Daah!kaka huu msemo niliusoma kwenye kitabu kimoja hivi kizuri sana chenye misemo ya watu maarufu sana duniani lakini kwabahati mbaya kimepotea kwenye mazingira ya kutatanisha so kama utanisaidia kupata copy yake pamoja na kunitajia jina lake ntashukuru sana maana hata jina la kitabu nimelisahau.Msemo mwingine ambao naukumbuka "where there is a will,will there is a way""a man brags of his own peni.. however tiny"
Sikuungi mkono, tech nyingi za Russia hazijulikani, angalia wanachofanya Syria, hata marekani wanashangaa, tuache promo za media tuangalie outputInawezekana, Ila
Best army ni combination ya navy, Airforce na land forces,
Kwa best army kura yangu ningempa USA,
PIA IWAPO utafuatilia technology nyingi za kijeshi russia yupo nyuma ya USA, Yaani USA wanainvest pesa kubwa sana kutafiti na kugundua vitu vipya, Jiulize kina f15 eagle walitoka mwaka gani, Alaf russia alitoa 4th generation mwaka gani, nani alianzisha stealth technology,(kumbuka f117 night hawk), Fuatilia kuhusu NIMITZ CLASS CARRIERS, , yan ni mbo mengi,
My take: ni ugunduz mzuri, Najua halitatumika, Limewekwa mkwara tu. Ila ni hatua kubwa kwao(japo haina manufaa kwetu)
Ila je ipo vipi mbele ya anti-ballistic systems, Kumbumba us antiballistics system inadetect tangu pale ballistic inapokua launched.
US army still ni strongest n the best
SATAN-2 Made in Russia likionyeshwa live tarehe 27/10/2016,hili kombora ndio hatari zaidi kwa sasa duniani limetengenezwa kwa advanced technology ni inter-continental linafika popote duniani na kwa muda mfupi tuu kwa kasi ya ajabu,lina uzito wa tani zaidi ya 100,linabeba mabomu 10-15 ya atomic,kombora kama hili moja linaweza kuigeuza majivu nchi yote ya UFARANSA.Makombora kama haya 54 yanaweza kuiangamiza USA kabisa.
Pamoja na silaha nyingine kali za kivita ndio maana Rais wa Russia kwa kujiamini kabisa alisema hivi
"we have the best army in world"View attachment 432290View attachment 432291
Mabomu hata somalia yapo, Urusi ndo kiranja wa makombora ya masafa marefu(ICBM), NATO wenyewe wameivulia kofia Urusi.Kwa mabomu
Marekani ndipo yalipozaliwa
RUssia kweli amedevelop icbm nyingi sana, Vp kuhusu anti-icbmMabomu hata somalia yapo, Urusi ndo kiranja wa makombora ya masafa marefu(ICBM), NATO wenyewe wameivulia kofia Urusi.
Ni kweli japo athari zake ni kwetu sote. Suala la ST SCAN na MRI ni pesa tu za ama kuitengeneza au kununua mpya!Jamani CT SCAN NA MRI zimekufa Muhimbili tuzijadili hizi ni muhimu kwetu kuliko makombora ya Russia
Kipi kipya kilichofanyika syria, kutoa air support ya kushambulia vikundi vya wapiganaji wasio hata na air defense??Sikuungi mkono, tech nyingi za Russia hazijulikani, angalia wanachofanya Syria, hata marekani wanashangaa, tuache promo za media tuangalie output
Nice and logical critique, mambo ya simba na yanga yanapelekwa kwa Putin na trump. Funny@ mostHawa ndio vijana Wa Tz kila mtu anakuja na hoja yake kujifanya wanazijua sana USA NA RUSSIA kuliko hata viongozi Wa nchi hizo..
Mtu anakomaa kubishana wakat yuko rorya na mbagala kisa tu kaingia Google na kusoma paragraph moja tayar anajifanya kulichambua jeshi lote la urusi na USA
.. Hivi mmewahi kujiuliza kwann ubishani wenu Wa kijeshi juu ya nchi hizi mbili haufiki mwisho??
Jibu ni kwamba mnabishania msichokijua.. Hapo mnabishania maandishi na sio vitendo..
Ww unayeizungumizia hyo Satan-2 ni lini hyo Satan ilirushwa kutoka urusi mpaka nchi nyingne na ikaja na matokeo uliyoandika hapo??
Long range missile with high precision hujssikia, hujasikia kuhusu kamanda wa Russia aliyetekwa but akaamuru wenzie wamtwange kwa kombora na kuteketeza maadui kibao?Kipi kipya kilichofanyika syria, kutoa air support ya kushambulia vikundi vya wapiganaji wasio hata na air defense??
Naomba unijuze hizo tech?
Pia niambie kipi kipya kilichofanyika syria.
SAsa hapo kipi ni kipya, ? High precission weapons, ? Kamanda kutekwa na kukubali kufa ni high tech?Long range missile with high precision hujssikia, hujasikia kuhusu kamanda wa Russia aliyetekwa but akaamuru wenzie wamtwange kwa kombora na kuteketeza maadui kibao?
