Urusi sasa amecharuka, ni mvua za makombora kaskazini na magharibi ya Ukraine. Boris amekubali yaishe

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,161
10,879
Kuanzia leo Urusi imeanza kutumia mbinu ya kivita ambayo haijawahi kutokea.

Ameporomosha makombora ya masafa marefu na ya uhakika kupiga kambi kadhaa za kijeshi magharibi na kaskazini ya Ukraine.Hali hii imempelekea Boris Johnson wa Uiengereza kushauri Ukraine ikubali kufanya mazungumzo haraka na Urusi ili vita visitishwa hasa kutokana na athari mbaya za Uchumi kwa mataifa yote ya Ulaya.

Wanajeshi wa Ukraine wanazidi kukimbizana kukimbia kimbunga cha Urusi kwenye vita.

  • Dozens of Russian missiles have simultaneously hit military facilities in western and northern Ukraine, local officials say.
  • 1656161924930.png
1656157841850.png
 
Kuanzia leo Urusi imeanza kutumia mbinu ya kivita ambayo haijawahi kutokea.Ameporomosha makombora ya masafa marefu na ya uhakika kupiga kambi kadhaa za kijeshi magharibi na kaskazini ya Ukraine.Hali hii imempelekea Boris Johnson wa Uiengereza kushauri Ukraine ikubali kufanya mazungumzo haraka na Urusi ili vita visitishwa hasa kutokana na athari mbaya za Uchumi kwa mataifa yote ya Ulaya.
Wanajeshi wa Ukraine wanazidi kukimbizana kukimbia kimbunga cha Urusi kwenye vita.

View attachment 2271608
PUTIN.....GO GO. GO!!!!!!

the world must be balanced scientifically......... technologically ....and militarily
 
Kuanzia leo Urusi imeanza kutumia mbinu ya kivita ambayo haijawahi kutokea.Ameporomosha makombora ya masafa marefu na ya uhakika kupiga kambi kadhaa za kijeshi magharibi na kaskazini ya Ukraine.Hali hii imempelekea Boris Johnson wa Uiengereza kushauri Ukraine ikubali kufanya mazungumzo haraka na Urusi ili vita visitishwa hasa kutokana na athari mbaya za Uchumi kwa mataifa yote ya Ulaya.
Wanajeshi wa Ukraine wanazidi kukimbizana kukimbia kimbunga cha Urusi kwenye vita.

View attachment 2271608
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
haya wayasema wewe mkuu!!
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
URUSI hayupo VITANI
Ila hata kama hii OP itachukua miaka 100 basi TAIFA TEULE LA RUSSIA lipo tayari kupigana
Nahata kama itadumu miaka 1000 TAIFA TEULE LA RUSSIA lipo tayari kuwanyoosha hao UKRO NATO
RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujamwelewa Boris ,unakimbilia ushabiki tuu na mahaba Boris kasema kwa mwenendo wa vita unavyoenda ana hofu Ukraine wanaweza wakafanya maamuzi mabaya ya ya kutaka wayamalize kidiplomasia kitu ambacho Boris kadai ni kosa kubwa ,kumbuka viongoz wa ulaya wanahitaji hii vita ichukue mda kidogo ili mrusi achoke,sasa Russia anatumia mbinu za kuporomosha rocket 1000 kwa saa ili kuwavunja moyo waukrain ili wayamalize upesi maana mrusi naye hataki kuendelea na hii vita ishamchosha sana na yeye
We jamaa si tu ni muongo bali ni m'mbea yaani ukraine afanya maamuzi magumu dhidi ya urusi ni maamuzi gani hayo? Acha kula upepo wewe hautashiba! Yaani nchi imechakaa mifumo ya NATO yoote imeshindwa kumsaidia.
Mrusi katumia Strategic bomber ie TU 160 pia fighter jets like SU 35 unadhani kwanini USA hapeleki strategic bombers zake eg B 2 Lancer stratofortress na figher jets kama F 35? Unadhani kwanini ufaransa hajapeleka Rafale? Jibu ni kwamba haziwezi kufanya kitu mbele ya Urusi na wanaogopa kwamba wakizipeleka soko lake litaishia hapo.
Halafu ukumbuke hata wakubwa zako wana uelewa juu ya mziki wa urusi na wanaujua tangu kitambo
 
Mbona sielewi jamani! Sababu kule zimepelekwa siraha za Ulinzi toka USA, Germany, UK, Leo mwaniambia Mabomu yanapenya na kupiga kambi za Jeshi maali hayo madudu yapo.
Kuna siku hayo madude yalidungua makopokopo baada ya ku intercept bomu la urusi ndipo hilo bomu lilipogundua linataka kudunguliwa likaachia makopokopo ndiyo yakalengwa na kisha bomu lenyewe likaingia kwenye target na kuwabomoa chezea Urusi weye raha tupuuuuu
 
Hizi ni hasira za kupigwa nchi za Kiarabu.
Unapigana na mlemavu halafu unajivunia una nguvu. Hiyo ni akili kweli?
Unapigana na Ukraine ili uchukue nini? Hayo ni matumizi mabaya ya akili na mali.
Katika mataifa yenye akili duniani ni Marekani, China na Uingereza. Hao ndiyo wanaishi kibepari.
Piga hao kenge mpaka maji wayaite mma!

Wapumbavu wakubwa sana hao wanaokaribisha maadui nyumbani na kuendekeza ushoga
 
Kuanzia leo Urusi imeanza kutumia mbinu ya kivita ambayo haijawahi kutokea.Ameporomosha makombora ya masafa marefu na ya uhakika kupiga kambi kadhaa za kijeshi magharibi na kaskazini ya Ukraine.Hali hii imempelekea Boris Johnson wa Uiengereza kushauri Ukraine ikubali kufanya mazungumzo haraka na Urusi ili vita visitishwa hasa kutokana na athari mbaya za Uchumi kwa mataifa yote ya Ulaya.
Wanajeshi wa Ukraine wanazidi kukimbizana kukimbia kimbunga cha Urusi kwenye vita.

View attachment 2271608
Hizi ndizo habari ninazozipendaga sana. Habari tamu sana hii
 
Back
Top Bottom