Urgently ; I need a psychologist

Urgently ; I need a psychologist

Addiction ushaambiwa mkuu
Unataka kuacha lkn unakuwa km ulofungwa miguu na mikono hufurukuti. Vitu vyengine sio vya kuvijaribu...kaa mbali navyo...
Hawa watu bwana!!,wanadhani mpaka mtu umeamua kuja kujiongelesha huku ni rahisi eee!?
Mtu aona kama unadeka hivi kuleta hili jambo mezani ๐Ÿ’”๐Ÿ’”
 
Hii sasa iko hivi, Juzi (Saturday) nikiwa kwenye arosto ya aviator nilimcheki mwanangu mmoja nilikua na mdai 150k akanielekeza nikaichukue nyumbani kwake(geto) kuna duka jirani huwa anaacha funguo .Yeye alikua kazini kariakoo ,sasa nilivyofika kwenye droo yake nikakuta kuna kama 2M hivi.
Roho ikalipuka kwa furaha, nikasema hapa nachezea hii napata zangu faida ya million then namwachia pesa yake kama kawaida.

Nikachukua 1.5M nikadeposit nikachukua na wine ya mwanangu nikaaa niaze kumramba mhindi kupitia aviator .
Ndani ya saa ikawa imebaki laki moja, hapo nasweti tu mapigo ya moyo yanaenda speed mno maana pesa sio ya kwangu na jamaa ananiamini mno.
Nikadepost na ile 500k iliokua imebaki nikiwa nimepaniki (makosa makubwa), kwamba nirudishe hata hela yake tu sasa.
Ndio unaona hapo imebaki 300k nazugia hapo .
Kilichotokea juu ya mimi na jamaangu ndio kilichonileta huku Jf na kuamua kufunguka hivyo,stori ndefu

Sasa imagine kama pesa ya mtu mwingine naifanya hivyo vipi hela yangu?
Mimi ni tour guide mkuu, karibu Nyerere national park (selous Game reserve)
Pole sana, tuliza akili na amini yameshatokea hakuna muujiza wa kuirudisha tena hiyo hela. Cha muhimu ni kupanga mpango mkakati wa kuirudisha.

Kuna wengi wamewahi kupoteza zaidi ya hapa, kama ulivyoona kwa mifano ya watu humu waliowahi kupoteza hadi nyumba mpaka gari. Amini kuwa yameshatokea na ujicommit kweli kuirudisha hiyo hela ya mwezio kwa njia zozote za halali na siyo kwa njia ya kubeti tena. Inawezekana
 
Back
Top Bottom