URAIS 2015: Pinda Vs Lowassa

Mtakoma wana ccmajambaz maana nyie mmetuchosha na uongozi wenu wa kukumbatiana kama kuku hamfai kabsa...UKAWA tunaunda jeshi imara la uongozi lenye nia ya Watanzania tuwe huru tumechoka na ukoloni mamboleo.....Ukawa tunawika na tunavuma kwa kishindo kila kona ya nchi Yetu
.....
 
lakini hatua tuliyofikia ninzuri katika ukawa.swali lamsingi nikwamba je tutaweza kukubaliana nani agombee nafasi yetu ya juu tukizingatia watu hawa;mbatia,lipumba,Dr slaa
 

wewe mtoa mada na hao uliowajadili ni majizi watupu. nimeisoma taarifa yako na kutafakari nkagundua kuwa wewe ni mwana ccm ambao ndo majizi . pia uko upande wa Lowasa, nahisi amekutuma au najipendekeza kwake. unawezaje kusema hakuhusika Richmond huyo? tumewachoka wote...Kuku ni kuku tu, jogoo jina
 
Mh.Edward Lowassa ni rais 2015 upende usipende,kama hutaki kakoroge juice ya sumu ya panya kanywe ili asikuongoze,watanzania tumechoka na umaskini na kuwafuga wez
 
HABARI ZENU WANAJAMVI:-
KWELI WANYONGE WALISEMA MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPATIENI. KWA SIFA HIZI, MH. KAYANZA MIZENGO PETER PINDA HANA MPINZANI KWA URAIS 2015.
ANAHITAJIWA NA WATANZANIA NA NI MTU MAKINI ANAYEJUA HOMA ZA WATANZANIA. 2015 ATAKAPOWEZESHWA KUINGIA IKULU KWA KUMPIGIA KURA ZETU ZA NDIYO NA KUSHINDA KWA 97% WATANZANIA TUTAONDOKANA NA UMASIKINI.

NANI KAMA PINDA MTOTO WA MKULIMA? HAKUNA

 
Haa haa yaani pinda awe rais? Kupitia chama gani? Kama ni ccm hakunaga kama lowasa. Hakuna wa kumng'oa lowasa ndani ya ccm kamwe.
 
okay wale wa team Pinda mnahitajiwa huku.
Team lowasa kaeni pembeni kwa sasa, Team Nchemba
msilete majungu, Team Muhongo muda wenu bado..
Team...........

CCM kuna mabaka si utani.
 
Haa haa yaani pinda awe rais? Kupitia chama gani? Kama ni ccm hakunaga kama lowasa. Hakuna wa kumng'oa lowasa ndani ya ccm kamwe.



Mmeisha waona watanzania wajinga kiasi hicho acha zenu hizo, Lazima tumpime yoyote anayataka urais amefanyia nini watanzania. Huyu jamaa hafai ni mpole kupindukia hasimamii chochote, mwoga na yupo mfumo mbovu wa ccm. hakuna kitu hapo jifurahisheni tu.
 
haa haa yaani pinda awe rais? Kupitia chama gani? Kama ni ccm hakunaga kama lowasa. Hakuna wa kumng'oa lowasa ndani ya ccm kamwe.

lowasa ni fisadi alaf makonda alishaga mchafu kwenye media .atatupa kazi kumnad ccm maana ile clip ipo hadi u tube wengine wameshatoa cd zake kibao bado kusambaza tu
 

unataka auwe watu kama idd amin dadaaa>
 
lowasa ni fisadi alaf makonda alishaga mchafu kwenye media .atatupa kazi kumnad ccm maana ile clip ipo hadi u tube wengine wameshatoa cd zake kibao bado kusambaza tu



Watanzania hatudanganyiki kwa sasa. Lowasa fisadi mkuu na yupo mfumo wa kifisadi. amekuwa serikalini miaka mingi kipi hasa kikubwa cha kiuchumi amekisimamia tunaweza kukiona . Hamna kitu ccm mwaka huu tunapiga chini wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…