singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,532
Naomba niongee ukweli. Sijawahi kuvutuwa na hoja za Kigwangala....
Eti anauliza why imemchukua miaka saba kujibu hoja? Mbona jibu rahisi sana... Kwamba yote yaliyosemwa jana na EL ni usanii tu... Ukweli ni ule wa miaka saba iliyopita... Labda tusema tu kuwa kuna baadhi ya wahusika hawakuwajibishwa kama ambavyo ktk escrow wameachwa.
Kama mimi nisivyovutia na lowasa kutokana na kushindwa kujenga hoja analeta bla bla bla tu