Urusi: Marekani Imetangaza Vita Vya Kibiashara

Urusi: Marekani Imetangaza Vita Vya Kibiashara

Sikutegemea kauli tofauti kutoka kwa gamba.
Tatzo mnalaumu hata usiyoyajua. Wao ndio utaratibu waliojiwekewa tena upo wazi kikatiba ww unalaumu nn kama sio ukichaa?
Nyie ndio wale kila siku mnakosoa familia za watu wakat ya kwako imeoza
 
russia bado ni crippled tu. wangekua wamesimama na miguu yote miwili na wao wangeiwekea marekani vikwazo badala ya kulialia tu. unafkiri marekani anauwezo wa kuiwekea china au nchi za ulaya vikwazo? hivi vikwazo ni kwaajili ya nchi ndogo ndogo. iran, venezuela, cuba, russia, korea kaskazini. kama hiyo ndio hadhi ya russia sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Soma hapa mkuu Europe to U.S.: Your new Russia sanctions would hurt us too

Nafikiri utaelewa kuwa Russia sio crippled kama unavyofikiria. Sanctions hizo zinaweza kuathiri Ulaya pia, in which kama US wakieendelea kukaza wanaweza kujikuta wanatia doa uhusiano wao na Ulaya, hence their own sanctions can harm themselves.

Huwezi kumuwekea Sanction Russia afu ikapita as if unaiwekea sanction Zimbabwe. Pitia hii link Russia sanctions: What you need to know - CNN.com

US can be a global super power but Russia has power too.
You hit em, they hit you back.
 
Hivi vikwazo ukifatilia kwa jicho la tatu vinalenga kukuza biashara ya gas ya Marekani pale Europe. Maana Russia anauza 38% ya gas yake Ulaya huku Marekani ni 2% tu. Maana wanajua wakishaharibu biashara ya gas ya Russia kwa Ulaya bhas washammaliza Urusi maana uchumi wake utakua taabani. Ukitaka kujua zaidi jaribu pia kufatilia hotuba ya Trump alipokua Poland aliyoyasema kuhusiana na biashara ya Nishati.
Trumph kamshindwa Mapank sasa kwa aibu anamgeukia Russia...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
russia bado ni crippled tu. wangekua wamesimama na miguu yote miwili na wao wangeiwekea marekani vikwazo badala ya kulialia tu. unafkiri marekani anauwezo wa kuiwekea china au nchi za ulaya vikwazo? hivi vikwazo ni kwaajili ya nchi ndogo ndogo. iran, venezuela, cuba, russia, korea kaskazini. kama hiyo ndio hadhi ya russia sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuiita Russia nchi ndogo ni dhairi upo shallow.
 
Soma hapa mkuu Europe to U.S.: Your new Russia sanctions would hurt us too

Nafikiri utaelewa kuwa Russia sio crippled kama unavyofikiria. Sanctions hizo zinaweza kuathiri Ulaya pia, in which kama US wakieendelea kukaza wanaweza kujikuta wanatia doa uhusiano wao na Ulaya, hence their own sanctions can harm themselves.

Huwezi kumuwekea Sanction Russia afu ikapita as if unaiwekea sanction Zimbabwe. Pitia hii link Russia sanctions: What you need to know - CNN.com

US can be a global super power but Russia has power too.
You hit em, they hit you back.
kwenye sanctions pande zote mbili zitaumia hata marekani pia itaumia. tafauti ni kwamba uchumi wa russia ni mdogo na wataumia zaidi. chanzo chao kikuu cha mapato ni gas na wateja wao ni ulaya. vikwazo vya crimea mbona ulaya ilishiki na russia iliumia sana ndio kisa cha kuingilia uchaguzi wa usa wakitegemea trump watawalegezea. sio kwamba ulaya hawawezi kuishi bila gas ya urusi ila wanaona hivi vikwazo vipya havina faida kwao yaani putin kuingilia uchaguzi wa usa wao haiwahusu kwanini wasinunue gas ya urusi? najua kuhusu ulaya kutegemea gas ya urusi. point yangu ni kwamba Russia haijasimama au kuwa kwenye hadhi yake kama mchangiaji niliomjibu anavosema, ingekua hivo wasingewekewa vikwazo in the first place. nchi kubwa hazisumbuliwi na vikwazo. huwezi kusikia marekani au china wamewekewa vikwazo ila russia kila siku wanalalamika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndugu yangu hebu tupe ELIMU kidogo hapo uliposema MAREKANI (US)
inalenga kufanya BIASHARA ya gas EUROPE kwa style ipi ....sasa hivi US ni wachimbaji wakubwa wa Gas Duniani?



Zimwi likujualo......
Mkuu kwani hujui US ni mmoja wa wazalishaji wakubwa wa Gas duniani badala ya Russia,Iran, Qatar Saudia halafu ndo inafata Marekani.
Pia ni mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani tena kama sikosei mwaka jana au juzi alimpita had Saudia na Russia kwa uzalishaji mkubwa wa mafuta
fb9ec2d19ce8d63c16425e335fed93d1.jpg
796eca5ae902706d3723398a103be802.jpg
 
sawa nafuta kauli, russia bado ni super power kijeshi. ila kiuchumi wanaburuzwa sana na kusema putin ameirudisha kwenye hadhi yake ni kujidanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, ila ni vizuri uka elaborate ni kwanini unafikiri Putin hajairejesha hadhi ya Russia baada ya anguko la Soviet Union!?!?
ili tujue unalizungumzia hili toka kwenye perspective gani, na kwanini wenye mtazamo kama wangu tunajidanganya kwenye hili.
 
