Naona wanataka wapige dili ya Richimonduli nyingine, BOT au wasign contract kwenye hoteli huko Irani, halafu waharibu kila kitu, halafu watokee wa kina Zitto wengine wapige ngonjera bungeni kama kina Slaa...etc etc.
Na hivi mnaongelea Nyumbu, kuna rafiki zangu wazungu/wadosi walikuwa wananicheka ki-utani......yaani wabongo mnaletewa hadi injini, mnashindwa kutengeneza magari mmh!
Akhsante Bin Maryam. Basi sasa nitafanya unga'ang'anizi wa hili. Tehe tehe. Zijui zali litakuwa vipi!2025 mbali sana huyu kada wa chama akiondoka tunataka aliyezaliwa baada ya Azimio la Arusha.
Bila kuondoa taadhima, Nzokanhyilu
Kwa wanaongangania na wasiongaangania is just a matter of Intellectual faculties. Kutesti zali ndio haswa ilikuwa ni azimio langu.
Hii ni moja ya hizo faculty zako ambazo ni kutoa mzozo(kutofautiana mawazo ya bin marya na wangaanganiaji) maoni, hukumu, na kupimana-pimana. Hakuna mabaya na haya lakini hakuna haja ya ku-politicize.
Kuhusu maryam kupiga makelele ndio faculty yake kwenye huu mdahalo sijui huko kwingine lakini hapa ameweza kuonyesha mantiki- amechangia, ameonyesha mapungufu pamoja na mlolongo wa mawazo, uchanganuo na hoja.
Unawezekana una undai na haya lakini ukumbuke kutesti zali sio kufanya zali.
Nafikiri ukiangalia hapo juu utaona umeweka data na huko nyuma huyu maryam ameweka vidata au vi link sasa hayo mahesabu umsaidie. Utusaidie na sisi wanganganiaji. Tunaodai uwezekano upo-na kuafiki kwa upeo.
Vilevile naona bado tu umengaangania nakueleza visivyo. Una maaana serengeti ni sehemu ya attraction peke yake? Nafikiri wewe huyo huyo unataka ujenge hoteli kubwa tuu katikati ya serengeti. Eti watu waje kuona wanyama, basi vinyesi vyote vya kuendesha hoteli vitaishia kwa wanyama.
Kuenda kuvuna chumvi hakuhitaji magari moshi wala nini, au?
Uholanzi iko kwenye tambarare yenye upepo, Iko chini ya bahari. Upepo wa kutoka kaskazini magharibi ni mfano mzuri-hii inamaana wana chanzo kikuu cha kuwezekana kwa hii Wind-energy siyo technology au efficiency ambayo inafanya wind energy ni eneo mbadala.
In Tanzania 'a plateau makes up the greater part of the country'. Hiyo Wind-energy itakuwaje basi?
Kwenye 'Nyuki'Tanzania napo tuna chanzo Uranium, and what not why not think nuclear power?
Yakuendesha magari na nini nafikiri upo uwezekano wa kujadili, upo. Tujadili hili, tulifikirie hili, nalo ni NYUKI (Asante bin maryam)
Fuata linki hizo ufungue upeo (visonary glands) jaribu hapa kwanza www.howstuffworks.com/nuclear-power.htm
Hii ndio mindset inatakikana kubadilika haswa ikija kwenye mijadala ya namna hii. Sasa hao wazungu/wadosi ni wa wapi? Kwani, ni nani hajafanya hivyo?(kupelekewa injini na kushindwa kutengeneza gari) sio ndio nyumbu hizo sasa iwe vipi? Technology advance zimetokana na mengi tu haswa baada ya vita kuu ya pili. Wizi huo (reverse technology) uliwaendeleza nchi nyingi. Nimesema wizi huo na mrejeo wa hao Wazungu/Wadosi. Kwa sisi kuletewa ni vizuri tatizo tumetumia vipi hii advantage kuendeleza (reverse technology) injini hizo?
Next time waambie tuliletewa injini na tumetengeneza nyumbu ki-utani. Ungeonyesha uzalendo kidogo.
Cha muhimu katika mjadala huu ni Think nuclear power NYUKI tu.
