Urusi yaendelea kuishambulia Ukraine kwa makombora

Urusi yaendelea kuishambulia Ukraine kwa makombora

The Zanzibar Echo

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2025
Posts
490
Reaction score
836
Urusi imerusha kombora katika mji wa viwanda wa Samar kusini mashariki mwa Ukraine na kusababisha vifo vya watu watano huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa.
Gavana wa mji huo Serhiy Lysak, amesema katika mtandao wake wa Telegram kwamba watu wanne kati ya waliojeruhiwa wako katika hali mahututi na wanapokea matibabu hospitalini.

Maafisa hao hawakutoa taarifa zaidi juu ya uharibifu katika mji huo ulioshambuliwa pia siku ya jumanne na kuwauwa watu wawili.
Haya yanajiri wakati Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakitoa wito wa hatua zaidi kuchukuliwa kusaidia kukidhi mahitaji makubwa ya kijeshi ya Ukraine, ili iweze kukabiliana na mashambulizi ya Urusi.

Katika mkutano wa viongozi hao uliofanyika mjini Brussels, walikubaliana kwamba ni muhimu kuipa Ukraine mifumo zaidi ya ulinzi wa anga na mifumo ya kukabiliana na droni pamoja na silaha nyengine za kijeshi, ili iweze kuwalinda raia wake na maeneo yake, dhidi ya mashambulizi hayo.
 
Urusi imerusha kombora katika mji wa viwanda wa Samar kusini mashariki mwa Ukraine na kusababisha vifo vya watu watano huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa.
Gavana wa mji huo Serhiy Lysak, amesema katika mtandao wake wa Telegram kwamba watu wanne kati ya waliojeruhiwa wako katika hali mahututi na wanapokea matibabu hospitalini.

Maafisa hao hawakutoa taarifa zaidi juu ya uharibifu katika mji huo ulioshambuliwa pia siku ya jumanne na kuwauwa watu wawili.
Haya yanajiri wakati Viongozi wa Umoja wa Ulaya wakitoa wito wa hatua zaidi kuchukuliwa kusaidia kukidhi mahitaji makubwa ya kijeshi ya Ukraine, ili iweze kukabiliana na mashambulizi ya Urusi.

Katika mkutano wa viongozi hao uliofanyika mjini Brussels, walikubaliana kwamba ni muhimu kuipa Ukraine mifumo zaidi ya ulinzi wa anga na mifumo ya kukabiliana na droni pamoja na silaha nyengine za kijeshi, ili iweze kuwalinda raia wake na maeneo yake, dhidi ya mashambulizi hayo.
Kwani leo Zelezensky kafanya nini yeye ndiye ndiye anaogoza katika kutuma drones na makombora usiku kucha, uwaua raia wengi wa Urusi wasio na hatia huko Urusi, Urusi ikijibu mashambulizi Zelensky anakimbilia kwenye vyombo vya habari na kuomba msaada wa silaha na mamuruki kutoka mataifa ya Ulaya, ujeuri na kiburi chake huwa hataki ushauri wa kumaliza vita anarubuniwa na baadhi ya Viongozi WA Ulaya kuendeleza vita huku uwezo hana kabisa.

Trump amekwisha watuma mawaziri wake wajaribu kumshauri ahachane na vita lakini hasikii la mtu badala yake anakimbilia kuomba silaha na msaada wa fedha kutoka Ulaya eti "amshinde Mrusi" yaani hana hata habari kwamba yeye na Waukraine wenzake wanatumiwa na NATO kupigana a proxy WAR on their behalf!!

Wanashindwa hata Israel na Iran ambao walikubali ushauri wa Trump wakasitisha vita, Zelensky kichwa maji hasikilizi la mtu.

Trump aliwahi kumuonya Zelensky kwamba akiendeleza vita, basi, akae akijua kwamba siku moja atajikuta Hana nchi ie Taifa lote la Ukraine litachukuliwa no Urusi - sijui kama Zelensky alimuelewa Trump!!
 
Kuna muda huwa namuelewa sana Netanyahu namna anavyodili na mtu mchokozi.

Kama Netanyahu angekuwepo Urusi kwa ukubwa na uwezo wa kijeshi iliyonao basi hii vita ingekuwa imeisha.

Na hao vihelehele kama Poland n.k wangemakinika na wasileta midomo kwa kumtegemea marekani.