Nakunga mkono kwa hilo Shickland vita vya sakafuni kumbuka pia walienda Somalia miaka ya 90s waliuawa over 80% na wasomali walisalimu amri mpaka Leo mmarekani hamini jinzi gani mkenya alivyo mpiga msomali na kuweka kambi huko huko somaliUSA kwa vita vya anga ni hatari, kwa vita vya sakafuni hakuna kitu, jiulize kilicho mshinda USA mwaka 1990 kumuondoa sadam hussein Iraq ni nini?
USA hamna kitu, tukija Russia katika vita bado hamjamtambua toka kumalizika kwa vita vya 2 vya dunia, kwa sasa Russian amekunjua mikono yake Syria na cremia, tuanze kumsoma wapi anaweza ku handle.
La tatu katika ugunduzi wa hizi defence, haijalishi nani mwanzo kuvumbua, hapa nani kwa sasa ana kifaa cha kileoo chenye nguvu na kasi kubwa?
Angalia mfano Iran walipo ikamata drone ya USA, nini kilitokea? katoa kitu kuliko cha USA ambacho hata kwenye rada hukioni, na amejaribu anga fulani kurusha
Mgambo kukubali kufa is one thing, kuwajulisha wenzie yeye akiwa mateka diyo high tech, niwapi marekani wamerusha makombora saws na umbali wanaorusha Russia kwenda SyriaSAsa hapo kipi ni kipya, ? High precission weapons, ? Kamanda kutekwa na kukubali kufa ni high tech?
Kama ni higher precision long range missile hapo hakuna jipya, kama ni kukubali kufa hata mgambo wa tanzania anaweza kukubali kufa,
Be serious bro
We lazima... Utakuwa umepita madarasa ya Literature miaka ile..."a man brags of his own peni.. however tiny"
Trump kashasema ataongeza tarrff kwa bidhaa za china mpaka 45%,muda utaongeaUrusi ina jeshi kubwa na hodari duniani illa ina shindwa kwa usa kwa vifuatavyo.Usa wana Budget ya kuendesha jeshi wana ndege bora duniani za kivita na umoja na baadhi ya nchi nyingi tu hadi hapa kwetu Afrika. Sasa hivi tatizo la Usa ni nchi mbili nazo sio kivita bali kiuchumi kama alivyosema Trumph ni janga kubwa na ni jambo linawakera kuwazuia nchi hizo ya kwanza ni China wapo tayari wana over take na ya pili ni india illa tatizo la india ni poverty..... other wise wapo juu sasa kiuchumi technologia na ipo very cheap na wametapakaa kila nchi. Usa wasipo kaa sawa China will be the next power wana watu wana uchumi na wana marafiki. China is the country to watch 20yrs.
Bro rudi tena kachimbue kwa undani.. Warusi ni hatar Mkuu.. America ni wazur wa propaganda tu.. Lazima urusi ndo kwenyew...Inawezekana, Ila
Best army ni combination ya navy, Airforce na land forces,
Kwa best army kura yangu ningempa USA,
PIA IWAPO utafuatilia technology nyingi za kijeshi russia yupo nyuma ya USA, Yaani USA wanainvest pesa kubwa sana kutafiti na kugundua vitu vipya, Jiulize kina f15 eagle walitoka mwaka gani, Alaf russia alitoa 4th generation mwaka gani, nani alianzisha stealth technology,(kumbuka f117 night hawk), Fuatilia kuhusu NIMITZ CLASS CARRIERS, , yan ni mbo mengi,
My take: ni ugunduz mzuri, Najua halitatumika, Limewekwa mkwara tu. Ila ni hatua kubwa kwao(japo haina manufaa kwetu)
Ila je ipo vipi mbele ya anti-ballistic systems, Kumbumba us antiballistics system inadetect tangu pale ballistic inapokua launched.
US army still ni strongest n the best
Sawa. Ila niambie uzur wao, Mi nimetoa vimifano vidogo, Mbona We umekulimbilia kusema ni wazuri bila hata mfano BTW najua vitu vini kijesi ni classffied, Basi at least to hata hivyo vya wikipedia ambavyo sio classffiedBro rudi tena kachimbue kwa undani.. Warusi ni hatar Mkuu.. America ni wazur wa propaganda tu.. Lazima urusi ndo kwenyew...
Hata ikinunuliwa mpya itauliwa kesho yakeNi kweli japo athari zake ni kwetu sote. Suala la ST SCAN na MRI ni pesa tu za ama kuitengeneza au kununua mpya!
Kuwajulisah wenzako u r in trouble i jus a matter of pressing a button, Ni kama stress call za ndege na meli,Mgambo kukubali kufa is one thing, kuwajulisha wenzie yeye akiwa mateka diyo high tech, niwapi marekani wamerusha makombora saws na umbali wanaorusha Russia kwenda Syria
Password ni nani aliekurogaHivi kwanini asilipue tu bongo ili tupotee tu maana hatuna muelekeo kabisa