Mchango wako una umuhimu, mahususi. asante. Tuendelee
Source zingine:Answers.com
I dis-agree to agree.Kwanza, kutesti zali in reference to Richmon...is a joke!! Lakini propaganda huwa zinaanza hivi.
Nilishanena huko juuKuhusu figures, nimeomba za potential oil/gas/coal fields Tanzania. Mtu hata hujui nchi yako ina utajiri kiasi gani, umeshaanza kuwaza unataka kwenda teknolojia nyingine. Ndio haya haya, madini yanachimbwa na ndege kuondoka moja kwa moja kutoka machimboni, and you cant account for.
Kuhusu energy, be it renewable or non-renewable, sina haja ya kufuata link hiyo. Najua nachoongelea. Hapa kila mwezi kuna lectures/presenations si chini ya 3 za energy proffessionals wana-discuss haya mambo. Not only nimepitia hii area, na nadeal nayo kila siku, ila pia nakutana na proffesionals ambao ni gurus katika area zao. Nina monthly subscription ya haya mambo, kinachonipita ni labda uvivu tu wa kusoma.
Hiyo Uranium ya bongo akiuziwa mtu, utajua kuna kiasi gani hapo? Ukipata 3% utaridhika eeh?
Ninachosema, Maryam anaongea tu, ila hajatoa figures zozote za resources na costs zake, na jinsi gani Tanzania itapata hizo pesa. Nakupa mfano. Hela iliyopotea BOT plus majengo ya Twin Towers estimate, unajenga kinu kizuri kabisa cha Nuclear. Thats approx $3.0 Billion. JE PRIORITIES ZIKO WAPI MTU AFIKIRIE KITU KAMA HICHO?
Ndugu yangu, kuhusu wind energy, yes ni eneo, lakini efficiency ya blades design na angle zinaleta tofauti i.e aerodynamics za blades (that is efficiency). Mfano, gari mbili za Ferrari zaweza kuwa na ingine sawa, na kila kitu, ila kwa mfano lile dude la mbele liwe-fofauti, yaani angle ya bumper lile la mbele......the smallest degree change, makes a great difference in speed. Hiyo ni efficiency ya aerodynamics. Je Tanzania kuna wind-tunnels ya kupima vitu kama hivi? Kuna softwares za kupima vitu kama hivi?
At no point nimeonyesha kuwa na ujinga wa ku-disturb eco-system ya Serengeti, so sijui wazo la hoteli umetoa wapi. Kama unaweza kuona kuna tatizo kuweka kiwanda cha chumvi.....kwani uone kwamba mimi nafikiria wazo zuri kuweka hotel sehemu hiyo hiyo? Think man. Dont make an argument for the sake of arguing.
Yaani BMaryam ameingiwa na sera za JKN kwa sana, anaweza kuongea na propaganda, kama sifa za waTanzania. Ila when it comes to doing, ndio mambo ya kuchemsha. Tufanye mambo simple, ndo tufikirie makubwa.
As for Nyumbu, sina cha kusifia (yes, nimeongelea Engineering za kuiba, ndizo wamefanya Wachina/Wahindi, sasa sisi tumefanya nini na Nyumbu??). Tunakufa na mbu kila siku, je lab zetu zinafanya nini? We unafikiri wazungu wangekuwa hawajapata solution? Tena ukute solution wanayo, ila sisi tunakufa ovyo miaka nenda rudi....unashindwa kuua mbu unataka Nuclear? Uzalendo naojisifia ni kwamba, Tanzania is a peacefull country, beautiful, we talk a lot with little substance and big smile. I am partially proud of that and embarrased at times
Kwanza, kutesti zali in reference to Richmon...is a joke!! Lakini propaganda huwa zinaanza hivi.
Kuhusu figures, nimeomba za potential oil/gas/coal fields Tanzania. Mtu hata hujui nchi yako ina utajiri kiasi gani, umeshaanza kuwaza unataka kwenda teknolojia nyingine. Ndio haya haya, madini yanachimbwa na ndege kuondoka moja kwa moja kutoka machimboni, and you cant account for.
Hiyo Uranium ya bongo akiuziwa mtu, utajua kuna kiasi gani hapo? Ukipata 3% utaridhika eeh?