Angetoa kisago ambacho Europe nzima wasingeamini na ingekuwa kutoa somo ili wajue yeyote atakaeleta mdomo kitamkuta kipigo cha namna hii au zaidi.

Huku kulemba muandiko Putin kumeshamtokea puani ana bahati tu nchi nyingi zinaogopa kutoa silaha za hatari zaidi kwa Ukraine.Vinginevyo angeelemewa na hii vita.
 
Kuna muda huwa namuelewa sana Netanyahu namna anavyodili na mtu mchokozi.

Kama Netanyahu angekuwepo Urusi kwa ukubwa na uwezo wa kijeshi iliyonao basi hii vita ingekuwa imeisha.

Na hao vihelehele kama Poland n.k wangemakinika na wasileta midomo kwa kumtegemea marekani.

Angetoa kisago ambacho Europe nzima wasingeamini na ingekuwa kutoa somo ili wajue yeyote atakaeleta mdomo kitamkuta kipigo cha namna hii au zaidi.

Huku kulemba muandiko Putin kumeshamtokea puani ana bahati tu nchi nyingi zinaogopa kutoa silaha za hatari zaidi kwa Ukraine.Vinginevyo angeelemewa na hii vita.
Mkuu wazungu wanahesabu Kali sana juu ya ukrain na urussi ....wanajua ukubwa wa urussi kwenye nyanja za kivita....na wanajua Kwa nini urussi anaenda taratibu na hii vita... Na nakuhakikishia siku wamagharibi wakatoa siraha nzito kuisaidia ukrain basi ujue vita vitaisha Kwa muda mfupi sana ...Kwa sababu anachokifanya urussi ni kuongeza dozi kubwa kidogo ukilinganisha na silaha anazopewa ukrain....siku ukrain akajichanganya akatumia silaha nzito za kupiga Moja Kwa Moja ndani ya urussi basi urussi atakachofanya ni kutangaza rasmi vita zidi ya ukrain na ndo utakuwa mwanzo wa kushusha siraha nzito ambazo pengine hatujawahi ziona na kupelekea vita kuisha mapema kabisa .....
 
Mkuu wazungu wanahesabu Kali sana juu ya ukrain na urussi ....wanajua ukubwa wa urussi kwenye nyanja za kivita....na wanajua Kwa nini urussi anaenda taratibu na hii vita... Na nakuhakikishia siku wamagharibi wakatoa siraha nzito kuisaidia ukrain basi ujue vita vitaisha Kwa muda mfupi sana ...Kwa sababu anachokifanya urussi ni kuongeza dozi kubwa kidogo ukilinganisha na silaha anazopewa ukrain....siku ukrain akajichanganya akatumia silaha nzito za kupiga Moja Kwa Moja ndani ya urussi basi urussi atakachofanya ni kutangaza rasmi vita zidi ya ukrain na ndo utakuwa mwanzo wa kushusha siraha nzito ambazo pengine hatujawahi ziona na kupelekea vita kuisha mapema kabisa .....
Bro ungemkumbusha napoleon wa Ufaransa Hitler wa ujeruman kiliwakuta nini urusi imeumbwa kwa vita yy mwenyew anajijenga kwa vita 40% ya pato la taifa linaenda katika ulinzi Trump aliwahi kusema Putin hajataka kuichukua tu Ukraine ila Kam angetk ingekua zamn sana
 
Bro ungemkumbusha napoleon wa Ufaransa Hitler wa ujeruman kiliwakuta nini urusi imeumbwa kwa vita yy mwenyew anajijenga kwa vita 40% ya pato la taifa linaenda katika ulinzi Trump aliwahi kusema Putin hajataka kuichukua tu Ukraine ila Kam angetk ingekua zamn sana
Sasa anataka nini kama hataki kuichukua?
 
Sasa anataka nini kama hataki kuichukua?
Ndugu,Urusi anataka,:
-Ukraine isijunge NATO,
-Ukraine ipunguziwe silaha, (Demilitarization.)
Na kuondoa Chama Cha manazi,(Denazification).
Hayo ndio malengo ya Urusi,sio kuchukua Ukraine.
 
Sasa anataka nini kama hataki kuichukua?
1. Aache nia ya kujiunga na NATO
2. Apunguze ukubwa wa jeshi lake
3.Achane na silaha za nyuklia
4. Aondoe majeshi katika maeneo yanayokaliwa na urusi.( akubali kupoteza maeneo yashayochukuliwa na urusi)
 
Back
Top Bottom