Urais CHADEMA it's like a death sentence!

Urais CHADEMA it's like a death sentence!

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
5,139
Reaction score
1,149
Chadema-chama kinachojitambulisha kama ni cha kidemokrasia kwa mara nyingine tena kinaoneka kufeli mtihani mwepesi sana wa kuonyesha ukomavu wa demokrasia kwa vitendo hapana maneno.Safari hii chadema kimekua tested na kada wake mashuhuri JOHN MAGALE SHIBUDA ambae ni mbunge wa chama iko akiwakilisha wananchi wa moja kati ya majimbo yanyopatikana katika mkoa wa shinyanga.Shibuda ambae alihamia chama iko akitokea ccm baada ya kudai kufanyiwa mizengwe baada ya kura zake kutotosha kwenye kinyang'anyiro cha ubunge ndani ya ccm hivi majuzi alijaribu kukipima chama chake kuona kama kweli kimekomaa kidemokrasia ama la kwa kutangaza nia tu ya kwamba atagombea urais kupitia chama chake kwenye uchaguzi mkuu ujao.Baada ya kutangaza nia yake hiyo shibuda amekua akishambuliwa na wana chadema toka kila kona ya nchi hii akiwemo mwenyekiti wa umoja wa vijana wa cdm huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kupaza sauti kwamba shibuda afukuzwe,kisa nini?kwanini katangaza kugombea urais!!!!!!!!!!!! hilo tu basi hawana lingine.Itakumbukwa pia hali inayomkumba shibuda iliwahi kumpata pia marehemu CHACHA WANGWE alipotangaza nia ya kugombea umakamu mwenyekiti wa cdm na baadae uenyekiti ambao hata hivyo hakugombea tena,alifariki kwa ajali ya gari kabla ya kutimiza nia yake hiyo.Baadae hali hiyo akaja kukumbana nayo zitto kabwe nae alipotangaza nia ya kugombea uenyekiti ba hivi majuzi tena alipotangza nia ya kugombea urais kwa tikiti ya chadema.Yaliyowapata wanasiasa hao yanaacha maswali mengi juu ya hali ya demokrasia ndani ya chadema kiasi kwamba inatishia watu wengine wenye sifa za kugombea uongozi ndani ya chadema kujiuliza mara mbili mbili.
 
Chadema-chama kinachojitambulisha kama ni cha kidemokrasia kwa mara nyingine tena kinaoneka kufeli mtihani mwepesi sana wa kuonyesha ukomavu wa demokrasia kwa vitendo hapana maneno.Safari hii chadema kimekua tested na kada wake mashuhuri JOHN MAGALE SHIBUDA ambae ni mbunge wa chama iko akiwakilisha wananchi wa moja kati ya majimbo yanyopatikana katika mkoa wa shinyanga.Shibuda ambae alihamia chama iko akitokea ccm baada ya kudai kufanyiwa mizengwe baada ya kura zake kutotosha kwenye kinyang'anyiro cha ubunge ndani ya ccm hivi majuzi alijaribu kukipima chama chake kuona kama kweli kimekomaa kidemokrasia ama la kwa kutangaza nia tu ya kwamba atagombea urais kupitia chama chake kwenye uchaguzi mkuu ujao.Baada ya kutangaza nia yake hiyo shibuda amekua akishambuliwa na wana chadema toka kila kona ya nchi hii akiwemo mwenyekiti wa umoja wa vijana wa cdm huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kupaza sauti kwamba shibuda afukuzwe,kisa nini?kwanini katangaza kugombea urais!!!!!!!!!!!! hilo tu basi hawana lingine.Itakumbukwa pia hali inayomkumba shibuda iliwahi kumpata pia marehemu CHACHA WANGWE alipotangaza nia ya kugombea umakamu mwenyekiti wa cdm na baadae uenyekiti ambao hata hivyo hakugombea tena,alifariki kwa ajali ya gari kabla ya kutimiza nia yake hiyo.Baadae hali hiyo akaja kukumbana nayo zitto kabwe nae alipotangaza nia ya kugombea uenyekiti ba hivi majuzi tena alipotangza nia ya kugombea urais kwa tikiti ya chadema.Yaliyowapata wanasiasa hao yanaacha maswali mengi juu ya hali ya demokrasia ndani ya chadema kiasi kwamba inatishia watu wengine wenye sifa za kugombea uongozi ndani ya chadema kujiuliza mara mbili mbili.

Mgamba maarufu. kaa kimya
 
naomba nikuulize hata mtu maarufu kama john magufuli akiingia kwenye mkutano wa chadema na kutangaza nia ya kugombea kupitia ccm na kumwomba mbowe awe meneja kampeni naomba utabiri kitakachotokea.
 
Death Sentence iko wapi kwenye Urais wa CHADEMA? Kwa Shibunda ni Jinsi alivyotangaza na hata CCM wamemkana

Ingekuwa bora Ubadilishe hicho kichwa cha habari; Sababu hakihusikani na story unayotoa

* Kama unakumbuka Shibunda alitangaza kugombea Urais akiwa CCM; unakumbuka yaliyompata? Jina lake likakatwa kugombea Ubunge

Ndio Maana akaamua kusimama kama Chadema - haukumbuki hayo? sasa hapo wapi ni death sentence?


** Ndio Maana nasema change your tittle haihusiani na death sentence at all
 
Shibuda awe Rais? Wa Tanzania? Duh! Mimi ni home Boy wangu but kwa title ya Urais hata msifanye nayo matani. Mnaona yanayotokea sasa na yote hayo ni mzaha wenu huu huu. ZK namfagilia kwa uwezo wake wa kujenga hoja na kufumua uozo but pia kwa title hiyo bado hafai. Inataka Wisdom ya hali ya juu sana. Kwangu mimi nawaomba wampe nafasi WS kama atakubali kugombea tena.
 
naomba nikuulize hata mtu maarufu kama john magufuli akiingia kwenye mkutano wa chadema na kutangaza nia ya kugombea kupitia ccm na kumwomba mbowe awe meneja kampeni naomba utabiri kitakachotokea.
Lkini shibuda kasema atamuomba slaa awe meneja wake wa kampeni za urais,kuna dhambi gani?kwanini msimuache atumie haki yake then mkutane nae kwenye vikao vya kuchuja wagombea?Heche na genge lake walikua na haraka gani nae kama sio uoga tu?
 
Death Sentence iko wapi kwenye Urais wa CHADEMA? Kwa Shibunda ni Jinsi alivyotangaza na hata CCM wamemkana

Ingekuwa bora Ubadilishe hicho kichwa cha habari; Sababu hakihusikani na story unayotoa

* Kama unakumbuka Shibunda alitangaza kugombea Urais akiwa CCM; unakumbuka yaliyompata? Jina lake likakatwa kugombea Ubunge

Ndio Maana akaamua kusimama kama Chadema - haukumbuki hayo? sasa hapo wapi ni death sentence?


** Ndio Maana nasema change your tittle haihusiani na death sentence at all

Na ile ya chacha wangwe na zitto kabwe je?
 
Nimefurahi watu walivyokupuuza tangu asubuhi ni watu 10 tu wamechangia huu uchafu wako na wote wamekupinga.
 
Nimefurahi watu walivyokupuuza tangu asubuhi ni watu 10 tu wamechangia huu uchafu wako na wote wamekupinga.

Bahati mbaya sana niko tofauti na wengi,sipo hapa ku win applouse but to speak the truth na yale ambayo watu hawapendi kusikia,that's my principle since day one najiunga jf
 
Chadema-chama kinachojitambulisha kama ni cha kidemokrasia kwa mara nyingine tena kinaoneka kufeli mtihani mwepesi sana wa kuonyesha ukomavu wa demokrasia kwa vitendo hapana maneno.Safari hii chadema kimekua tested na kada wake mashuhuri JOHN MAGALE SHIBUDA ambae ni mbunge wa chama iko akiwakilisha wananchi wa moja kati ya majimbo yanyopatikana katika mkoa wa shinyanga.Shibuda ambae alihamia chama iko akitokea ccm baada ya kudai kufanyiwa mizengwe baada ya kura zake kutotosha kwenye kinyang'anyiro cha ubunge ndani ya ccm hivi majuzi alijaribu kukipima chama chake kuona kama kweli kimekomaa kidemokrasia ama la kwa kutangaza nia tu ya kwamba atagombea urais kupitia chama chake kwenye uchaguzi mkuu ujao.Baada ya kutangaza nia yake hiyo shibuda amekua akishambuliwa na wana chadema toka kila kona ya nchi hii akiwemo mwenyekiti wa umoja wa vijana wa cdm huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kupaza sauti kwamba shibuda afukuzwe,kisa nini?kwanini katangaza kugombea urais!!!!!!!!!!!! hilo tu basi hawana lingine.Itakumbukwa pia hali inayomkumba shibuda iliwahi kumpata pia marehemu CHACHA WANGWE alipotangaza nia ya kugombea umakamu mwenyekiti wa cdm na baadae uenyekiti ambao hata hivyo hakugombea tena,alifariki kwa ajali ya gari kabla ya kutimiza nia yake hiyo.Baadae hali hiyo akaja kukumbana nayo zitto kabwe nae alipotangaza nia ya kugombea uenyekiti ba hivi majuzi tena alipotangza nia ya kugombea urais kwa tikiti ya chadema.Yaliyowapata wanasiasa hao yanaacha maswali mengi juu ya hali ya demokrasia ndani ya chadema kiasi kwamba inatishia watu wengine wenye sifa za kugombea uongozi ndani ya chadema kujiuliza mara mbili mbili.


umesema sawa kabisa
 
Chadema-chama
kinachojitambulisha kama ni cha kidemokrasia kwa mara nyingine tena
kinaoneka kufeli mtihani mwepesi sana wa kuonyesha ukomavu wa demokrasia
kwa vitendo hapana maneno.Safari hii chadema kimekua tested na kada
wake mashuhuri JOHN MAGALE SHIBUDA ambae ni mbunge wa chama iko
akiwakilisha wananchi wa moja kati ya majimbo yanyopatikana katika mkoa
wa shinyanga.Shibuda ambae alihamia chama iko akitokea ccm baada ya
kudai kufanyiwa mizengwe baada ya kura zake kutotosha kwenye
kinyang'anyiro cha ubunge ndani ya ccm hivi majuzi alijaribu kukipima
chama chake kuona kama kweli kimekomaa kidemokrasia ama la kwa kutangaza
nia tu ya kwamba atagombea urais kupitia chama chake kwenye uchaguzi
mkuu ujao.Baada ya kutangaza nia yake hiyo shibuda amekua akishambuliwa
na wana chadema toka kila kona ya nchi hii akiwemo mwenyekiti wa umoja
wa vijana wa cdm huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kupaza sauti
kwamba shibuda afukuzwe,kisa nini?kwanini katangaza kugombea
urais!!!!!!!!!!!! hilo tu basi hawana lingine.Itakumbukwa pia hali
inayomkumba shibuda iliwahi kumpata pia marehemu CHACHA WANGWE
alipotangaza nia ya kugombea umakamu mwenyekiti wa cdm na baadae
uenyekiti ambao hata hivyo hakugombea tena,alifariki kwa ajali ya gari
kabla ya kutimiza nia yake hiyo.Baadae hali hiyo akaja kukumbana nayo
zitto kabwe nae alipotangaza nia ya kugombea uenyekiti ba hivi majuzi
tena alipotangza nia ya kugombea urais kwa tikiti ya
chadema.Yaliyowapata wanasiasa hao yanaacha maswali mengi juu ya hali
ya demokrasia ndani ya chadema kiasi kwamba inatishia watu wengine wenye
sifa za kugombea uongozi ndani ya chadema kujiuliza mara mbili
mbili.

kk humu wa2 washakunywa maji ya bendera ya chadema kwa hivyo hakuna baya la cdm
 
kk humu wa2 washakunywa maji ya bendera ya chadema kwa hivyo hakuna baya la cdm
Ndio tushirikiane kwa pamoja wapenda demokrasia wote kuwatibu hawa jamaa wanaumwa,lakini watpona tu,mimi nitawakazania mpaka waielewe demokrasia na misingi yake,hawawezi kujiita chama cha kidemokrasia halafu wakawa wanaibaka demokrasia then tunyamaze,hapana hapo tutakua hatuwasaidii.
 
wasaidizi wa ghadafi hata walipoona utawala unazama waliendelea kujitia moyo mpaka walipoanguka puuuu. si ccm endeleeni kujitia moyo.mimi ni msukuma nipo magu cdm ipo juuu sana wala hakun uchaga hapo
 
Chadema-chama kinachojitambulisha kama ni cha kidemokrasia kwa mara nyingine tena kinaoneka kufeli mtihani mwepesi sana wa kuonyesha ukomavu wa demokrasia kwa vitendo hapana maneno.Safari hii chadema kimekua tested na kada wake mashuhuri JOHN MAGALE SHIBUDA ambae ni mbunge wa chama iko akiwakilisha wananchi wa moja kati ya majimbo yanyopatikana katika mkoa wa shinyanga.Shibuda ambae alihamia chama iko akitokea ccm baada ya kudai kufanyiwa mizengwe baada ya kura zake kutotosha kwenye kinyang'anyiro cha ubunge ndani ya ccm hivi majuzi alijaribu kukipima chama chake kuona kama kweli kimekomaa kidemokrasia ama la kwa kutangaza nia tu ya kwamba atagombea urais kupitia chama chake kwenye uchaguzi mkuu ujao.Baada ya kutangaza nia yake hiyo shibuda amekua akishambuliwa na wana chadema toka kila kona ya nchi hii akiwemo mwenyekiti wa umoja wa vijana wa cdm huku wengine wakienda mbali zaidi kwa kupaza sauti kwamba shibuda afukuzwe,kisa nini?kwanini katangaza kugombea urais!!!!!!!!!!!! hilo tu basi hawana lingine.Itakumbukwa pia hali inayomkumba shibuda iliwahi kumpata pia marehemu CHACHA WANGWE alipotangaza nia ya kugombea umakamu mwenyekiti wa cdm na baadae uenyekiti ambao hata hivyo hakugombea tena,alifariki kwa ajali ya gari kabla ya kutimiza nia yake hiyo.Baadae hali hiyo akaja kukumbana nayo zitto kabwe nae alipotangaza nia ya kugombea uenyekiti ba hivi majuzi tena alipotangza nia ya kugombea urais kwa tikiti ya chadema.Yaliyowapata wanasiasa hao yanaacha maswali mengi juu ya hali ya demokrasia ndani ya chadema kiasi kwamba inatishia watu wengine wenye sifa za kugombea uongozi ndani ya chadema kujiuliza mara mbili mbili.

Kojoa ukalale w gamba la karne.
 
Back
Top Bottom