Mkuu kwani hujui US ni mmoja wa wazalishaji wakubwa wa Gas duniani badala ya Russia,Iran, Qatar Saudia halafu ndo inafata Marekani.
Pia ni mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani tena kama sikosei mwaka jana au juzi alimpita had Saudia na Russia kwa uzalishaji mkubwa wa mafuta
fb9ec2d19ce8d63c16425e335fed93d1.jpg
796eca5ae902706d3723398a103be802.jpg
Naelewa kaka lkn nilikuwa nataka kujua vip wanataka soko la EUROPE ?

Maan navyo jua mm ndio USA ni among the top countries zinazo produce OIL (energy) over Ten milion Barrels per day ...
Lkn hata nusu ya Mahitaji ya ndani haitoshi sasa vipi wawe na ziada ya kuuza?

Zimwi likujualo......
 
russia bado ni crippled tu. wangekua wamesimama na miguu yote miwili na wao wangeiwekea marekani vikwazo badala ya kulialia tu. unafkiri marekani anauwezo wa kuiwekea china au nchi za ulaya vikwazo? hivi vikwazo ni kwaajili ya nchi ndogo ndogo. iran, venezuela, cuba, russia, korea kaskazini. kama hiyo ndio hadhi ya russia sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana wewe bado ni mchanga sana kwenye international relations. Next time jaribu kusoma zaidi mambo ya mataifa ya nje kupitia vyanzo tofauti ili uongeze ujuzi. From there hope utakuwa na uwezo wa kuchangia vitu vya maana ukiwa na neutral mind
 
Naelewa kaka lkn nilikuwa nataka kujua vip wanataka soko la EUROPE ?

Maan navyo jua mm ndio USA ni among the top countries zinazo produce OIL (energy) over Ten milion Barrels per day ...
Lkn hata nusu ya Mahitaji ya ndani haitoshi sasa vipi wawe na ziada ya kuuza?

Zimwi likujualo......
Kupitia kusikiliza wachambuzi mbalimbali na kusoma articles mbalimbali nyingi zinasema kwamba technology anayotumia US katika kuchimba hyo gas yake inafanya iwe ni cheap. Na kwa mara ya kwanza ndo ameshaanza na Poland kuwauzia, kwenye ile ziara ya Trump ndo waliwasilisha shipment ya kwanza.
 
Inaonekana wewe bado ni mchanga sana kwenye international relations. Next time jaribu kusoma zaidi mambo ya mataifa ya nje kupitia vyanzo tofauti ili uongeze ujuzi. From there hope utakuwa na uwezo wa kuchangia vitu vya maana ukiwa na neutral mind
sawa na mi pia nakushauri next time kama hukubaliani na mtu mjibu kwa hoja sio kusema hana uelewa. thats not how you have a discussion. hakuna sehem niliosema mimi ni mtaalamu wa mambo ya siasa za nje so haina haja kusema mm ni "mchanga" au unafkiri kila anaechangia humu ni political scientist?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vikwazo ukifatilia kwa jicho la tatu vinalenga kukuza biashara ya gas ya Marekani pale Europe. Maana Russia anauza 38% ya gas yake Ulaya huku Marekani ni 2% tu. Maana wanajua wakishaharibu biashara ya gas ya Russia kwa Ulaya bhas washammaliza Urusi maana uchumi wake utakua taabani. Ukitaka kujua zaidi jaribu pia kufatilia hotuba ya Trump alipokua Poland aliyoyasema kuhusiana na biashara ya Nishati.

Ni kweli lengo lao ni hilo hasa i.e kuihujumu Urusi kibiashara, Amerika inacho sahau ni kwamba Urusi inauza gesi nyingi Uchina ambayo ina population inayo fikia billion+, India nayo ina idadi ya raia wanakaribiana wa Uchina, Warusi walikuwa na mazungumzo ya kutandaza bomba la gesi kwenda Pakistani na lingine kwenda Japan - consequently Warusi wana wateja kutoka Mataifa mbali mbali ya Far East - hujuma za biashara ya nishati ya gesi/mafuta zinazo pangwa na USA hazitafua dafu.

Hujuma za biashara za gesi zinazo pangwa na USA dhidi ya Urusi zimekwisha shutukiwa na Mataifa ya Ulaya, hayatakubali kulazimishwa/buruzwa kununua LPG kutoka Marekani kwa bei kubwa - Bunge la Marekani alina uwezo wa kuwachagulia Raia wa Ulaya na Serikali zao wafanye biashara na yupi, actually Trump amelionya Bunge la Marekani kuhusu suala hilo, kwamba wasipokuwa makini Marekani itajikuta inakorofishana na Ulaya kibiashara.

Leo hii kwa mfano baadhi ya Mawaziri na Wabunge wa Continental Europe wamesema hawawezi kukubali raia wao waliokuwa wanafanya kazi kwenye joint venture na makampuni ya Urusi kwenye nyanja za nishati wapoteze kazi zao kwa kutaka kufurahisha Marekani, wanawashangaa Wamerikani kutaka ku-create employment kwa raia wao huko kwao kwenye Kampuni zao za gesi/mafuta, wasafirishe gesi kwa Meli kutoka Marekani kuja kuiuza Ulaya wakiwa na lengo la kuhujumu kampuni zinazo kuwa run jointly na Urusi na Ulaya zinazo husika na usambazaji wa gesi huko Ulaya magharibini - lengo la Marekani hawataki pawepo na ushindani.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,Then what?!
ili mwenye kununa anune. china atest, urusi atest mpaka tz tutest atakayehisi anakerwa ajaribu kumshambulia mwenzake
 
Back
Top Bottom