Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,856
- 762
Wadau nina mpango wa kuwekeza kwenye Fertilizer Industry lakini kabla ya hapo ninahitaji inputs mbalimbali muhimu kupitia business proposal /feasibility study itakayofaa kuchukulia Loan au Grant.Kwa mwenye ufahamu kuhusu masuala haya naomba ani PM kwa mazungumzo zaidi.Only serious guys here please!