Urusi: Marekani Imetangaza Vita Vya Kibiashara

Urusi: Marekani Imetangaza Vita Vya Kibiashara

Huyu Medvedev na Putin washaigeuza Russia kama mali yao. Huwa wanabadilisha urais na uwaziri mkuu; term ya huyu ikiisha kikatiba wanabadilisha hizo nafasi; term ikiisha tena wanabadilishana tena; hivyo hivyo nadhani hadi watakapokufa.
Acha kukuza mambo wamebadilishana mara moja tu
 
Back
Top Bottom