi si Urusi pekee bali Uchina,Korea Kaskazini, Iran nao wataingilia kati kudaifiana na Urusi maana wanajua ukimchekea Mmerikani huwezi jua kesho atafanya njama za kumvamia nani baina yenu hivyo ni afadhali kushirikiana kijeshi ili kuondokana na donda ndugu la Kimerikani once and for all - na this time around vita hii Warusi,Wachina,North Korea na Iran watahakikisha vita hii inapiganwa kwenye aridhi ya huko huko Merikani wahakikishe she/America will never rise again na kuwa tishio tena kwa amani Duniani - who can blame them.

Wote wakiwa wajiga waka resort kutumia thermonuclear bombs/missiles hapo Dunia nzima ndio basi tena-siamini kama wote wanaweza kuwa wajinga kufikia kiasi cha kutaka kuiangamiza Dunia - binafsi nina uhakika kwamba vita hii ya Ukraine itamdhoofisha sana US katika masuala ya Geopolitics atakosa ushawishi sana ie ni mataifa machache yatamchukulia seriously tena - Mataifa mengi yatarudisha uhusiano mzuri na Urusi - watampongeza sana Putin kwa kuondoa uwenda wazimu wa genge la NWO na Unipolar World - kila Taifa litakuwa lina heshimika Duniani na sio genge dogo kujifanya ni Miungu wa hapa Duniani - Ndio maana mataifa mengi yalikataa kupiga kura ya kuunga miswaada ya USA iliyo pelekwa UN kwa lengo la kuilahumu Urusi eti imevamia Ukraine huku the brains behind Ukraine fiasco akiwa ni mwenyewe Marekani lakini anazuga members wa UN kwa kujiweka pembeni kama ahusiki vile, si hilo tu anakwenda mbali zaidi anawaonga some UN members ili wamu-support lakini most African Nations, Asia na Latin America walikatalia USA kuburuzwa ovyo kama gari bavu, hii inaleta picha gani? Ni wasi Dunia imekwisha anza kuchoshwa na modus operandi za Merikani.
Kwahiyo unahisi solution ni nini?
 
Ebu acha upumbavu walio sema siasa na michezo visichanyikane walikuwa na akili na maana kubwa.

Hao wanao taka ifungiwe wao wana utakatifu gani walio nao mpaka waihukumu Urusi?

Au raia wa Ukraine ni wa kipekee sana au wana thamani kuliko raia wa Libya,Iraq, Afghanistan,na Palestine mbona nchi zilizo wavamia na kuwauwa kwa mamilion hazikufungiwa?

Ww ni kilaza kabisa.
Acha bangi wewe, wakati wa utawala wa kibaguzi mbona Afrika Kusini walipigwa marufuku kushiriki mashindano yote au ulikuwa hujazaliwa.
 
Ebu acha upumbavu walio sema siasa na michezo visichanyikane walikuwa na akili na maana kubwa.

Hao wanao taka ifungiwe wao wana utakatifu gani walio nao mpaka waihukumu Urusi?

Au raia wa Ukraine ni wa kipekee sana au wana thamani kuliko raia wa Libya,Iraq, Afghanistan,na Palestine mbona nchi zilizo wavamia na kuwauwa kwa mamilion hazikufungiwa?

Ww ni kilaza kabisa.

Eneo gani la maisha ya mwanadamu sio siasa?

Kuandikishwa uzazi/kuzaliwa ni siasa
Kuandikishwa kifo ni siasa
Kuzika ni siasa

Michezo, Fedha, Elimu, Afya, Miundombinu, Kodi, Nishati, Kuona/kuolewa,Kuabudu, Misitu, Chakula, Maliasili, Bahati, MiTo, Maziwa, Twitter, Jamiiiforums, Mwalimu Nyerere Dam, tuma na ya kutolea vyote vimejaa siasa.
 
Back
Top Bottom