Urusi: Marekani ndiye mhusika mlipuko Kremlin

Hii hadithi tamu..
Wameshindwa kumuingiza Rais wa Ukraine 🇺🇦, hapo wanapotezea kiaina...
 
umeandika kishabiki sana , kwann baadae vietnam kawa mdau mkubwa wa usa?
 
so open door policy ilikuwa uongo ? subir usa ianguke ndo utakuja juwa usa ndo anawafanya europe wasirudi afrika ila europe wanatamani sn kurud afrika
 
unamuona Putin mjinga kuvamia majiran zake? km angekuwa mstaarabu alipoachiwa crimea basi angetulia ila kuitaka ukraine yote ni ukorofi tyr
 
ahsante kwa kulitambua hilo so maadui wapo ndani ya urusi tena mji mkuuu
Kuwa na akili basi hata kidogo. Kusema vile haimaanishi kwamba waliofanya hilo jaribio sio Ukrainians. Kuna uwezekano wa Ukrainians waliingia Moscow kwa mission maalumu
 
Hata North Korea ana mabomu hatari lakini hakuna kati yao mwenye ujasiri wa kushambulia eneo la ardhi ya Marekani. Hilo lipo hivyo iwe unapenda kulisikia au hupendi linabaki kuwa hivyo.
Pumbafu. Waambie marekani wapige kombola Moscow or norh Korea alafu uone kama hawatamjibu
 
unamuona Putin mjinga kuvamia majiran zake? km angekuwa mstaarabu alipoachiwa crimea basi angetulia ila kuitaka ukraine yote ni ukorofi tyr
Aliyekuambia anataka Ukraine yote ni nani? Marekani?
 
Na Yale mapipa yao ya gongo S-300 na S-400 walikuwa wamehifadhiwa gongo ? , Tena wangeifunga hiyo drone na biological weapons isafishe mji mzima wa kremlin kabisa .
Wao wanavyopiga missiles kila siku Ukraine na kujeruhi watu na wengine kufa wanaona ni sawa sio ? ,Kuvamia na kukalia ardhi isiyo yao na kufanya uharibifu wanaona poa sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…