Ninachosema, Maryam anaongea tu, ila hajatoa figures zozote za resources na costs zake, na jinsi gani Tanzania itapata hizo pesa. Nakupa mfano. Hela iliyopotea BOT plus majengo ya Twin Towers estimate, unajenga kinu kizuri kabisa cha Nuclear. Thats approx $3.0 Billion. JE PRIORITIES ZIKO WAPI MTU AFIKIRIE KITU KAMA HICHO?
Ndugu yangu, kuhusu wind energy, yes ni eneo, lakini efficiency ya blades design na angle zinaleta tofauti i.e aerodynamics za blades (that is efficiency). Mfano, gari mbili za Ferrari zaweza kuwa na ingine sawa, na kila kitu, ila kwa mfano lile dude la mbele liwe-fofauti, yaani angle ya bumper lile la mbele......the smallest degree change, makes a great difference in speed. Hiyo ni efficiency ya aerodynamics. Je Tanzania kuna wind-tunnels ya kupima vitu kama hivi? Kuna softwares za kupima vitu kama hivi?
At no point nimeonyesha kuwa na ujinga wa ku-disturb eco-system ya Serengeti, so sijui wazo la hoteli umetoa wapi. Kama unaweza kuona kuna tatizo kuweka kiwanda cha chumvi.....kwani uone kwamba mimi nafikiria wazo zuri kuweka hotel sehemu hiyo hiyo? Think man. Dont make an argument for the sake of arguing.
Kuhusu energy, be it renewable or non-renewable, sina haja ya kufuata link hiyo. Najua nachoongelea. Hapa kila mwezi kuna lectures/presenations si chini ya 3 za energy proffessionals wana-discuss haya mambo. Not only nimepitia hii area, na nadeal nayo kila siku, ila pia nakutana na proffesionals ambao ni gurus katika area zao. Nina monthly subscription ya haya mambo, kinachonipita ni labda uvivu tu wa kusoma. Na nitatafuta article moja kuna kijana alikuja bongo kufanya thesis or something, na jinsi alivyo-conclude kwenye nchi kama Tanzania. Unajua, sometimes, tusiongee kama tunajua nchi yetu kuliko wengine. Kuna wazungu wanaijua nchi yako kuliko wewe na utajiri wake. Na hizo ndoto za Nuclear ndio kujichora.
Yaani BMaryam ameingiwa na sera za JKN kwa sana, anaweza kuongea na propaganda, kama sifa za waTanzania. Ila when it comes to doing, ndio mambo ya kuchemsha. Tufanye mambo simple, ndo tufikirie makubwa.
As for Nyumbu, sina cha kusifia (yes, nimeongelea Engineering za kuiba, ndizo wamefanya Wachina/Wahindi, sasa sisi tumefanya nini na Nyumbu??). Tunakufa na mbu kila siku, je lab zetu zinafanya nini? We unafikiri wazungu wangekuwa hawajapata solution? Tena ukute solution wanayo, ila sisi tunakufa ovyo miaka nenda rudi....unashindwa kuua mbu unataka Nuclear? Uzalendo naojisifia ni kwamba, Tanzania is a peacefull country, beautiful, we talk a lot with little substance and big smile. I am partially proud of that and embarrased at times!!
Bila kuondoa taadhima, Nzokanhyilu
Kwa wanaongangania na wasiongaangania is just a matter of Intellectual faculties. Kutesti zali ndio haswa ilikuwa ni azimio langu.
Hii ni moja ya hizo faculty zako ambazo ni kutoa mzozo(kutofautiana mawazo ya bin marya na wangaanganiaji) maoni, hukumu, na kupimana-pimana. Hakuna mabaya na haya lakini hakuna haja ya ku-politicize.
Kuhusu maryam kupiga makelele ndio faculty yake kwenye huu mdahalo sijui huko kwingine lakini hapa ameweza kuonyesha mantiki- amechangia, ameonyesha mapungufu pamoja na mlolongo wa mawazo, uchanganuo na hoja.
Unawezekana una undai na haya lakini ukumbuke kutesti zali sio kufanya zali.
