Uraibu wa kukumbatia mito

Uraibu wa kukumbatia mito

ز لىىى cd
Naandika mada hii nikiamini fika wahanga ni wengi kwenye hili

Ni asili yetu kupenda kukumbatiwa na kukumbatiana hasa nyakati za kulala. Lakini kwa bahati mbaya sana pamoja na uzuri wote wa kumbatio lakini halidumu zaidi ya dakika 30.. Kila mmoja hujikuta akigeukia upande wake na kutafuta usingizi kivyake.

Natambua kuna baadhi yetu wachache waliobahatika bila kukumbatiwa usingizi hauwezi kuja lakini kuna wale ambao upweke kwao ni kama chanda na pete. Hawa ndo wale wenye uraibu wa kukumbatia mito. Kitandani kwake hakosi mito mitatu

Mmoja katikati ya miguu mpaka mapajani
Mwingine kifuani ukiwa umekumbatiwa na mikono

Wa mwisho kichwani

Je, una goma jipya leo? Baada ya chausiku angalia mlalo wake.

Jr
Lrxxdnxr
ظىىىىى ىى

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naandika mada hii nikiamini fika wahanga ni wengi kwenye hili

Ni asili yetu kupenda kukumbatiwa na kukumbatiana hasa nyakati za kulala. Lakini kwa bahati mbaya sana pamoja na uzuri wote wa kumbatio lakini halidumu zaidi ya dakika 30.. Kila mmoja hujikuta akigeukia upande wake na kutafuta usingizi kivyake.

Natambua kuna baadhi yetu wachache waliobahatika bila kukumbatiwa usingizi hauwezi kuja lakini kuna wale ambao upweke kwao ni kama chanda na pete. Hawa ndo wale wenye uraibu wa kukumbatia mito. Kitandani kwake hakosi mito mitatu

Mmoja katikati ya miguu mpaka mapajani
Mwingine kifuani ukiwa umekumbatiwa na mikono

Wa mwisho kichwani

Je, una goma jipya leo? Baada ya chausiku angalia mlalo wake.

Jr
Tlu x

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
loner-r9m-pillows.jpeg


Jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom