Computer yangu inachelewa ku run XP wakati unaiwasha inachukua muda sana kuwa sasa nina wasiwasi kwani mtu niliomuazima alikuwa anadownload vitu kibao sasa naona Miprogram hiyo ina run natakla nikiwasha Iwake Fasta kwani nilijaribu kurecovery lakini inakataa sasa inahitaji kuinstall upya sasa nimeona nilifikishe kwenu kama inawezekana basi niiokoe maana inachukua dk 30 kuwaka, nilijaribu kuingia kwenye net nimeambiwa niirun msconfig sasa hata run yenyewe siioni sasa msaada,Samahani nimeshindwa kupanga maelezo
Pia kwenye computer management unaweza kubadilisha baadhi ya services ambazo sio muhimu na hazitumiki mara kwa mara from Automatic ziwe Manual au Disabled
Tafuta software ya registry cleaner. na clean registry yako
Kama hizo solution bado ni njia ndefu kwako basi fanya
Nenda kwenye start -programs- Accessories- System tools- System Restore. Soma maelekezo ikifika tarehe chagua ambayo siku chache kabla hujamuazima huyo mtu. XP ita restore mashine yako kama ilivyokuwa tarehe hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.