Nafikiri ukiangalia hapo juu utaona umeweka data na huko nyuma huyu maryam ameweka vidata au vi link sasa hayo mahesabu umsaidie. Utusaidie na sisi wanganganiaji. Tunaodai uwezekano upo-na kuafiki kwa upeo.
Vilevile naona bado tu umengaangania nakueleza visivyo. Una maaana serengeti ni sehemu ya attraction peke yake? Nafikiri wewe huyo huyo unataka ujenge hoteli kubwa tuu katikati ya serengeti. Eti watu waje kuona wanyama, basi vinyesi vyote vya kuendesha hoteli vitaishia kwa wanyama.
Kuenda kuvuna chumvi hakuhitaji magari moshi wala nini, au?
Uholanzi iko kwenye tambarare yenye upepo, Iko chini ya bahari. Upepo wa kutoka kaskazini magharibi ni mfano mzuri-hii inamaana wana chanzo kikuu cha kuwezekana kwa hii Wind-energy siyo technology au efficiency ambayo inafanya wind energy ni eneo mbadala.
In Tanzania 'a plateau makes up the greater part of the country'. Hiyo Wind-energy itakuwaje basi?
Kwenye 'Nyuki'Tanzania napo tuna chanzo Uranium, and what not why not think nuclear power?
Yakuendesha magari na nini nafikiri upo uwezekano wa kujadili, upo. Tujadili hili, tulifikirie hili, nalo ni NYUKI (Asante bin maryam)
Fuata linki hizo ufungue upeo (visonary glands) jaribu hapa kwanza www.howstuffworks.com/nuclear-power.htm
Hii ndio mindset inatakikana kubadilika haswa ikija kwenye mijadala ya namna hii. Sasa hao wazungu/wadosi ni wa wapi? Kwani, ni nani hajafanya hivyo?(kupelekewa injini na kushindwa kutengeneza gari) sio ndio nyumbu hizo sasa iwe vipi? Technology advance zimetokana na mengi tu haswa baada ya vita kuu ya pili. Wizi huo (reverse technology) uliwaendeleza nchi nyingi. Nimesema wizi huo na mrejeo wa hao Wazungu/Wadosi. Kwa sisi kuletewa ni vizuri tatizo tumetumia vipi hii advantage kuendeleza (reverse technology) injini hizo?
Next time waambie tuliletewa injini na tumetengeneza nyumbu ki-utani. Ungeonyesha uzalendo kidogo.
Cha muhimu katika mjadala huu ni Think nuclear power NYUKI tu.
Mchango wako una umuhimu, mahususi. asante. Tuendelee
Source zingine:Answers.com
Nzokanhyilu:
Naomba nikusahihishe kwanza handler ninayotumia hapa ni BIN MARYAM (SON OF MARY(AM)).
Pamoja na kutumia handler yangu vibaya nitajaribu kujibu kwa kuuliza swali mafupi tu.
1./ Hivi wanaotupa misaada ya 40% wangesema nini kama pesa tulizotumia kujenga BOT twin towers tungetumia katika kununua KINU cha nyuki?
2./ Nchi zinazotoa misaada kwa Tanzania kama Denmark na Holland ni wazuri sana kwa katika mambo ya Wind-Mills kwanini wasiamue kutoa misaada ya technologia ya enegy ambayo ingesaidia sana maendeleo yetu?
3./ Wewe ni mtaalamu wa haya mambo kama unavyodai (I give you the benefit of the doubt). Kama Tanzania ingeacha na matumizi yasio na priority, je ungeshindwa kuwa baba wa nuclear age Tanzania?
Mkuu Atanaye,
Kwanza hii thread imewekwa kwenye Siasa....na huwezi kuongelea maendeleo bila politics, we vipi? Wewe unataka uongelee umeme (power) lakini hutaki kutaja Richmond? We vipi?
I remain unassuming. Kwa kweli sikutaka tuhangaishane kwa data kwa sababu tu nilivyoona toka huko juu, Unazo. TumegeeI am a member of the Institute of Energy;
Institute of Energy
Sasa, sihitaji kubishana na kuhangaika na data hapa, if you can not answer the simplest of my questions........na soma unahitaji ufanye nini ili uwe member.
Nijibu, kwa njia yoyote ile unavyoweza;
a) Tanzania kuna kiasi gani cha coal/oil/gas? (kumbuka makampuni hayaji Tanzania kubahatisha, wanajua wamefuata nini).
b) Kwanini tunashindwa kutibu malaria, ambayo inaua zaidi ya ukimwi (lakini tunataka Nuclear)? Investment yake itakuwa cheap sana in comparison to Nuclear. A healthier nation is a smarter nation.
c) kwanini Tanzania hatuwezi kutumia maji yamezunguka nchi nzima (tumwagilie kama wa-Israel wenye man-made lakes), lakini tunakimbilia Nuclear?
d)kwanini Mombasa port more efficient than dar?
e)kwanini wasomi wetu wa Ukraine tunawanyanyasa na visa?
Ukiweza kunijibu haya maswali convincingly(sana sana la 'a'), I will spend as long as it takes to prove to you that Nuclear is not yet the way forward. I will even go further, nitakuomba data fulani kuhusu ardhi ya Tanzania (sehemu unayotaka kiwanda/and deposit ya waste ikae), nitaichukua kama personal project, whether it takes 3 months or 6, nitatumia muda wangu wa free nikuandikie report nikitumia technology ya kisasa......hiyo report nitafanya bure (so long you supply the info i need).
Until then, sina muda wa kubishana na watu wanaongea politically (lead by the heart) and not scientifically (lead by the brain) on this issue. Mambo ya kuwa na vision sijui nini......YES, wote tuna ndoto......tatizo ni kuzifikia bila misingi.
Kama unajua kuhusu Uholanzi kuwa ukanda wa upepo, kwanini hujui 'wind-tunnel' ni nini? google basi....labda nimetoa kwenye vi-link.
Hapo juu hujasema chochote
Atanaye:
Fundi Mchundo anasema Tanzania ina watu wazuri tu waliosoma hayo na mambo na Nzokanhyilu anaseme anayafanya kazi katika mambo hayo. Hivyo suala la kumpata mtanzania mwenye technical know-how halipo (BABA WA NYUKI TANZANIA).
Suala linalosumbua ni la budget. Na hili litatuliwa kwa kupanga priorities zetu vizuri. Mtaalamu Nzokanhyilu anaonyesha kuwa ujenzi wa BOT ungetosha KINU KIMOJA.
Hivyo tatizo kubwa hapa sio pesa au wataalamu bali wala-nchi.
hivi vyote haviwezi kutegemea solar wala ethanol. uranium iko tele tu dodoma wala hatu-import kunaubaya gani tukiikodolea macho!
Anayeuliza mtaji uko wapi! ulipatikana jumatatu Australia Stock Exchange.
Mining explorer Mantra Resources Ltd with principal operations in Dodoma, on Monday demonstrated a continuing interest in uranium stocks on the Australian Stock Exchange, making its market debut at a 27.5 per cent premium to its offer price of 20 cents.
But after listing at 25.5 cents a share, the stock continued to rise and after several hours it was trading 12 cents or 60 per cent higher at 32 cents.
Capital thus raised would consolidate its operations in Tanzania where its principal operations are based, with direct and joint venture operations in a portfolio of uranium exploration tenements.
Its Mkuju River Project is in southern Tanzania, 470km southwest of Dar es Salaam, covering 3350 sq km prospective of uranium.
Nchi zinazotoa misaada kwa Tanzania kama Denmark na Holland ni wazuri sana kwa katika mambo ya Wind-Mills kwanini wasiamue kutoa misaada ya technologia ya enegy ambayo ingesaidia sana maendeleo yetu?
'Nuclear power' ni ghali kuanzisha lakini matumizi yake kwa muda mrefu ni nafuu na haiathiri mazingira (clean).
Bado kuna tatizo la kuhifadhi 'nuclear waste' inayotokana na kuzalisha nishati. Lakini kwa ujumla, ukipima faida na hasara za nishati ya 'nuclear' naamini faida ni kubwa zaidi.
Unafuu wa gharama ya nishati unaipa nchi 'competitive edge' inapokuwa kwenye ushindani wa kiuchumi wa utandawazi. Tuking'ang'ania vya zamani, ambavyo havina uhakika wowote, tutabaki wafanyakazi wa mataifa mengine.