Uraibu wa kukumbatia mito

Uraibu wa kukumbatia mito

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,019
Reaction score
831,619
Naandika mada hii nikiamini fika wahanga ni wengi kwenye hili

Ni asili yetu kupenda kukumbatiwa na kukumbatiana hasa nyakati za kulala. Lakini kwa bahati mbaya sana pamoja na uzuri wote wa kumbatio lakini halidumu zaidi ya dakika 30.. Kila mmoja hujikuta akigeukia upande wake na kutafuta usingizi kivyake.

Natambua kuna baadhi yetu wachache waliobahatika bila kukumbatiwa usingizi hauwezi kuja lakini kuna wale ambao upweke kwao ni kama chanda na pete. Hawa ndo wale wenye uraibu wa kukumbatia mito. Kitandani kwake hakosi mito mitatu

Mmoja katikati ya miguu mpaka mapajani
Mwingine kifuani ukiwa umekumbatiwa na mikono

Wa mwisho kichwani

Je, una goma jipya leo? Baada ya chausiku angalia mlalo wake.

Jr
 
Mi nna mdoli mkuuubwa uwa namkumbatia nampenda sana. kuna siku nilimuogesha nilimfua akachelewa kukauka yan hakukauka mana ni mkubwa sana. Usiku nikawa siwez kulala naona kuna kitu kimepungua kitandan basi nikachukua ivoivo nikamfunika nikamkumbatia na unyevunyevu wake.
 
Mi nna mdoli mkuuubwa uwa namkumbatia nampenda sana. kuna siku nilimuogesha nilimfua akachelewa kukauka yan hakukauka mana ni mkubwa sana. Usiku nikawa siwez kulala naona kuna kitu kimepungua kitandan basi nikachukua ivoivo nikamfunika nikamkumbatia na unyevunyevu wake.
Duuh inaonekana unapenda kukumbatia sana ukilala ndo mnaita cuddling au nimekosea spelling

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wajane
Original-boyfriend-pillow-buy-online-350x350.jpeg
boyfriend-snuggle-pillow-640x533.jpeg


black city
 
Naandika mada hii nikiamini fika wahanga ni wengi kwenye hili

Ni asili yetu kupenda kukumbatiwa na kukumbatiana hasa nyakati za kulala. Lakini kwa bahati mbaya sana pamoja na uzuri wote wa kumbatio lakini halidumu zaidi ya dakika 30.. Kila mmoja hujikuta akigeukia upande wake na kutafuta usingizi kivyake.

Natambua kuna baadhi yetu wachache waliobahatika bila kukumbatiwa usingizi hauwezi kuja lakini kuna wale ambao upweke kwao ni kama chanda na pete. Hawa ndo wale wenye uraibu wa kukumbatia mito. Kitandani kwake hakosi mito mitatu

Mmoja katikati ya miguu mpaka mapajani
Mwingine kifuani ukiwa umekumbatiwa na mikono

Wa mwisho kichwani

Je, una goma jipya leo? Baada ya chausiku angalia mlalo wake.

Jr
Mada zako sikuizi kama za mtoto wa darasa la 2 (C)

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom