Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Na MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Kuna watu wazima na akili zao na jamii inawaheshimu eti wanalalamika mbona Lowassa hakuongea sana, mmeambiwa Lowassa anagombea nafasi ya u-MC wa harusi?
Eti afya yake inatia shaka, angekuwa anataka kuwa security wa night club ni sawa lakini kwa nafasi ya uraisi Lowassa anatosha sana.
Nchi yetu imefika hapa kwasababu ya hao watu wanaoongea sana.
Raisi ni mtu ambaye anatakiwa kuwa na uwezo mzuri wa kufikiri, mtu mwenye vision, mtu wa kupanga timu nzuri na aweze kuisimamia, mtu mwenye kuweza kufanya maamuzi. Hivyo vigezo kwamba raisi awe muongeaji labda raisi wa CCM.
Kwa nchi yetu hapa ilipofika inahitaji mtendaji na sio muongeaji. Mtu muongeaji wa nini.? kwani Ikulu anaenda kupiga story? Kama kuongea ni sifa ya uraisi basi hata Mpoki angekuwa raisi
Kuna watu wazima na akili zao na jamii inawaheshimu eti wanalalamika mbona Lowassa hakuongea sana, mmeambiwa Lowassa anagombea nafasi ya u-MC wa harusi?
Eti afya yake inatia shaka, angekuwa anataka kuwa security wa night club ni sawa lakini kwa nafasi ya uraisi Lowassa anatosha sana.
Nchi yetu imefika hapa kwasababu ya hao watu wanaoongea sana.
Raisi ni mtu ambaye anatakiwa kuwa na uwezo mzuri wa kufikiri, mtu mwenye vision, mtu wa kupanga timu nzuri na aweze kuisimamia, mtu mwenye kuweza kufanya maamuzi. Hivyo vigezo kwamba raisi awe muongeaji labda raisi wa CCM.
Kwa nchi yetu hapa ilipofika inahitaji mtendaji na sio muongeaji. Mtu muongeaji wa nini.? kwani Ikulu anaenda kupiga story? Kama kuongea ni sifa ya uraisi basi hata Mpoki angekuwa raisi
Last edited by a moderator: