Urais wa Samia; Tumkunje angali mbichi

Urais wa Samia; Tumkunje angali mbichi

Yaani nakomenti kidogo as...
Mada za wale "tuliumizwa sana kwa miaka mitano iliyopita" naona zimeanza kubadilika now zinaelekea kuwa za ukombozi mpya.

Haya mambo huwa hayataki haraka na pupa, bado nawazoom na tutafika.
 
Sasa unataka tunwage damu?
Sisi siyo Interahamwe ati!
Zanzibar walipataje katiba mpya?

Kenya walipataje katiba mpya.

Sisi tuna damu ya kikongo na kila mtu mwinyi.

Tunatamani vitu vizuri vije tukiwa tumekaa tunakunywa WINE.

Sisi ndio sisi.
 
Zanzibar walipataje katiba mpya?

Kenya walipataje katiba mpya.

Sisi tuna damu ya kikongo na kila mtu mwinyi.

Tunatamani vitu vizuri vije tukiwa tumekaa tunakunywa WINE.

Sisi ndio sisi.
Hatukumwaga damu kwenye Kudai uhuru, hatuhitaji kumwaga damu kwenye katiba mpya.

Nchi zote ulizozitaja zina historia ya damu damu tangu enzi za kudai uhuru.

Zipo njia painful zaidi za kuwalazimisha watawala watupe haki zetu, ikibidi zitatumika hizo
 
Hatukumwaga damu kwenye Kudai uhuru, hatuhitaji kumwaga damu kwenye katiba mpya.

Nchi zote ulizozitaja zina historia ya damu damu tangu enzi za kudai uhuru.

Zipo njia painful zaidi za kuwalazimisha watawala watupe haki zetu, ikibidi zitatumika hizo
Mbinu zikizotumika wakati wa kudai uhuru unaona ndio zinazotumika kwasasa ?
 
Sawa lete ushauri.
Tumwage damu ya nani kwanza ili tupate katiba mpya?
Mimi sijasema damu inatakiwa kumwagika. Ingawa katiba nyingi nzuri hutungwa kwa shinikizo la wananchi wenyewe hasa baada ya machafuko.

Katiba nzuri ya wananchi haiwezi kutungwa na mwanasiasa.

Wakati tunapigania uhuru makundi yote ya kijamii yaliungana na wapigania uhuru.

Haya, nambie leo walioko mbele kudai katiba mpya wanaungwa mkono na kundi gani la kijamii ???
 
Mimi sijasema damu inatakiwa kumwagika. Ingawa katiba nyingi nzuri hutungwa kwa shinikizo la wananchi wenyewe hasa baada ya machafuko.

Katiba nzuri ya wananchi haiwezi kutungwa na mwanasiasa.

Wakati tunapigania uhuru makundi yote ya kijamii yaliungana na wapigania uhuru.

Haya, nambie leo walioko mbele kudai katiba mpya wanaungwa mkono na kundi gani la kijamii ???
Ndiyo maana katiba inadaiwa na wananchi wote na si vyama vya siasa pekee. Vyama vya siasa ni platform tu
 
Anataka kuwaingiza Watanzania kwenye tundu la simba aitwaye chanjo ya corona lakini kama vile Mungu wa Mbinguni aishivyo huyu simba aitwaye chanjo ya corona atawatafuna wao wenyewe. Kama ilivyo kuwa kwa Daniel Mtumishi mwaminifu wa Mungu wa Mbinguni ndivyo ambavyo Watanzania wataepushwa na huu uharibifu unao wanyemelea. Waliutangazia Ulimwengu mzima wao wameamua kumtegemea Mungu wa Mbinguni na tulieleweka hivyo dunia mzima. Sasa mawakala wa shetani wameamua kumbeep Mungu na hakika atawajibu kwa majira yake.
 
Ndiyo maana katiba inadaiwa na wananchi wote na si vyama vya siasa pejee. Vyama vya siasa ni platform tu
Wananchi wote wako wapi wanaodai katiba mpya. Ingekuwa hivyo tayari katiba ingekuwa imeshapatikana.

Nchi hii ina watu karibu milioni 60.

Vyama vya siasa vina wanachama wangapi ?

Siyo kila mtanzania ni mwanachama wa chama cha siasa.

Leo wewe nenda kaongea na machinga, vijana wasio na ajira, wakulima halafu usikie kama watakwambia matatizo yao ni Tume hurubya uchaguzi na katiba mpya.

Samia ameshakutana na wazee, wanawake, wahariri umesikia matatizo yao ni tume huru na katiba mpya ???

Kila kundi lina matatizo yao tofauti kabisa.
 
Vipo viashiria kwa mbali vinaonyesha kuwa rais Samia ameanza kukizoea kiti (Hili ni jambo zuri), na pia ameanza kukipenda kiti (hili siyo jambo baya) ila ameanza kutamani kukilinda kiti kwa gharama yoyote (hili ni tatizo)

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Vipo viashiria kwa mbali vinaonyesha kuwa rais Samia ameanza kukizoea kiti (Hili ni jambo zuri), na pia ameanza kukipenda kiti (hili siyo jambo baya) ila ameanza kutamani kukilinda kiti kwa gharama yoyote (hili ni tatizo)

Tatizo ninaloliona ni kuwa hii dhana ya ya tatu ya kutamani kukilinda kiti kwa gharama yoyote ndiyo mwanzo wa yeye kuanza
Mada zenu zinachosha sasa
 
Sijawahi muamini Huyo mama

Just matter of time tu mtamwelewa kusudio lake .

Yaani huwa sielewi watawala wa afrika wakishakalia kiti Cha uongozi yaani hutanua mabegi na kujiona wao ndio wao sielewi tatizo Ni Nini ?

Tunarudi kule kule kwenye kujenga watu imara Ila sio taasisi imara .

Nashangaa Sana wanavyomsifia na kumpamba

Mtazidi kumchukia soon .

Siombei afike huko Ila Ni lazima ajifunge speed monitor yeye mwenyewe .

Ajitofautishe na wengine.

Aelewe uongozi wake utaleta impact wa watu wa jinsia yake ,na ule upande anakotoka siku za usoni .

Kwa umri alio nao sidhani Kama ana chakupoteza na ngazi aliyofikia Hana cha kupoteza hata Kama kesho akiwekwa benchi .

She Wii live a very peaceful life .

Why aanza kuwakera watu kuwarudisha misri atafaidika na Nini ?

Tunampenda Ila mwendeno wake unaanza kututia shaka .

Matamanio yangu aje kuwa rais Bora wa wakati wote wa Tanzania .Yes inawezekana

Afenye matakwa ya wananchi yenye mashiko (hapo yasio na mashiko)

Jina lake litaishi milele .atimbwa vizazi na vizazi


Tumuombee yaliyo mema .

Otherwise atajilaumu mwenyewe hatutaki kuja kusoma vitabu vya watu wanaotubu dhambi zao baadae eti wanajutia,why utujutie unayo nafasi ya kubadilisha Mambo kwanini usifanye .

Wakati Ni ukuta
 
Vipo viashiria kwa mbali vinaonyesha kuwa rais Samia ameanza kukizoea kiti (Hili ni jambo zuri), na pia ameanza kukipenda kiti (hili siyo jambo baya) ila ameanza kutamani kukilinda kiti kwa gharama yoyote (hili ni tatizo)
Lakini kwa Magufuli mbona ulikuwa kimya sana,na hukuweza mkukunja mapema?
 
Kama unadhani ni rahisi kuleta katiba mpya hebu waambie CHADEMA warudishe kipengele cha ukomo wa madaraka na kile cha kumwajibisha mwenyekiti.

Na kama unadhani ni rahisi kuvumilia ukosoaji, mkosoe Mbowe.

Mwanasiasa anayependa kukosolewa nchi hii ni wachache sana, kina JK huko upinzani afadhali Zitto.

Usisingizie wananchi ndio wanahitaji sana katiba mpya wakati agenda zingine mnazotaka kuziweka ni za maslahi ya kisiasa.

Mwishowe, kama mnahitaji mafanikio shirikisheni watu.

Tatizo ninaloliona, kuna watu ambao ni kama wamepoteza mwelekeo ndio wanajifanya wanaharakati. Ndio maana agenda zao kila siku zinabadilika.

Wakati kina Nyerere wanapambania uhuru walihakikisha makundi yote yanawaunga mkono
  • Wasanii
  • Wanaharakati
  • Jumuiya za kimataifa
  • Wasomi
  • Viongozi wa dini
  • Watawala wa kimila
  • Vyama vya wafanyakazi

Na haya makundi mpaka leo, CCM bado imeyakumbatia.

Kwa upande wa pili, leo wanaojifanya ni wapinzani na wanaharakati wamekuwa wabinafsi kupindukia, kazi yao imekuwa ni kutukana huyu msaliti, yule msaliti. Wao ndio wanajiona wema sana na watakatifu sana.

Na kwamba wao ndio mabingwa wa kupigania haki, wengine wote hawafai🤣

Anyway, sisi wengine yetu macho. Maana hakuna mwanasiasa masikini.

Wengi ni matajiri na wamechuma utajiri wao chini ya utawala huu huu mbovu wa CCM. Sasa hivi wanafurahia maisha huku wakitudanganya sisi ili maisha yetu yawe mazuri tunahitaji katiba mpya au kuwapa wao madaraka.

Akili kichwani.
Jamaa watakwambia chadema haihusiki, ni agenda ya wananchi. Halafu mifano ya wanaotaka katiba mpya ni wale wote ambao wameshafaidika na katiba hiihii mbovu.
Yaani Chadema ndo wameanzisha halafu wanasema wananchi. Wao wapambane na hali zao bhana.
 
Ccm wakisikia katiba mpya wanadhani mwisho wa dunia umekaribia.Mama naye anajiweka kwenye kundi la shetani jiwe kwa kasi
 
Back
Top Bottom